Goba ni uswazi iliyochangamka ni Manzese ama Tandale ya miaka 30 ijayo

Goba ni uswazi iliyochangamka ni Manzese ama Tandale ya miaka 30 ijayo

Nyie mnapaita sahvi goba Centre
Wakati zamani hapo palikuwa panaitwa goba mwembe madole
Enzi hizo unaenda usafiri huko landrover na iko moja tu
Na wakati ule watu wengi huko walijipatia maeneo wakatiwa vijiji vya ujamaa,nguvu kazi kwenye kusafisha maeneo na wao wakawa wanajikatia maeneo

ila serikali yetu walichelewa sana
Kupapanga ndomana nyumba zimejengwa vululuvululu

Ova
Zile chai maharagwe zile. Halaf hata siyo siku nyingi sana.
 
Wikiendi iliyopita, Jumamosi na Jumapili nilipata wasaa wa kutembea Goba kwa sehemu kubwa kwa sababu nilikua na ndugu yangu ambae katoka huko mkoani anataka kiwanja na kujenga Dar.

Ndugu yangu kafika hapa tayari alishachagua eneo analolitaka kua ni Goba, basi tukatafta madalali na kuanza kuzungukia viwanja, kuanzia makongo, Goba Senta, Goba Kulagwa, Goba Kilalata kwa awadhi, ostabei na sehemu nyingine nyingi.

Baada ya mizunguko ya siku 2 ndio nikagundua kwamba Goba ni Uswahilini kwenye nyumba za kisasa.

Kwa maana kwamba Goba haijapangiliwa kabisa. Goba kuna nyumba kali na za kisasa sana ila hakujapangwa, nyumba nzuri ila zimejegwa zigzaga, hakuna mitaa iliyonyooka.

Miaka 30 ijayo Goba itakua kama Manzese ya sasa ama Tandale, itakua uswazi.

Ni wakati sasa Serikali inapaswa kuingilia hii biashara ya upimaji na uuzaji ardhi. Hua najiuliza hivi viongozi wetu wakienda huko ulaya hawaoni wenzetu miji yao ilivyopangwa? Mbona huku kwetu wanaacha mambo yanakua hovyo hivi?

Ni hayo tu wakuu.

Ni Kweli ndio Maana Siishi Goba[emoji16]
 
Wikiendi iliyopita, Jumamosi na Jumapili nilipata wasaa wa kutembea Goba kwa sehemu kubwa kwa sababu nilikua na ndugu yangu ambae katoka huko mkoani anataka kiwanja na kujenga Dar.

Ndugu yangu kafika hapa tayari alishachagua eneo analolitaka kua ni Goba, basi tukatafta madalali na kuanza kuzungukia viwanja, kuanzia makongo, Goba Senta, Goba Kulagwa, Goba Kilalata kwa awadhi, ostabei na sehemu nyingine nyingi.

Baada ya mizunguko ya siku 2 ndio nikagundua kwamba Goba ni Uswahilini kwenye nyumba za kisasa.

Kwa maana kwamba Goba haijapangiliwa kabisa. Goba kuna nyumba kali na za kisasa sana ila hakujapangwa, nyumba nzuri ila zimejegwa zigzaga, hakuna mitaa iliyonyooka.

Miaka 30 ijayo Goba itakua kama Manzese ya sasa ama Tandale, itakua uswazi.

Ni wakati sasa Serikali inapaswa kuingilia hii biashara ya upimaji na uuzaji ardhi. Hua najiuliza hivi viongozi wetu wakienda huko ulaya hawaoni wenzetu miji yao ilivyopangwa? Mbona huku kwetu wanaacha mambo yanakua hovyo hivi?

Ni hayo tu wakuu.
Malizia goba ndio kunakaa matapeli wengi,wadangaji,marioo wanaoshinda wamevaa bukta na miwani
 
Kimara haijapangika kabisa ujue

Huko si watu wamejengeana mpaka mbele ya geti no kuachiana nafasi
[emoji1]

Ova
Hahaha hatari mkuu. Ila kuna mitaa na mitaa. Michache imepangika. Ila samahani sana. Usije ukatupeleka bonyokwa. Ile ni mkoa mpya. Hatuwatambui. Ila huwezi amini huko bonyokwa nako kuna vimtaa vimejengwaaa. Tena majumba makjbwa mpk unashamgaa
 
wizara ya ardi imelala pono na inatengewa bajeti hence hakuna mipango miji wala jiji endelevu baada ya magufuli kuondoka tutakuwa na kituko cha dodoma
 
Wikiendi iliyopita, Jumamosi na Jumapili nilipata wasaa wa kutembea Goba kwa sehemu kubwa kwa sababu nilikua na ndugu yangu ambae katoka huko mkoani anataka kiwanja na kujenga Dar.

Ndugu yangu kafika hapa tayari alishachagua eneo analolitaka kua ni Goba, basi tukatafta madalali na kuanza kuzungukia viwanja, kuanzia makongo, Goba Senta, Goba Kulagwa, Goba Kilalata kwa awadhi, ostabei na sehemu nyingine nyingi.

Baada ya mizunguko ya siku 2 ndio nikagundua kwamba Goba ni Uswahilini kwenye nyumba za kisasa.

Kwa maana kwamba Goba haijapangiliwa kabisa. Goba kuna nyumba kali na za kisasa sana ila hakujapangwa, nyumba nzuri ila zimejegwa zigzaga, hakuna mitaa iliyonyooka.

Miaka 30 ijayo Goba itakua kama Manzese ya sasa ama Tandale, itakua uswazi.

Ni wakati sasa Serikali inapaswa kuingilia hii biashara ya upimaji na uuzaji ardhi. Hua najiuliza hivi viongozi wetu wakienda huko ulaya hawaoni wenzetu miji yao ilivyopangwa? Mbona huku kwetu wanaacha mambo yanakua hovyo hivi?

Ni hayo tu wakuu.
Labda miaka hiyo teknolojia pia itakuwa imekuwa,unaweza ukahamisha nyumba yako,unaipakia kwenye lori unaipeleka sehamu unayotaka...
 
Wikiendi iliyopita, Jumamosi na Jumapili nilipata wasaa wa kutembea Goba kwa sehemu kubwa kwa sababu nilikua na ndugu yangu ambae katoka huko mkoani anataka kiwanja na kujenga Dar.

Ndugu yangu kafika hapa tayari alishachagua eneo analolitaka kua ni Goba, basi tukatafta madalali na kuanza kuzungukia viwanja, kuanzia makongo, Goba Senta, Goba Kulagwa, Goba Kilalata kwa awadhi, ostabei na sehemu nyingine nyingi.

Baada ya mizunguko ya siku 2 ndio nikagundua kwamba Goba ni Uswahilini kwenye nyumba za kisasa.

Kwa maana kwamba Goba haijapangiliwa kabisa. Goba kuna nyumba kali na za kisasa sana ila hakujapangwa, nyumba nzuri ila zimejegwa zigzaga, hakuna mitaa iliyonyooka.

Miaka 30 ijayo Goba itakua kama Manzese ya sasa ama Tandale, itakua uswazi.

Ni wakati sasa Serikali inapaswa kuingilia hii biashara ya upimaji na uuzaji ardhi. Hua najiuliza hivi viongozi wetu wakienda huko ulaya hawaoni wenzetu miji yao ilivyopangwa? Mbona huku kwetu wanaacha mambo yanakua hovyo hivi?

Ni hayo tu wakuu.
Ulaya ni mbali mkuu hata hapo posta na kkoo inatosha.Segerea yote hiyo yalikuwa ni mapoli baadae viwanja vikapimwa miaka ya 90+ lakini kwenda juzi Manzese kuna nafuu, hakuna barabara, hakuna mtaa unaeleweka ni vurugu tupu na kila mkazi wa eneo hilo kiwanja chake kimepimwa.
 
Hata mimi sipendezwi kwa ardhi kutokuwa na mipango miji ni kama ardhi haina mwenyewe.
 
Nyie mnapaita sahvi goba Centre
Wakati zamani hapo palikuwa panaitwa goba mwembe madole
Enzi hizo unaenda usafiri huko landrover na iko moja tu
Na wakati ule watu wengi huko walijipatia maeneo wakatiwa vijiji vya ujamaa,nguvu kazi kwenye kusafisha maeneo na wao wakawa wanajikatia maeneo

ila serikali yetu walichelewa sana
Kupapanga ndomana nyumba zimejengwa vululuvululu

Ova
Kwa uhalisia serikali yatakiwa iwe inalazimisha kupanga maeneo kwa lazima
 
Huko ndo sqm moja inauzwa kati ya 45,000 na 70,000. Watu hawajali huo msongamano, wanachojali ni jirani kajenga nyumba kali na mimi ngoja nijenge yangu.
 
Huko ndo sqm moja inauzwa kati ya 45,000 na 70,000. Watu hawajali huo msongamano, wanachojali ni jirani kajenga nyumba kali na mimi ngoja nijenge yangu.
YAAN NAWAMIND SANA MADALALI.

nimeandika kwa capital letters kuonyesha ninashout.. hahaha yaan wanalazimiaha jambo lionekane kuuubwaaa. Usiombe hicho kiwanja waje majirani wawe wamejenga contemporary
 
Back
Top Bottom