God Is Zero

God Is Zero

Sasa ukipata zero kwenye mtihani itakuwaje hiyo?

Namuulizia mchizi wangu hapa kijiweni.
 
HHap
Habari wakuu, natumai mu wazima
rejea kichwa cha habari, nimeleta hii mada kwa kwakuwa kwa mtazamo wangu na upeo wangu niliwonao nimeona kuna mkanganyiko juu ya uumbaji wa dunia na namna watu wanavyovutana juu ya dini zao.

Wengine huuliza Mungu ni nani, wengine huuliza kwanini shetani, wengine huuliza Mungu ni nini, wengine hawaamini juu ya uwepo wake, wengine wanaamini, wengine wanatumia sayansi kumdisprove kwa logic, wengine husema logic kwake haitoshi bali imani tu and .....ok!

Katika mathematics kuna kitu kinaitwa co-ordinate geometry ambayo huwa na x and y-axis, horizontal and vertical axis, zote hizi zimekuwa integrated kwenye point 0 ama center of the starting point kwa hizo axis , ukitumia tu akili ndogo ya kwaida 0 ndio huzalisha 1, na pia huzalisha -1 , kwakifupi number inayowakilisha utupu ama "hakuna kitu"ama "nothing" ( 0 ) ndio peke yake hutoa au kuwa chanzo cha mwanzo wa hasi na chanya, pasipo chenyewe kuanzishwa na chochote zaidi ya utupu wake halisi yani unknown cause that exists from an unknown source which technically means "nothing created something but in two aspects positive manner and negative manner.

Hizo number wanasema ni infinity ila mimi najua infinity ni number 9 na hizo zingine hujirudia tu, ukichukua table ya tisa
9*1=9
9*2=18, 1+8=9
9*3=27, 2+7=9
N.k yaani table yote italeta 9 hata ukizidisha na decimals, kingine vidole vyako vipo 10 lakini unahesabu kuanzia 0-9, number za simu zipo kumi ila ni kuanzia 0-9, hapa najaribu kukuonesha tu kuhusu my opinion on infinity wise.

Besides 0 on both sides, there is 1 and -1, good and evil, male and female, hot and cold and so much more nikimaanisha evil imetoka from source ya 0 ambayo ni unknown kama ilivyo good pia.

Jaribu kuangalia unapoiacha 0 kuelekea upande wa joto kunasehemu ukifika either utaungua ama kufa kabisa, vilevile unapoiacha zero pia kuelekea kwenye baridi kunasehemu utaganda na kufa kabisa, ndio maana sisi tuna temperature between 0-100 na sio -1 to -100, number ya temperature yetu ndio level yetu ya uumbaji from dunia , malaika, maji and etc mpaka kufikia sisi na upande wa pili ndo jehenum, moto, ibilisi, majini kuendelea huko, lakini 0 inajitegemea na haiwezi kujulikana kamwe wala kufananishwa na hizo number zingine maana ndo kianzilshi na peke yake ndo kikamilifu , hata umbo la duara maana yake haijulikani starting point na ending point inachojulikana ni utazunguka hilo duara milele kwa sababu halina mwanzo wala mwisho.

Sio mwandishi mzuri sana ila natumai umepata nilichokusudia kuleta mezani.
Asante.
Hapa wale watambuzi...watakuwa pamoja nawe. Kwenye upande huu mmoja....
Wao wanaamini hakuna Mungu wa kumuomba...nguvu ya uungu wanayo wao wenyewe Kama viumbe. Sasa hii nguvu inatoka wapi...ndio hapo kwenye utupu(emptiness)/kutokuwa na kitu(nothingness). Ndio hiyo zero Sasa. Wao suala la kusema Mungu yupo na anatusikia tukimuomba..na atatuadhibu tukizingua wanalikataa...kwa sababu hizo ni tabia za mtu(personal). Na Mungu kwao Ni nguvu...
Ni kanuni pekee zinahitajika kuipata na kuiamuru nguvu hiyo. Sio kuiomba Ni kuiamuru kwa kufuata kanuni.
 
Mungu ni roho na ndio maana hadi ufe ndio utamwona so kama unamtafuta Mungu kuwa mlokole au kufa ukamwone maan huto mwona ukiwa hai kwasababu bado ndani yake una Mungu ila ukifa ndio roho inatoka inaacha mwili.
Na unamwona Mungu
 
Mda mwingne unaweza jiuliza hiv kwel Mungu yupo?? Na kama yupo mbn watu innocent ndo wanateseka? Kisha unajiulz na kujijibu labda tunamwabudu Mungu asiye sahii,, Ila kusema ukwel hakuna anayeifahm dunia
 
Mungu ni roho na ndio maana hadi ufe ndio utamwona so kama unamtafuta Mungu kuwa mlokole au kufa ukamwone maan huto mwona ukiwa hai kwasababu bado ndani yake una Mungu ila ukifa ndio roho inatoka inaacha mwili.
Na unamwona Mungu
Roho maana yake nini mkuu??
 
Habari wakuu, natumai mu wazima
rejea kichwa cha habari, nimeleta hii mada kwa kwakuwa kwa mtazamo wangu na upeo wangu niliwonao nimeona kuna mkanganyiko juu ya uumbaji wa dunia na namna watu wanavyovutana juu ya dini zao.

Wengine huuliza Mungu ni nani, wengine huuliza kwanini shetani, wengine huuliza Mungu ni nini, wengine hawaamini juu ya uwepo wake, wengine wanaamini, wengine wanatumia sayansi kumdisprove kwa logic, wengine husema logic kwake haitoshi bali imani tu and .....ok!

Katika mathematics kuna kitu kinaitwa co-ordinate geometry ambayo huwa na x and y-axis, horizontal and vertical axis, zote hizi zimekuwa integrated kwenye point 0 ama center of the starting point kwa hizo axis , ukitumia tu akili ndogo ya kwaida 0 ndio huzalisha 1, na pia huzalisha -1 , kwakifupi number inayowakilisha utupu ama "hakuna kitu"ama "nothing" ( 0 ) ndio peke yake hutoa au kuwa chanzo cha mwanzo wa hasi na chanya, pasipo chenyewe kuanzishwa na chochote zaidi ya utupu wake halisi yani unknown cause that exists from an unknown source which technically means "nothing created something but in two aspects positive manner and negative manner.

Hizo number wanasema ni infinity ila mimi najua infinity ni number 9 na hizo zingine hujirudia tu, ukichukua table ya tisa
9*1=9
9*2=18, 1+8=9
9*3=27, 2+7=9
N.k yaani table yote italeta 9 hata ukizidisha na decimals, kingine vidole vyako vipo 10 lakini unahesabu kuanzia 0-9, number za simu zipo kumi ila ni kuanzia 0-9, hapa najaribu kukuonesha tu kuhusu my opinion on infinity wise.

Besides 0 on both sides, there is 1 and -1, good and evil, male and female, hot and cold and so much more nikimaanisha evil imetoka from source ya 0 ambayo ni unknown kama ilivyo good pia.

Jaribu kuangalia unapoiacha 0 kuelekea upande wa joto kunasehemu ukifika either utaungua ama kufa kabisa, vilevile unapoiacha zero pia kuelekea kwenye baridi kunasehemu utaganda na kufa kabisa, ndio maana sisi tuna temperature between 0-100 na sio -1 to -100, number ya temperature yetu ndio level yetu ya uumbaji from dunia , malaika, maji and etc mpaka kufikia sisi na upande wa pili ndo jehenum, moto, ibilisi, majini kuendelea huko, lakini 0 inajitegemea na haiwezi kujulikana kamwe wala kufananishwa na hizo number zingine maana ndo kianzilshi na peke yake ndo kikamilifu , hata umbo la duara maana yake haijulikani starting point na ending point inachojulikana ni utazunguka hilo duara milele kwa sababu halina mwanzo wala mwisho.

Sio mwandishi mzuri sana ila natumai umepata nilichokusudia kuleta mezani.
Asante.
Hii ya kuanza kuhesabu vidole kwa kuanza na 0 ndio nasikia leo
 
mtatengeneza yani mimi na nani?
conspiracy ni term iliyoundwa na CIA kudisprove uhalisia katika nyanja nyingi ili uweze kuwa indoctrinated accurately.

Life inawezekana bila mathematics?
Unaweza anza chochote bila 0?

Mimi nimekurahisishia tu,ila kama unataka uthibitisho wake fata maelekezo yake atajidhihirisha kwako very simple.
Achana na namba hizo, elezea kitu tangible sivyo hii itakua haina tofauti na hekaya nyingine
 
Mkuu hongera kwako umedadavua vizuri sana. Umejaribu vyema na umetumia Akili ya Juu sana kumtafakari Mungu kwa Namba, sio Jambo Dogo. Mkuu japo wapo watakao kupinga For Nothing juu ya Gods existence.

Ila Mungu Yupo na anaishi na Ni Halisi kabisa. Kwasababu yapo mambo Mengi ambayo ukifikiri kibinadamu ni kuwa Hayawezekani kabisa lakini kwa Mungu muanzilishi wa Yote. Yanawezekana

Mungu ni Nguvu( infinity power) nguvu zake hazina mwanzo wala mwisho

Conc; God is Nothing, But that Nothing Gives Meaningful of Something. Without Nothing There is No Something.

Mungu ni utupu, lakini huo Utupu ndio uleta maana sahihi kwa kua kitu pia. Kama hakuna Utupu basi na hakuna chochote. Hapa huitaji akili kubwa sana kuelewa.

All the Best
 
Ukitaka kumwona Mungu uwe na pesa, Mungu hana mda na masikini.
Mkuu, nilitaka nikupuuze tu nikuache

Ila nimeona utapotea Kimawazo, kama ukiendelea kuwaza hizo Njegere zako.

Mungu hayuko ivo unavyo muwazia

Ila kama hutaki sawa. All the Best
 
Hapa tanzania kila nabii ana mungu wake (sijasema Mungu). Mungu wa suguye ni tofauti na wa mwamposa ambae ni tofauti na mzee wa upako ambae anatofautiana na mungu wa kakobe ambae hapatani na mungu wa mama rwakatare huku akiwa na bifu na mungu wa gamanywa au yule wa richard mwacha. Jor davie nae mungu wake sijui anafanana na mungu wa nani hapo mana wote wanamabifu na kugombania waumini tuu.
 
Halafu pia ona mfano wa kamtiririko;
10 haimo katika 9 kumi ni mpya ni kitu kipya
Lakini 9 imo katika 10, in fact kumi ni tisa na ziada fulani tu.
Kama ambavyo kumi inayo tisa, ndivyo hivyo hivyo tisa ni nane na ka ziada fulani tu.
8 ni mpya lakini inayo 7 na ka zaidi. Mambo ni vivyo hivyo kwa 6,5,4,3 hadi mbili zote zinao wa chini yake na nyongeza kiasi.
Sasaa tukija kwa moja inakuwa wazi kabisa ni ongezeko kiasi kutoka kwa sifuri[0]!
Kumbe sifuri ndio fundamental one thing ambayo ipo pooote na ni kama haipo popote [nothing]

Ni kama msanii mmoja alipata kunena kuwa; Sifuri ndo ya kwanza, moja ni ya pili. Cha ajabu ya pili inaanza na ya kwanza inasubiri - Songa
Mfano wa uzuri na umuhimu wa sifuri katika kuyafaidi maisha.
 
Back
Top Bottom