Gobless Lema ana elimu kiwango gani?

Gobless Lema ana elimu kiwango gani?

Mwenye kujua Kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Jobless Lema. Maana anavyoongea anajijua mwenyewe au hajapata mgao?
Unataka uipime kwenye mzani wa kuuzia karafuu au unaitaka kwa vipino vya futi?

NB: Amekunyoosha nini zaidi? Kila uzi unamuulizia. Vumilia. Mlizoea kujidekeza kwa kufanya siasa peke yenu mpaka mmekuwa mazezeta. Hamtaki changamoto.
 
Hili ni swali zuri sana ni muhimu tufahamu kiwango chake cha elimu ili tujipime kwa mapana tena kwa kutumia kipimo cha elimu tuone Kati ya elimu na akili ya darasani na elimu ya dunia na akili ya maisha bora nini.

Lema ana haki zote na vema alindwe kwa Uhuru wa maoni, tafsiri na mitazamo, bora uonekane mlevi au mjinga ukiwa sahihi kuliko vinginevyo.

Usibishane na unaejua hamtasikilizana wala kuelewana kwa chochote.
 
Mwenye kujua Kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Jobless Lema. Maana anavyoongea anajijua mwenyewe au hajapata mgao?
Watu hawaonekani kutambua kwamba maoni yao ya ulimwengu pia ni ungamo la tabia zao.

Ralph Waldo Emerson
79b9522b4dc5f5ae88f0c11563c44f7e.jpg
 
Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Gobless Lema.

Maana anavyoongea anajijua mwenyewe, au hajapata mgao?
Ki elimu yuko vizuri, alipogombea Ubunge Arusha alikuwa ni Form IV leaver mwenye Div IV ya points 31, alianzia Kibohehe mpaka form II akaja kumalizia Arusha Meru, akajiendeleza chuo cha IIT kuanzia certificate, akaja Diploma, then Degree ya BBA, hivyo alipokuwa uhamishoni Canada atakuwa amerudi darasani, na kupiga masters, hivyo by now he could a Ph.D candidate from a reputable university.

Uchaguzi wa 2000 nilihidhuria kampeni zake Arusha na kuna siku niliuliza kitu humu Kinachoendelea CHADEMA Mitandaoni: Je, ni Ushujaa wa Mhe. Lema au ni Udhaifu wa "Kule Juu"?

Elimu ya Lema imezungumzwa sana humu Godbless Lema: Kuna vichaa wengi mitaani hata hapa Wasifu wa Godbless Lema (MP) na hapa Tusipokubaliana na mtazamo wa Godbless Lema, CCM itaendelea kutawala na katiba ya Sitta itapita

Kampeni za Lema Arusha 2010 nilitia timu Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema
P
 
Alipogombea Ubunge Arusha alikuwa ni Form IV leaver mwenye Div IV ya points 31.
Alipokuwa uhamishoni Canada atakuwa amerudi darasani, hivyo by now he could be a university graduate.
P

Hamna mwenye shule pale, hata hotuba zake unaona kabisa hana shule, angalia hotuba za Zitto na Lema utaona utofauti, hata heche anahotuba nzuri kushinda Lema.
 
Back
Top Bottom