mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kama kimara 😄Jumlisha ile milima mabonde sasa itakuwa zaidi ya Tandale.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kimara 😄Jumlisha ile milima mabonde sasa itakuwa zaidi ya Tandale.
Ila Uchaggani tumemudu kupangilia aisee.Mkuu sisi wa Afrika kwenye suala la kupanga "planning", hatuwezi...si kwenye ujenzi pekee hata kwenye uzazi wa watoto tushafeli
Watahamia mlandiziWazaramo wamejazana sana skuiz
Zile chai maharagwe zile. Halaf hata siyo siku nyingi sana.Nyie mnapaita sahvi goba Centre
Wakati zamani hapo palikuwa panaitwa goba mwembe madole
Enzi hizo unaenda usafiri huko landrover na iko moja tu
Na wakati ule watu wengi huko walijipatia maeneo wakatiwa vijiji vya ujamaa,nguvu kazi kwenye kusafisha maeneo na wao wakawa wanajikatia maeneo
ila serikali yetu walichelewa sana
Kupapanga ndomana nyumba zimejengwa vululuvululu
Ova
Jiheshimu.. hahaaahaKama kimara [emoji1]
Ova
Wikiendi iliyopita, Jumamosi na Jumapili nilipata wasaa wa kutembea Goba kwa sehemu kubwa kwa sababu nilikua na ndugu yangu ambae katoka huko mkoani anataka kiwanja na kujenga Dar.
Ndugu yangu kafika hapa tayari alishachagua eneo analolitaka kua ni Goba, basi tukatafta madalali na kuanza kuzungukia viwanja, kuanzia makongo, Goba Senta, Goba Kulagwa, Goba Kilalata kwa awadhi, ostabei na sehemu nyingine nyingi.
Baada ya mizunguko ya siku 2 ndio nikagundua kwamba Goba ni Uswahilini kwenye nyumba za kisasa.
Kwa maana kwamba Goba haijapangiliwa kabisa. Goba kuna nyumba kali na za kisasa sana ila hakujapangwa, nyumba nzuri ila zimejegwa zigzaga, hakuna mitaa iliyonyooka.
Miaka 30 ijayo Goba itakua kama Manzese ya sasa ama Tandale, itakua uswazi.
Ni wakati sasa Serikali inapaswa kuingilia hii biashara ya upimaji na uuzaji ardhi. Hua najiuliza hivi viongozi wetu wakienda huko ulaya hawaoni wenzetu miji yao ilivyopangwa? Mbona huku kwetu wanaacha mambo yanakua hovyo hivi?
Ni hayo tu wakuu.
Malizia goba ndio kunakaa matapeli wengi,wadangaji,marioo wanaoshinda wamevaa bukta na miwaniWikiendi iliyopita, Jumamosi na Jumapili nilipata wasaa wa kutembea Goba kwa sehemu kubwa kwa sababu nilikua na ndugu yangu ambae katoka huko mkoani anataka kiwanja na kujenga Dar.
Ndugu yangu kafika hapa tayari alishachagua eneo analolitaka kua ni Goba, basi tukatafta madalali na kuanza kuzungukia viwanja, kuanzia makongo, Goba Senta, Goba Kulagwa, Goba Kilalata kwa awadhi, ostabei na sehemu nyingine nyingi.
Baada ya mizunguko ya siku 2 ndio nikagundua kwamba Goba ni Uswahilini kwenye nyumba za kisasa.
Kwa maana kwamba Goba haijapangiliwa kabisa. Goba kuna nyumba kali na za kisasa sana ila hakujapangwa, nyumba nzuri ila zimejegwa zigzaga, hakuna mitaa iliyonyooka.
Miaka 30 ijayo Goba itakua kama Manzese ya sasa ama Tandale, itakua uswazi.
Ni wakati sasa Serikali inapaswa kuingilia hii biashara ya upimaji na uuzaji ardhi. Hua najiuliza hivi viongozi wetu wakienda huko ulaya hawaoni wenzetu miji yao ilivyopangwa? Mbona huku kwetu wanaacha mambo yanakua hovyo hivi?
Ni hayo tu wakuu.
Kimara haijapangika kabisa ujueJiheshimu.. hahaaaha
Hahaha hatari mkuu. Ila kuna mitaa na mitaa. Michache imepangika. Ila samahani sana. Usije ukatupeleka bonyokwa. Ile ni mkoa mpya. Hatuwatambui. Ila huwezi amini huko bonyokwa nako kuna vimtaa vimejengwaaa. Tena majumba makjbwa mpk unashamgaaKimara haijapangika kabisa ujue
Huko si watu wamejengeana mpaka mbele ya geti no kuachiana nafasi
[emoji1]
Ova
Labda miaka hiyo teknolojia pia itakuwa imekuwa,unaweza ukahamisha nyumba yako,unaipakia kwenye lori unaipeleka sehamu unayotaka...Wikiendi iliyopita, Jumamosi na Jumapili nilipata wasaa wa kutembea Goba kwa sehemu kubwa kwa sababu nilikua na ndugu yangu ambae katoka huko mkoani anataka kiwanja na kujenga Dar.
Ndugu yangu kafika hapa tayari alishachagua eneo analolitaka kua ni Goba, basi tukatafta madalali na kuanza kuzungukia viwanja, kuanzia makongo, Goba Senta, Goba Kulagwa, Goba Kilalata kwa awadhi, ostabei na sehemu nyingine nyingi.
Baada ya mizunguko ya siku 2 ndio nikagundua kwamba Goba ni Uswahilini kwenye nyumba za kisasa.
Kwa maana kwamba Goba haijapangiliwa kabisa. Goba kuna nyumba kali na za kisasa sana ila hakujapangwa, nyumba nzuri ila zimejegwa zigzaga, hakuna mitaa iliyonyooka.
Miaka 30 ijayo Goba itakua kama Manzese ya sasa ama Tandale, itakua uswazi.
Ni wakati sasa Serikali inapaswa kuingilia hii biashara ya upimaji na uuzaji ardhi. Hua najiuliza hivi viongozi wetu wakienda huko ulaya hawaoni wenzetu miji yao ilivyopangwa? Mbona huku kwetu wanaacha mambo yanakua hovyo hivi?
Ni hayo tu wakuu.
Ulaya ni mbali mkuu hata hapo posta na kkoo inatosha.Segerea yote hiyo yalikuwa ni mapoli baadae viwanja vikapimwa miaka ya 90+ lakini kwenda juzi Manzese kuna nafuu, hakuna barabara, hakuna mtaa unaeleweka ni vurugu tupu na kila mkazi wa eneo hilo kiwanja chake kimepimwa.Wikiendi iliyopita, Jumamosi na Jumapili nilipata wasaa wa kutembea Goba kwa sehemu kubwa kwa sababu nilikua na ndugu yangu ambae katoka huko mkoani anataka kiwanja na kujenga Dar.
Ndugu yangu kafika hapa tayari alishachagua eneo analolitaka kua ni Goba, basi tukatafta madalali na kuanza kuzungukia viwanja, kuanzia makongo, Goba Senta, Goba Kulagwa, Goba Kilalata kwa awadhi, ostabei na sehemu nyingine nyingi.
Baada ya mizunguko ya siku 2 ndio nikagundua kwamba Goba ni Uswahilini kwenye nyumba za kisasa.
Kwa maana kwamba Goba haijapangiliwa kabisa. Goba kuna nyumba kali na za kisasa sana ila hakujapangwa, nyumba nzuri ila zimejegwa zigzaga, hakuna mitaa iliyonyooka.
Miaka 30 ijayo Goba itakua kama Manzese ya sasa ama Tandale, itakua uswazi.
Ni wakati sasa Serikali inapaswa kuingilia hii biashara ya upimaji na uuzaji ardhi. Hua najiuliza hivi viongozi wetu wakienda huko ulaya hawaoni wenzetu miji yao ilivyopangwa? Mbona huku kwetu wanaacha mambo yanakua hovyo hivi?
Ni hayo tu wakuu.
Kwa uhalisia serikali yatakiwa iwe inalazimisha kupanga maeneo kwa lazimaNyie mnapaita sahvi goba Centre
Wakati zamani hapo palikuwa panaitwa goba mwembe madole
Enzi hizo unaenda usafiri huko landrover na iko moja tu
Na wakati ule watu wengi huko walijipatia maeneo wakatiwa vijiji vya ujamaa,nguvu kazi kwenye kusafisha maeneo na wao wakawa wanajikatia maeneo
ila serikali yetu walichelewa sana
Kupapanga ndomana nyumba zimejengwa vululuvululu
Ova
AiseHahaha hatari mkuu. Ila kuna mitaa na mitaa. Michache imepangika. Ila samahani sana. Usije ukatupeleka bonyokwa. Ile ni mkoa mpya. Hatuwatambui. Ila huwezi amini huko bonyokwa nako kuna vimtaa vimejengwaaa. Tena majumba makjbwa mpk unashamgaa
KabisaKwa uhalisia serikali yatakiwa iwe inalazimisha kupanga maeneo kwa lazima
YAAN NAWAMIND SANA MADALALI.Huko ndo sqm moja inauzwa kati ya 45,000 na 70,000. Watu hawajali huo msongamano, wanachojali ni jirani kajenga nyumba kali na mimi ngoja nijenge yangu.