Goba ni uswazi iliyochangamka ni Manzese ama Tandale ya miaka 30 ijayo

Goba ni uswazi iliyochangamka ni Manzese ama Tandale ya miaka 30 ijayo

Jerry silaa hebu turudishie servicr road tegeta kwa ndevu maana kiyuo kile cha kwenda mwenge kinaleta foleni na usumbufu usio lazima.
Hivi mbarawa yeye mbona kwenye mikataba tuu tunamsikia lakini hifadhi za barabara hatumsikii kama hayati magufuli alipokiwa waziri wa miundombinu
 
Miaka 30 n mingi sana mkuuu.n hapo mbelee tu miaka michache patakuwa hapatamanikii maaana Raia n wengi sana wanakimbilia goba ..

Karibu nikupe kiwanjaa njia ya makongo mkuu kipo njian kbs na huduma zt zipo ..
Bei ya kiwanja sh ngapi?
 
Back
Top Bottom