Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

Lema ana madhara gani wajameni.?
~hana bunduki
~hana jeshi
~hata jiwe hana

au mdomo wake umekuwa kifaru?
Hivi una amini kweli anataka kuuwawa? Kwa threat ipi aliyonayo kwenye taifa hili. Drama tu hizo...
 
It's now confirmed, Kenya is our second home. Expect us in numbers; be it in transit or on long term stay
 
Waulize kina ngoooosha wenzako
 
Aiseee sio kwa povu hili
 
Vile vivuli walivyohangaika usiku na mchana ili kuvichonga kwa midomo ya siasa ya ujeuri, unafiki, kiburi na kupinga kila kitu majukwaani na mbele ya vyombo vya habari sasa ndivyo vinawaandama, havitaki kuwaacha kabisa.
Ujinga mtupu mkuu, huyu Lema si ndio yule aliye ota Kisha akaita waandishi wa habari kuwa ameota Rais atakufa kabla ya 2020.
Kama hakufuatwa kuuawa kipindi kile ndo aje awindwe kuuawa leo?
 
Huo mti mrefu kuliko yote Tanzania ni Dkt. Magufuli. Njoo chini ya mti huo tulijenge taifa letu.
 
Nadhani wamekaa na kukubaliana kuwa hii iwe strategy mpya ya kuharibu image ya nchi baada ya kuukosa ubunge.

Wanajua wakiwa wabunge wanakuwa na Parliamentary Immunity, so wanaweza ongea lolote wakiwa ndani ya bunge.

Kwakua sasa hawana hiyo the ONLY cover ni kuwa wakimbizi wa kisiasa huko watazungumza lolote wakiwa uhamishoni.

Wapinzani ni watu hatari Sana kwa Ustawi wa Taifa letu, ni wabinafsi kupindukia,

Tutaendelea kusikia Taarifa kama hizi toka kwa wengine.
 
Stunt

Lema hakuuawa alipokuwa mbunge leo sio mbunge kabakiwa na suruali nani anataka kumuua?

Lema ni threat kwa nani??

Kama personal issue alikabili tu
Unauliza Lema Godless ni threat kwa nani? Kama upo kwa shemeji yako au una maslahi na watawala hawa wa mabavu hutoshangaa kuhusu hilo. . ila amini kwamba dikteta anawaogopa watu aina ya Lema kuliko huyo mumeo anavyoogopa kufukuzwa kazi kwa kumteta vibaya Nduli.
 
Mkuu stroke, kitu gani ambacho unaamini ni kizuri kutoka kwa wapinzani wa nchi hii hasa CHADEMA? Hata kitu kimoja, au hoja moja waliyowahi kuileta au kuianzisha au kuiongelea katika nchi hii.
 
Tundu Lissu alishambuliwa kwa risasi akiwa na hiyo parliamentary immunity. Kuna uchunguzi wowote ulifanyika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…