God is good and evil

Aliyeleta mada za akili ni nani?

Si wewe ulileta hoja ya akili.

Nikakuuliza Akili ni nini? Hujajibu unaruka ruka tu.
Unajifanya hujui kusoma? Wewe ndio umejibu hapo na inaonyesha kweli huna akili
 
Uliuliza akili ni nini nikakujibu ni ile ambayo huna nathibitisha kwamba huna akili
Sasa hapa hujatoa definition ya Akili nini?

Ume conclude moja kwa moja sina akili, Bila kudefine kueleza hiyo akili ni nini?

Nakuuliza tena,

Akili ni nini?
 
Miungu yote hizo ndio characteristics zao
Tii uje kula mema
Kaidi ujekupambana na adhabu kali
 
Define kwanza, Akili ni nini?

Ukiweza kufanya hivyo ndio tutaendelea.

Maana habari za Akili ulizileta wewe mwenyewe.

Mbona unathibitisha kuwa huna akili ?? Nilifiri utathibitsha kuwa una akili
 
Mbona unathibitisha kuwa huna akili ?? Nilifiri utathibitsha kuwa una akili
Akili ni nini?

Hata kudefine hiyo akili unayo isema huwezi na umeshindwa.

Unaruka ruka tu kama chura.

Wewe ni Tabularasa.
 
Miungu yote hizo ndio characteristics zao
Tii uje kula mema
Kaidi ujekupambana na adhabu kali
Teach I unto men no longer to thrust their heads into the sand of cellestial beings, but to have a terrestrial head that giveth meaning to earth
 
wewe umeshindwa nini kuthibitisha , inaonyesha huna akili
Aliyeleta habari za Akili ni mimi au wewe?

Akili haipo katika uhalisia na huwezi kuthibitisha kwamba ipo.

Akili ni neno la kufikirika tu.

Kama unabisha, Thibitisha una akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…