Basi kama hivyo pako poa kwa mie kuishi.vyuo vingi hapo wanafunzi wake wake wanakaa kigamboni kuanzia CBE, IFM, TIA, mwalimu nyerere Memorial etc
Ukiweza kupata mbususu basi hiyo sehemu iko poa kuishi.
Kiota gani kinabamba huko kwa wanachuo kujirusha