Goba vs Kigamboni: Wapi ni pazuri zaidi?

Vpi kuhusu vyuo huko? Maana sie wazee wa totoz mawindo yetu ni warembo wa chuo. Savannah mbili tatu unajibebea mrembo
Mkuu huko kigamboni ndo panakufaa kuna vyuo nane ambavyo asilimia kubwa wanafunzi wanaendaga kupanga kigamboni
IFM
CBE
D.I.T
T.I.A
DUCE
Mwalimu nyerere
Chuo cha magogoni
Chuo cha diplomasia

Ushindwe ww tuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kigamboni ipi?
Kigamboni ni wilaya kubwa, eneo lake karibu mara hamsini (50) ya Goba.
Kwa mfano, huwezi kuwa timamu kama utafananisha Mjimwema na Goba.
Halafu kuna beaches za gezaulole, Mbutu, mti mweupe, buyuni etc .. ambazo zinakuja juu sana.
kigamboni ni mji kama mji, ni manispaa tofauti na Goba ni estate tu.
Halafu goba ni mabonde na kupokupo tu hakukufaa kuwe makazi ya watu.

Goba

Kigamboni
 
Sawa mwana kigamboni, mjimwema in particular
 
Kuwa na adabu mkuu. Acha kufananisha goba na takataka nyingine, goba is the next mikocheni kama sio masaki kabisa.
 
Changamoto ya Goba ardhi ina miinuko na mabonde Ila ni sehemu nzuri Kwa kuishi , kigamboni ni kama Tu upo kwenye nchi nyingine...!!

Goba pa kishuaaa, ipo connected na maeneo yote mhimu ya mji Kwa shortcut
 
Wacha kuchanganya goba na vitu vya kijinga
 
Kigamboni usalama ni zero

Kigamboni kubwa inategemea unazungumzia Kigamboni gani.....Msogeze Kibada, Bei ya Viwanja tu imechachamaa 70M ++ akisogea Kibada ushuani ni Mpaka 100M++

usalama wengi wamejigwa in community security baada ya saa 2 mageti yabarabara za mitaa yanafungwa unapita kwa pass...either uwe unakaa mtaa huo au mkaaji wa mtaa huo aongee na mlinzi upite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…