God existed before time and He created time

Mkuu nimesoma comment yako iliyosheeni mambo mengi fikirishi
lakini msimamo wa kila muumini ni uleule MUNGU yupo na mimi naamini hivyo japo najua wewe Ndugu huamini na ni vigumu kuelewana
Tatizo lenu mnaletaga ushindani na sio kujifunza vitu vipya

Yaani mnadhani sisi hatujui mnayojua nyie ndio maana labda tupo hivi.

Kwa taarifa yako, mimi nisiyeamini mungu najua mengi kuhusu idea ya mungu kuliko wewe. Maana sijaifungia akili yangu.

Penda kujifunza zaidi ya vile unavyovijua utapata mwanga
 
Mnapotoka sana
 
Hivi unajua kuwa mungu ni idea?
 
Vipi ww ukiwa mbunifu wa kitu flani ambalo umekichagua kukitengeneza kwa namna flani ambayo mtu flani hakuipenda, je! Itakuondolea sifa ya ww kuwa mbunifu wake na kulpa sifa gar hilo kwamba lilijiunda wenyewe?



Nakingine nataka kujua Kwann ww unaamin tu vitabu vinavyopinga uwepo wa Mungu na si vinavyounga mkono uwepo wake?

Tatu ninyi mnawaitaje watu wanaoamini uwepo wa Mungu Maana Sisi tunawaita wale Wasio amini Ni MAKAFIRI،.

Nne nataka kujua unataka nikuthibtishie vipi kuwa Mungu yupo?
Umeoneshwa kazi za ustad wake umekataa,
Je! Unataka sikio lake? Je! Unataka kusikia saut yake au unataka umuone kabsa!?

Na kingne nataka kujua unaitambua vipi historia ya BIBLIA mtu Kama Yesu kwa mtizamo wako unamuonaje!??
Maana niyeye peke yake alietujuza kwa kina kuhusu Huyu Mungu tunaemzungumzia hapa!!/ mwenye mashabiki wengi .

Naomba unisaidie katka hayo ili tuende sawa
 
Mungu ni idea iliyotengenezwa na mtu ili ije kuishi kwenye vichwa vyenu. Ndio maana mtu hawezi kujua habari za mungu bila kufundishwa.

Huwezi kunielewa kwakua lile lengo la walioanzisha hiyo idea ya mungu limetimia
Hata ukienda sehemu ambayo Hakuna BIBLIA wala Qur'an utakuta watu wanafnya ibada na Kuwa na Amri za Mungu NDANI mwao kwahyo kuhusu hilo usitutshe mkuu
 
Nasubiri ulete hoja ....
Mungu ni idea kama ilivyo idea ya kuweka mipaka, idea ya kuunda herufi, idea ya kuunda namba, idea ya kupeana majina, idea ya kuvaa nguo, idea ya kupika chakula.

Na ili uamini uwepo wa mungu ni lazima ufundishwe. Kitu chochote ambacho ni idea huenda sambamba na mafundisho. Ni tofauti na vitu ambavyo vipo by nature. Kwa mfano mtoto kulia pindi tu azaliwapo. Au mtoto kusema da da da da da
 
Hata ukienda sehemu ambayo Hakuna BIBLIA wala Qur'an utakuta watu wanafnya ibada na Kuwa na Amri za Mungu NDANI mwao kwahyo kuhusu hilo usitutshe mkuu
Wapi huko wankofanya ibada na kuwa na amri za mungu bila biblia wala quran?
 
Akili ya binadamu imetengenezwa ili iamini katika jambo fulani ili iwe na amani.Kwa maana nyingine binadamu wanaomini katika uwepo wa mungu wanakuwa na afya njema ya akili kuliko wanaopinga uwepo wa Mungu.Na kuna tafiti nyingi zimedhibitisha hili bila kujalisha kama kweli Mungu yupo au hayupo.

There is a HUGE literature (mostly from the US) that shows that people who are religious (again, mostly Christian people in the US) experience many mental and physical health benefits. The most impressive finding is that religious service attendance is related to lower mortality rate even after controlling for many factors such as drinking, smoking, physical disease, etc
 
umeandika as if unanijua sana kiufupi ni kwamba nazijua hoja zote za pande zote mimi sio kama wale waumini wasiotaka kujifunza hoja pinzani
siku nyingine uwe unauliza kwanza
 
Samahani mkuu, mimi naomba tu kueleweshwa kuhusu hili. Je, kama Mbingu na Jehanamu it's just fictional as your claim towards God and Satan, je uganga/ulozi/uchawi/miujiza hizi supernatural forces zinaoriginate from where? Kwa mfano ndugu zangu waislamu wana kitu kinaitwa Albadir ukisomewa hiyo lazima madhara yakufike. Au unafika kwa mganga anakuelezea matatizo yako yote kabla hujatamka lolote. Au vile kwa church wanavo cast out demons/spirits out of people. Nguvu hizi ni za kisayansi au ni za namna gani?
 
umeandika as if unanijua sana kiufupi ni kwamba nazijua hoja zote za pande zote mimi sio kama wale waumini wasiotaka kujifunza hoja pinzani
siku nyingine uwe unauliza kwanza
Ungejua hoja za upande wote, usingeweza kuamini habari za uwepo ww Mungu maana ni uongo mtupu. Na hazina uhalisia kabisa zaidi ya kutumia vitisho ambavyo watu huanza kufundishwa tangu wakiwa wadogo ili imani iwakae zaidi.

Hata kwa akili ndogo tu. Hamjiulizi inakuaje kumuona huyo mungu mpaka ufe?
Yaani waliokua na idea hiyo ya mungu, hapo ndo waliweka mtego. Walijua kabisa umuhimu wa maisha yako upo ukiwa hai ndio maana wakaharibu ubongo wako ili wakutawale vizuri. Maana wanajua ukisha kufa, hutaweza kuamka na kuhoji kuhusu kuto kumuona huyo mungu ambaye umekua ukimsikia tangia utotoni.

Shtukeni
 
kuna waislam wanaijua bible yote na kuna wakristo wanaijua quran yote hii haimfanyi mtu kuacha dini yake kisa ana maarifa ya dini nyingine
this is just an example to swim against the tide of your argument Bro
 
Mungu ni idea iliyotengenezwa na mtu ili ije kuishi kwenye vichwa vyenu. Ndio maana mtu hawezi kujua habari za mungu bila kufundishwa.

Huwezi kunielewa kwakua lile lengo la walioanzisha hiyo idea ya mungu limetimia
Lazima ufundishwe ili uchague kuamini au kutokuamini,maana jambo lenyewe ni la imani.

Hata hivyo huo ndio uhalisia wa maisha jinsi tulivyo ni kutokana jamii iliyotuzunguka.
 
Duh!na elimu ELIMU hapo inachukua nafasi gani?
 
Nilivyo ona heading nikajua utajikita kuelezea maswala ya time (muda) kama kichwa cha Uzi kinavyosema ila haikua ivyo
Next time heading ikiendana na Uzi itakua poa sana
 


Unaikubali quran kama chanzo chako cha kumuelezea mungu

Je unaweza kuniambia quran kaindika nani?
 
Kama hizo hadithi walihadithiana watu wa kale iweje hadi leo bado zinasimuliwa? Je,tatizo ni kuwa hadithi za kale au hadithi yenyewe ndio sababu ya kuendelea kuwepo hadi leo?


Hizo ni hadithi kama tamthilia ya kudadika

Ndio utakuja kuona mungu wapo wengi na kila mtu anamuelezea anavyoona mazingira yake

Lakini kusema allah au yehova ndio mungu na wengine sio mungu hilo jambo halipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…