Tetesi: God Forbid ! Sam Misago.anaweza kujiua!!!

Tetesi: God Forbid ! Sam Misago.anaweza kujiua!!!

Sam Misago nimeishi nae mtaa mmoja kwa miaka miwili na tulikuwa tunafahamiana. Kwa nilivyomuona sikuona dalili zozote za ushoga. Kwanza kwenye sekta ya mademu alikuwa anawala vibaya sana, nachelea kusema katika vijana niliowashugudia wakibadili wanawake huyu dogo anaongoza.

Sasa hil la kusema shoga sikuwahi kuhisi kwasababu sikuona dalili zozote. Tatizo la wabongo mvulana akiwa hb,msafi swaga fulani kupita kiasi hawachelewi kusema ni shoga.
Na hata waliosoma naye chuo wanasema hawajawahi kumuona au hata akiwa na elements yoyote ya ushoga
 
Sam Misago nimeishi nae mtaa mmoja kwa miaka miwili na tulikuwa tunafahamiana. Kwa nilivyomuona sikuona dalili zozote za ushoga. Kwanza kwenye sekta ya mademu alikuwa anawala vibaya sana, nachelea kusema katika vijana niliowashugudia wakibadili wanawake huyu dogo anaongoza.

Sasa hil la kusema shoga sikuwahi kuhisi kwasababu sikuona dalili zozote. Tatizo la wabongo mvulana akiwa hb,msafi swaga fulani kupita kiasi hawachelewi kusema ni shoga.
Umenikumbusha ya bushoke. Aliwahi kuzushiwaga ushoga miaka hiyo ya 2005 kwa sababu alikuwa smart sana..

Ili kurepell hiyo notion Bushoke akabadilisha life style na kuwa mchafu mchafu
 
Tatizo sio yeye kuwa shoga au kutokuwa shoga tatizo ni watu kujua yeye ni shoga ..

It doesn't matter whether anafanya au hafanyi.

Kama anafanya na uhakika atakuwa anafanya kwa siri sana.na hakutaka watu wajue siri yake .Sasa wameijua.

Na kama hafanyi pia ni tatizo kwa sababu tayari wanamnyooshea vidole.

Dogo anapitia public humiliation ya hali ya juu sana.
I.am a concerned brethren. I can feel.what he feel
Umeonga point sana lzma ajione yatima ghafla, kufanya vitu ambavyo ulikuwa unaviona sawa ila kwa jamii wanaviona vibaya wakija gundua unakuwa kwy wkt mgumu sana maana watu wanakuona uko mbaya.
 
Tatizo sio yeye kuwa shoga au kutokuwa shoga tatizo ni watu kujua yeye ni shoga ..

It doesn't matter whether anafanya au hafanyi.

Kama anafanya na uhakika atakuwa anafanya kwa siri sana.na hakutaka watu wajue siri yake .Sasa wameijua.

Na kama hafanyi pia ni tatizo kwa sababu tayari wanamnyooshea vidole.

Dogo anapitia public humiliation ya hali ya juu sana.
I.am a concerned brethren. I can feel.what he feel
Atakuja kujiua mtu hapa tz ndioa tujue kuwa haya mambo ya kutajana ni mabaya hata kama anafanya ila wtu kujua hilo linakuwa jambo baya kwake na anaweza kujidhuru kabisa tuombe hilo la kujana liishe lasivo litatugharimu sana.
 
Dawa ni moja tuu waache ushoga....kusema et namjua tangu primary , mara ooh chuo mara nimeishi nae miaka kadhaa alikuwa busy na mdemu tuu bila element za ushoga huo ni upunga....Dudu baya kasema kama anabisha wakapimwe na kama wako poa akaozee jela.....kama yupo poa agharamike tu kusafisha jina lake by any cost jamii itatambua sku hzi media kibao.....huyo jamaa ni victim wa hzo mambo huwa zinafanyika very secret sana
 
HILO LIKONKI BAADA YA KUSHINDWA MAISHA LINATAKA KUHARIBU MAISHA YA VIJANA WALIOJIJENGA KWA JASHO NA UBUNIFU WA MUDA MREFU.

NI JITU MOJA LIPUMBAVU SANA!
Mkuu mbona
Sam Misago nimeishi nae mtaa mmoja kwa miaka miwili na tulikuwa tunafahamiana. Kwa nilivyomuona sikuona dalili zozote za ushoga. Kwanza kwenye sekta ya mademu alikuwa anawala vibaya sana, nachelea kusema katika vijana niliowashugudia wakibadili wanawake huyu dogo anaongoza.

Sasa hil la kusema shoga sikuwahi kuhisi kwasababu sikuona dalili zozote. Tatizo la wabongo mvulana akiwa hb,msafi swaga fulani kupita kiasi hawachelewi kusema ni shoga.
You might be right or u might be wrong this world is full of suprises.....
 
Kuthibitisha hilo ningekuwa Mimi ningeomba polisi wamkamate Konki konki konki konki konki konki konki konki konki Master halafu twende naye hospital nipimwe akiangalia ili majibu yakitoka aende jela ili yeye ndy akanyofolewe lastic
 
KONKI KONKI MASTER KACHAFUA HALI YA HEWA...ila binafsi nina imani hao wote waliotajwa wanahusika moja kwa moja coz haiwezekan KONKI ajiamin kias kile......either atakuwa kawapitia yaan kawapumulia au ana ushahid moja kwa moja
 
Dawa ni moja tuu waache ushoga....kusema et namjua tangu primary , mara ooh chuo mara nimeishi nae miaka kadhaa alikuwa busy na mdemu tuu bila element za ushoga huo ni upunga....Dudu baya kasema kama anabisha wakapimwe na kama wako poa akaozee jela.....kama yupo poa agharamike tu kusafisha jina lake by any cost jamii itatambua sku hzi media kibao.....huyo jamaa ni victim wa hzo mambo huwa zinafanyika very secret sana
WACHA UJINGA WEYE!

TANGULIA WEWE KWA DAKTARI KWANZA UKAPIMWE HICHO KINYEO KAMA NI RAHA!
 
Sam Misago nimeishi nae mtaa mmoja kwa miaka miwili na tulikuwa tunafahamiana. Kwa nilivyomuona sikuona dalili zozote za ushoga. Kwanza kwenye sekta ya mademu alikuwa anawala vibaya sana, nachelea kusema katika vijana niliowashugudia wakibadili wanawake huyu dogo anaongoza.

Sasa hil la kusema shoga sikuwahi kuhisi kwasababu sikuona dalili zozote. Tatizo la wabongo mvulana akiwa hb,msafi swaga fulani kupita kiasi hawachelewi kusema ni shoga.
Kweli kabisa alidate na rafiki yangu alimsumbua maana kila leo kumkuta na wanawake.

yaani mkaka akiwa HB na msafi basi ni shida!!
 
Dawa ni moja tuu waache ushoga....kusema et namjua tangu primary , mara ooh chuo mara nimeishi nae miaka kadhaa alikuwa busy na mdemu tuu bila element za ushoga huo ni upunga....Dudu baya kasema kama anabisha wakapimwe na kama wako poa akaozee jela.....kama yupo poa agharamike tu kusafisha jina lake by any cost jamii itatambua sku hzi media kibao.....huyo jamaa ni victim wa hzo mambo huwa zinafanyika very secret sana

Huwa wanapimwa vipi?

Hawaingizwi kitu huko kwenye makalio kweli?
 
Back
Top Bottom