Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanadai Jamaa ni Std 7 kama MwenyekitiMwenye kujua Kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Jobless Lema. Maana anavyoongea anajijua mwenyewe au hajapata mgao?
Big mind discuss TozoSmall minds discuss people
Unataka uipime kwenye mzani wa kuuzia karafuu au unaitaka kwa vipino vya futi?Mwenye kujua Kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Jobless Lema. Maana anavyoongea anajijua mwenyewe au hajapata mgao?
Watu hawaonekani kutambua kwamba maoni yao ya ulimwengu pia ni ungamo la tabia zao.Mwenye kujua Kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Jobless Lema. Maana anavyoongea anajijua mwenyewe au hajapata mgao?
Juma1967 Hujakosea na yawezekana ni kama ya kwako wewe kwani huwezi uliza awali aina hii.Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Gobless Lema.
Maana anavyoongea anajijua mwenyewe, au hajapata mgao?
Kwani Wewe una Elimu gani??Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Gobless Lema.
Maana anavyoongea anajijua mwenyewe, au hajapata mgao?
Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Gobless Lema.
Maana anavyoongea anajijua mwenyewe, au hajapata mgao?
Darasa la nneMwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Gobless Lema.
Maana anavyoongea anajijua mwenyewe, au hajapata mgao?
Wazungu will always host megamind. They never discuss they fightSmall minds discuss people
Ki elimu yuko vizuri, alipogombea Ubunge Arusha alikuwa ni Form IV leaver mwenye Div IV ya points 31, alianzia Kibohehe mpaka form II akaja kumalizia Arusha Meru, akajiendeleza chuo cha IIT kuanzia certificate, akaja Diploma, then Degree ya BBA, hivyo alipokuwa uhamishoni Canada atakuwa amerudi darasani, na kupiga masters, hivyo by now he could a Ph.D candidate from a reputable university.Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Mr Gobless Lema.
Maana anavyoongea anajijua mwenyewe, au hajapata mgao?
Alipogombea Ubunge Arusha alikuwa ni Form IV leaver mwenye Div IV ya points 31.
Alipokuwa uhamishoni Canada atakuwa amerudi darasani, hivyo by now he could be a university graduate.
P