God existed before time and He created time

God existed before time and He created time

Hizo ni hadithi kama tamthilia ya kudadika

Ndio utakuja kuona mungu wapo wengi na kila mtu anamuelezea anavyoona mazingira yake

Lakini kusema allah au yehova ndio mungu na wengine sio mungu hilo jambo halipo
Ndiyo nimeuliza ni kipi kinafanya hiyo hadithi ya kale iendelee kusimuliwa hadi zama hizi? Maana hiyo hadithi imetapakaa dunia nzima na wenye kuiamini hiyo hadithi ni wengi kuliko wanayopinga hiyo hadithi.

Unafikiri kwanini hiyo hadithi bado inaendelea kutamba tu na haijabaki kuwa hadithi tu ya kale ambayo haina mvuto zama hizi?
 
Samahani mkuu, mimi naomba tu kueleweshwa kuhusu hili. Je, kama Mbingu na Jehanamu it's just fictional as your claim towards God and Satan, je uganga/ulozi/uchawi/miujiza hizi supernatural forces zinaoriginate from where? Kwa mfano ndugu zangu waislamu wana kitu kinaitwa Albadir ukisomewa hiyo lazima madhara yakufike. Au unafika kwa mganga anakuelezea matatizo yako yote kabla hujatamka lolote. Au vile kwa church wanavo cast out demons/spirits out of people. Nguvu hizi ni za kisayansi au ni za namna gani?
uchawi nao ni vigumu kuthibitisha labda siku nishuhudie mchawi anapaa na ungo nitaamini
albadir nayo ni utapeli tu,waislam walishindwa kumdhuru mrema na walikuwa wanamsomea albadir kila ijumaa pale mwembechai
casting out damons ni wizi wa hao n
wanaojiita mapastor,maigizo tu yale trust me
 
Ndiyo nimeuliza ni kipi kinafanya hiyo hadithi ya kale iendelee kusimuliwa hadi zama hizi? Maana hiyo hadithi imetapakaa dunia nzima na wenye kuiamini hiyo hadithi ni wengi kuliko wanayopinga hiyo hadithi.

Unafikiri kwanini hiyo hadithi bado inaendelea kutamba tu na haijabaki kuwa hadithi tu ya kale ambayo haina mvuto zama hizi?


Kwakuwa wenye hizo hadithi wanazituka bado
 
nipe hadith ambazo wewe unaona ni sahihi tuzitumie kama rejea hapa
najua na wewe unajua kuwa hadith za sahih bukhari ndio zinatumiwa na waislamu wote duniani
Hadith ziko katika namna tofauti tofauti wewe unataka zinazohusu nini?
 
  1. What was man created from: blood, clay, dust, or nothing?
    1. "Created man, out of a (mere) clot of congealed blood," (96:2).
    2. "We created man from sounding clay, from mud moulded into shape, (15:26).
    3. "The similitude of Jesus before Allah is as that of Adam; He created him from dust, then said to him: "Be". And he was," (3:59).
    4. "But does not man call to mind that We created him before out of nothing?" (19:67, Yusuf Ali). Also, 52:35).
    5. "He has created man from a sperm-drop; and behold this same (man) becomes an open disputer! Is there or is there not compulsion in religion according to the Qur'an?
    6. "Let there be no compulsion in religion: Truth stands out clear from Error: whoever rejects evil and believes in Allah hath grasped the most trustworthy hand-hold, that never breaks. And Allah heareth and knoweth all things," (2:256).
    7. "And an announcement from Allah and His Messenger, to the people (assembled) on the day of the Great Pilgrimage,--that Allah and His Messenger dissolve (treaty) obligations with the Pagans. If then, ye repent, it were best for you; but if ye turn away, know ye that ye cannot frustrate Allah. And proclaim a grievous penalty to those who reject Faith," (9:3).
    8. "But when the forbidden months are past, then fight and slay the Pagans wherever ye find them, and seize them, beleaguer them, and lie in wait for them in every stratagem (of war); but if they repent, and establish regular prayers and practice regular charity, then open the way for them: for Allah is Oft-forgiving, Most Merciful," (9:5).
    9. Fight those who believe not in Allah nor the Last Day, nor hold that forbidden which hath been forbidden by Allah and His Messenger, nor acknowledge the religion of Truth, (even if they are) of the People of the Book, until they pay the Jizya with willing submission, and feel themselves subdued," (9:29).

3. The first Muslim was Muhammad? Abraham? Jacob? Moses?
  1. "And I [Muhammad] am commanded to be the first of those who bow to Allah in Islam," (39:12).
  2. "When Moses came to the place appointed by Us, and his Lord addressed him, He said: "O my Lord! show (Thyself) to me, that I may look upon thee." Allah said: "By no means canst thou see Me (direct); But look upon the mount; if it abide in its place, then shalt thou see Me." When his Lord manifested His glory on the Mount, He made it as dust. And Moses fell down in a swoon. When he recovered his senses he said: "Glory be to Thee! to Thee I turn in repentance, and I am the first to believe." (7:143).
  3. "And this was the legacy that Abraham left to his sons, and so did Jacob; "Oh my sons! Allah hath chosen the Faith for you; then die not except in the Faith of Islam," (2:132
Sasa hapo kipi nacho ukielewi
Adam aliumbwa kwa udongo ,waliofatia waliumbwa kutokana na maniii , huko ndani ya tumbo uumbaji unapofanya ndipo pande la damu linapatikana hili mbona lipo wazi, kuhusu MUISLAM wa kwanza unajua maana ya UMA ?
 
Sasa hapo kipi nacho ukielewi
Adam aliumbwa kwa udongo ,waliofatia waliumbwa kutokana na maniii , huko ndani ya tumbo uumbaji unapofanya ndipo pande la damu linapatikana hili mbona lipo wazi, kuhusu MUISLAM wa kwanza unajua maana ya UMA ?
hakuna stage yoyote mtoto ndani ya tumbo la uzazi anakuwa pande la damu
nani muislamu wa kwanza?
 
Aliyemuumba Mungu hajulikani, basi hakuna mwanzo ni Mungu ! Imekaaje? Au mwanzo wa mwanzo imekaaje ? Kila mtu atapita na anaishia kusikojulijana bila jibu ! It doesn"t make sense at all by saying God existed before the time and space ! Where did He stay ? And when ?
 
Jamaa mbona mgumu kuelewa mbona nilishakujibu hadithi kwanini zinakubalika na kwanini hazikubaliki? bila kujali nani kazikusanya hizo hadithi
unakubali hadith zilizokusanywa na bukhari lakini una-cherry pick zinazokupendeza
najua lazima upaogope hapa
tufunge mjadala
 
Hizo ni hadithi kama tamthilia ya kudadika

Ndio utakuja kuona mungu wapo wengi na kila mtu anamuelezea anavyoona mazingira yake

Lakini kusema allah au yehova ndio mungu na wengine sio mungu hilo jambo halipo

Kama hilo halipo lipo lipi ?
 
unakubali hadith zilizokusanywa na bukhari lakini una-cherry pick zinazokupendeza
najua lazima upaogope hapa
tufunge mjadala

Mimi nazikubali,japokuwa ziko sahihi nyingi na dhaifu chache mno.

Na sahihi al Bukhari ndio kitabu sahihi zaidi baada ya Qur'an kwetu sisi waislamu.

Nakusikiliza ....
 
Aliyemuumba Mungu hajulikani, basi hakuna mwanzo ni Mungu ! Imekaaje? Au mwanzo wa mwanzo imekaaje ? Kila mtu atapita na anaishia kusikojulijana bila jibu ! It doesn"t make sense at all by saying God existed before the time and space ! Where did He stay ? And when ?
The creator of universe has no location. Kwa sababu yeye sio matter, Lakia pia God is the creator of "place" and it's impossible that the creator should be dependent on what He has created.
Since we have seen that God has no place, it's clear that he has no body either, because a body needs a place and there can be no body which has no place.God created time so alikuwepo that time. Haiwezekani aumbe muda alafu muda uwepo kabla yake.God has no source yeye ni mwanzo na mwisho
 
Back
Top Bottom