God existed before time and He created time

God existed before time and He created time

Nacheka sana,bro unajua ya kuwa mamno ambayo mimi nafanya kimijadala na kielimu wewe huwezi kufanya ?

Hivi wewe unaweza kukiri kukosea hadharani kwamba kweli umekosea ? Hili si la msingi nimekupa tu kama chachu mzee. Kwangu mimi hilo limeshapita na wala halibadilishi chochote katika mimi na hoja zangu.

Najua nakudai maswali yangu kadhaa,nasubiri majibu mzee. Nyinyi huwa nawaambia laiti kama mngekuwa mnajibu maswali tunayowaukiza humj msingesalia kwa lolote,sababu hoja hamna,misingi ya kumithilisha mambo ndio hamjiwezi kabisa.

Hujajibu maswali yangu ya post # 205 na 206, kadhalika nilikuuliza. Je imani bila elimu ina weza kuwa imani na kusimama ? Swali hili hujajibu mzee.

Sasa kama umeamua kupoteza muda kwa jambo ambalo nilikiri kukosea,hapa unaleta utoto mzee.

Kukiri kukosea ni ushujaa na ni katika adabu za kielimu. Au unataka suala la kukosea kwangu liwe mada nini bro ? Iweke tu iwe mada kisha tuijadili kielimu,naimani utafaidika. Humu bro hatushindani wala hatutafuti ukubwa kwahiyo kukiri kukosea kwa jambo nililokosea ndio kumenifanya mimi Zurri kuwa hapa na kujifunza mengi katika elimu miongoni mwa yale nisiyoyajua.

Nipo ....
Kwanza thibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Nimekutaka uthibigishe huki awali kabisa. Umeshindwa.

Kwa sababu huwezi kuthibitisha.

Kwa nini umeshindwa kuthibutisha?

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Kwa nini hayupo?

Kwa sababu dhana ya kuwepo kwake inajupinga yenyewe. Ni sawa na useme kuna Mama A ana mtoto wa kumzaa B. Halafu huyo mtoto B pia ni mama mzazi wa mama A.

Ukiambiwa tu hiyo habari unajua ni uongo.

Haiwezekani kuwa kweli.

Kwa sababu inajipinga yenyewe. Mtoto hawezi kuwa mama wa mama yake mzazi.

Kama unabisha unasema Mungu yupo, thibitisha.
 
Hoja yako ni kwamba kuna contradictions kwenye suala la Mungu kuumba huu ulimwengu,huu ulimwengu upo wote tunauona haihitaji mtu kuambiwa kuwa upo ila tunaambiwa chanzo cha huu ulimwengu ni kuwa umeumbwa na Mungu,hapo ndipo ambapo wewe unasema hiyo ni contradictions kwa sababu aina ya huu ulimwengu unamcontradict huyo Mungu.

Sasa hapo suala kutokuwepo Mungu linapatikana vp?
Suala la kutokuwepo Mungu linakuja kwa sababu Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) angekuwepo ulimwengu huu uliojaa kuwezekana mabaya usingekuwepo.

Yani ulimwengu huu unakuwa kama umetokea kinyume na tabia za Mungu. Mungubkasimama lindo ulimwengu huu usiweze kutikea halafu umempiga tobo ukatokea.

Huyo Mungu alisinzia lindoni?
 
Sio kweli mkuu Mungu afanani na chochote katika viumbe huu ndio msimamo wa QURAN, labda huko kwenye biblia wenyewe watakujibu
Kwahiyo kwa haraka harak Mungu unamzungumziaje.. siku unakutana naye anaweza akawa na umbo gani? Ama ni invisible maana siku ya mwisho wanasema yeye atatoa hukumu Sasa sijui atakua kwenye umbo gani.. coz wakristo wanasema anafanana na mwanadamu... Hapo waislam mnasemaje?
 
Umetuimia njia gani au kipi kimekufanya wewe uamin Mola muumba yupo ?
Nadhani anaamini kupitia baba zake na babu zake ndio maana kasema babu zake walishikwa pabaya na wazungu...

Ameamini kwa kuambiwa tuu ila haba uthibitisho
 
Habari zenu ndugu zangu, hongereni kwa mjadala moto, ngependa kuwapatia habari njema ambayo inahusiana na mjadala huu kwanza nianze kwa kusema hakuna swali gumu lisilokua na jibu narudia tena HAKUNA SWALI GUMU LISILOKUA NA JIBU hata maswali kuhusu MUNGU naomba ieleweke hapa siongelei mungu wa bible au quran, naongelea MUNGU as "a source and coarse of everything" sehemu pekee ambapo utaweza kupata majibu ya maswali haya magumu ni hapa kwenye kipeperushi hiki ambacho nakwenda kukiattach hapa. Karibuni Sana The Path society ambapo utafundishwa MEDITATION ambayo itakuwezesha kupata majibu ya maswali magumu kuhusu MUNGU(GOD) na MAUMBILE(CREATION).
Msalimie John Yarr
 
Kwahiyo kwa haraka harak Mungu unamzungumziaje.. siku unakutana naye anaweza akawa na umbo gani? Ama ni invisible maana siku ya mwisho wanasema yeye atatoa hukumu Sasa sijui atakua kwenye umbo gani.. coz wakristo wanasema anafanana na mwanadamu... Hapo waislam mnasemaje?
Linafikirisha sana hili swali
 
Religion is an extremely form of crowd control, it's the opium of the masses..
 
Kwanza thibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Nimekutaka uthibigishe huki awali kabisa. Umeshindwa.

Kwa sababu huwezi kuthibitisha.

Kwa nini umeshindwa kuthibutisha?

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Kwa nini hayupo?

Kwa sababu dhana ya kuwepo kwake inajupinga yenyewe. Ni sawa na useme kuna Mama A ana mtoto wa kumzaa B. Halafu huyo mtoto B pia ni mama mzazi wa mama A.

Ukiambiwa tu hiyo habari unajua ni uongo.

Haiwezekani kuwa kweli.

Kwa sababu inajipinga yenyewe. Mtoto hawezi kuwa mama wa mama yake mzazi.

Kama unabisha unasema Mungu yupo, thibitisha.

Kwanza sijawahi kushindwa juu ya kumthibitisha Mola muweza.

Pili,hili kosa la kushindwa kumithilisha mambo naona unalirudia sana mzee.

Hiyo kauli ya mama kuwa mtoto wa mwana haijipingi kabisa,kwani iko wazi ya kuwa jambo hilo haliwezekani,hili nikilibainisha huko mwanzo. Ndio maana nikawa nakutaka ujibu maswali yangu.

Kadhalika naona unapenda sana kuooteza muda kwa kurudia maswali ambayo nilishakujibu huu utoto unaupenda sana.

Nilikunukulia kauli ya mwanazuoni wetu akiongelea juu yule aonae aya za Qur'an zinajipinga au Hadithi,akasema ukiona hilo kwa mtu huyo kwanza anatakiwa kuinutuhumu akili na elimu yake kwa kushindwa kuzidiriki aya hizo au hadithi hizo,na hili limedhihiri kwa kubwa wenu baki mpaka nyinyi vifaranga mnaliendeleza kosa hili.

Ndio katika kukujibu swali hili huko juu nilikueleza kutoa kauli moja kutokana na kauli mbili zenye kupingana,cha ajabu ukaleta mfano wa jambo lisilo wezekana. Kisha ukalipa jibu ya kuwa eti kauli hizo za mama na mtoto zinakinzana.

Narudi....
 
Nadhani anaamini kupitia baba zake na babu zake ndio maana kasema babu zake walishikwa pabaya na wazungu...

Ameamini kwa kuambiwa tuu ila haba uthibitisho


Hili swali nakuuliza sababu Kiranga analikwepa na ninajua haweze kulijibu.
Je imani inaweza kuwa bila elimu ?
 
Kwanza sijawahi kushindwa juu ya kumthibitisha Mola muweza.

Pili,hili kosa la kushindwa kumithilisha mambo naona unalirudia sana mzee.

Hiyo kauli ya mama kuwa mtoto wa mwana haijipingi kabisa,kwani iko wazi ya kuwa jambo hilo haliwezekani,hili nikilibainisha huko mwanzo. Ndio maana nikawa nakutaka ujibu maswali yangu.

Kadhalika naona unapenda sana kuooteza muda kwa kurudia maswali ambayo nilishakujibu huu utoto unaupenda sana.

Nilikunukulia kauli ya mwanazuoni wetu akiongelea juu yule aonae aya za Qur'an zinajipinga au Hadithi,akasema ukiona hilo kwa mtu huyo kwanza anatakiwa kuinutuhumu akili na elimu yake kwa kushindwa kuzidiriki aya hizo au hadithi hizo,na hili limedhihiri kwa kubwa wenu baki mpaka nyinyi vifaranga mnaliendeleza kosa hili.

Ndio katika kukujibu swali hili huko juu nilikueleza kutoa kauli moja kutokana na kauli mbili zenye kupingana,cha ajabu ukaleta mfano wa jambo lisilo wezekana. Kisha ukalipa jibu ya kuwa eti kauli hizo za mama na mtoto zinakinzana.

Narudi....
Usiandike narudi.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Hili swali nakuuliza sababu Kiranga analikwepa na ninajua haweze kulijibu.
Je imani inaweza kuwa bila elimu ?
Wewe kuwa na swali ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, usingejuwa na swali.

Unaelewa hilo?
 
Kwahiyo kwa haraka harak Mungu unamzungumziaje.. siku unakutana naye anaweza akawa na umbo gani? Ama ni invisible maana siku ya mwisho wanasema yeye atatoa hukumu Sasa sijui atakua kwenye umbo gani.. coz wakristo wanasema anafanana na mwanadamu... Hapo waislam mnasemaje?

Hil swali rahisi sana. Kwetu sisi waislamu tunaamini ya kuwa wale waliofanya mema watalipwa pepo na ziada ya kumuona Allah kama tunavyoliona jua huku duniani.
 
Wewe kuwa na swali ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, usingejuwa na swali.

Unaelewa hilo?

Hapa umethibitisha ya kuwa huwezi kujibu swali hilo.

Nipo ....
 
Hapa umethibitisha ya kuwa huwezi kujibu swali hilo.

Nipo ....
Swali gani?

Wewe unaeikandia logic unaelewa swali ni nini na jibu ni nini?

Utaekewaje tofauti ya swali na jibu bila kutumia logic?
 
Ukisema unapoteza muda hunathibitisha Mungu yupo.

Unathibitisha hayupo.

Angekuwepo usingeweza kupoteza muda.

Poa,ila usisahau kujibu maswali yangu,ili wapate faida wengine.
 
Swali gani?

Wewe unaeikandia logic unaelewa swali ni nini na jibu ni nini?

Utaekewaje tofauti ya swali na jibu bila kutumia logic?

Rejea swali langu la Imani huko juu.

Pili,logic kwangu mimi ni upuuzi sababu kuna mambo kadha wa kadha katika kuhoji huyakuti wala hayazingatiwi.

Nilikuuliza swali lingine,hili nalo hukulijibu pia,ila hapa nakukumbusha pia,nilikuuliza Je unayaju madhaifu ya elimu ya mantiki (Logic).
 
Back
Top Bottom