Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kote mtu unaweza kutetea au kuwa neutral Dina
Pole kwa kukuudhi
Bonyeza/click ID yake then itafunguka na kuwa na options. Bonyeza Ignore na hutaona contents zake tena.
Jf sidhani kama wanayo hii optionNataka ile ya kumblock mtu nisione hata jina lake wala maandiko yake hii ignore list hakuna kitu
Democracy is about to die in this country,I don’t like your ass, either.
Kick rocks and die.
Come fight me.
Nimeuliza maswali mengi sana hapo juu cha ajabu badala ya kujibu nawe unakuja na swali lako.Jibu ulichoulizwa ndio uje na swali lako.kama hayajibiki basi nikutakie usiku mwema.Waliotaka kumuua 2017 alikuwa tishio kivipi hadi wakataka kumuua?
Waweke tafadhali 🙆🏽♂️Jf sidhani kama wanayo hii option
Wale waliouwawa Zanzibar wanatosha kutujulisha usalama wa wapinzani TanzaniaWakiondoka wote shamba litaliwa na ngedere, walitakiwa kupambana mbona BobWine wa uganda hajakimbia nchi anapambana? Julius Malema wa Africa kusini, Maalim seif hajakimbia? Kama viongozi wa chadema ni waoga kiasi hiki ni wazi wabongo wote ni majejeta.
Zanzibar kule wamepambana kiasi chao na bado mapambano yanaendelea kwann wabongo ni waoga kiasi hiki?
Lissu hapaswi kukimbia pia yeye ni mgombea urais dunia inamfahamu sasa sana madam alisema wanataka kumuua alitakiwa atulie nchini, kumuua kiongozi wa upinzani ulimwengu unakuwa macho sana. Aende kwa matibabu halaf arudi.
We tunakuambia tunaishi kwa mkono wa chuma hauamini Aya sasaI hope this is fake news....
Otherwise, nini kinaendelea hapa Tanzania?
Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020
Gazeti la The Standard la Kenya linaripoti kuwa Lema na familia yake wamekamatwa eneo la Kajiado wakivuka mpaka wa Namanga kwa tax kutorokea Kenya kwa hofu ya kuuawa. Zaidi.... Aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini kupitia CHADEMA, Godbless Lema amekamatwa na Polisi katika Kaunti ya Kajiando nchini...www.jamiiforums.com
Vile vivuli walivyohangaika usiku na mchana ili kuvichonga kwa midomo ya siasa ya ujeuri, unafiki, kiburi na kupinga kila kitu majukwaani na mbele ya vyombo vya habari sasa ndivyo vinawaandama, havitaki kuwaacha kabisa.Wanajitisha wenyewe na kuogopa kweli
Siku hizi akili zimekurudi eeeeh?Una uhakika gani wanajitisha wenyewe?
Lissu aliposema kuna watu wanamfuata fuata baadhi yetu tulisema hivyo hivyo....
Leo natamani niyameze maneno yangu!
Huo ulinzi Lissu apewe na nani? Kwenye kampeni alisema wazi kuwa walio mshambulia ni Askari kwa amri ya Rais sasa ulinzi apewe na nani wakati hao askiri ndio anao dai wauaji?Kwa mambo yanayofanywa na awamu hii sishangai chochote, wewe unaruhusiwa kuropoka tu kwasababu bado hayajakufika.
Lissu mpaka leo mmegoma kumpa ulinzi anaishi ubalozini kwa wazungu ndani ya nchi yake kwasababu gani?
Haya yanawezekana ndio maandalizi ya jamaa kujiongezea muda wa kubaki madarakani, anaona huu ndio wakati wake wa kuwaondoa wapinzani wa kweli wote. Ndani ya hii miaka mitano ijayo, watanzania tujiandae kuona mengi sana ya kushangaza.
Jamaa muungwana sana wewe, ujasiri wako wa kukiri makosa ni wa kipekee. Kila siku najifunza Jambo jipya kutika kwakoUna uhakika gani wanajitisha wenyewe?
Lissu aliposema kuna watu wanamfuata fuata baadhi yetu tulisema hivyo hivyo....
Leo natamani niyameze maneno yangu!
Kumbuka pia mtu anaweza kutumia mwanya huo kufanya kweli. Matukio ya kutengeneza yanawawekeni kwenye tashwishwi ya kutoaminika japo kwa sentimita moja.Una uhakika gani wanajitisha wenyewe?
Lissu aliposema kuna watu wanamfuata fuata baadhi yetu tulisema hivyo hivyo....
Leo natamani niyameze maneno yangu!
Kwani si ilitolewa amri ya kuandamana mbona hukutoka kwenda kuandamana, huoni hapo kuwa wewe ndio mnafiki namba moja kwa hao viongozi?Viongozi wa upinzani wanakuwa persecuted hivi halafu watu kimyaa.
Nchi hii wacha tuendelee kupata kibano hadi akili zetu zikae sawa!