Goba ni uswazi iliyochangamka ni Manzese ama Tandale ya miaka 30 ijayo

Nyerere ndo sababu ya matatizo yote Tanzania
 
Yaani huwa kuna jambo linanishangaza sana. Unakuta mji baado ila serikali imetulia tu. Baadae umashanhaa hizi nyumba zimetoka wapi? Kwanini hawawahi mapema mpangilio? Ujinga sana. Yaani nyumba ni kali sana ila ndo hivyo. Halafu huko katikati mbona kuna nyumba mbaya nyingi tu? Na ni msururi wa uswazi kbs.
Utasikia nina banda langu goba
 
Hahahah ndioo. Ni gharamaa. Ila pia madalali wamezidi. Wakiambiwa wauze mil 10 wao wanakuuzia mil 50. Very stuppid
Hakuna sehemu Goba utapata kiwanja cha 10m mkuu, labda kama kipo njia ya maji. Kuna sehemu naifaham inaitwa Kulangwa, vidume peke yao ndio wanapamudu..sio poa!
 
Mbagala ya Kaskazini Magharibi
 
Unaonesha ww ni dalali

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Sijawahi hata kuwaza mkuu, ila Goba naifaham kidogo, hasa maeneo ya kuanzia Mageti, njia nne, njia ya madale....huko hakushikiki chief, kama umefika mitaa wanaita kwa madokta(madr wa muhimbili wana vichuguu huko), hupanunui hata kwa 20m.
 
Hakuna sehemu Goba utapata kiwanja cha 10m mkuu, labda kama kipo njia ya maji. Kuna sehemu naifaham inaitwa Kulangwa, vidume peke yao ndio wanapamudu..sio poa!
Hapo nimetolea mfano mkuu. Madalali wanazinhia sana
 
Sijawahi hata kuwaza mkuu, ila Goba naifaham kidogo, hasa maeneo ya kuanzia Mageti, njia nne, njia ya madale....huko hakushikiki chief, kama umefika mitaa wanaita kwa madokta(madr wa muhimbili wana vichuguu huko), hupanunui hata kwa 20m.
Nina eneo kubwa kidogo hapo flamingo madale ila kwakweli sipendi. Sifurahii jinsi majirani walivyojipangilia
 
Nina eneo kubwa kidogo hapo flamingo madale ila kwakweli sipendi. Sifurahii jinsi majirani walivyojipangilia
Umbali gani toka barabara kuu?
Mbona flamingo, huko mkoroshini ni pazuri tu(japo sipafaham sana)
 
Kwa maana hiyo bhas viwanja vingi vya goba sio surveyed plots, watu wameuziana ile kwenda serikali ya mtaa?

Watu wa mipango mji walikua wapi mda wote huo?

After 20 years mnataka kusema goba itageuka kuwa scansca (tegeta) ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…