Godbless Lema alipotoa Utabiri Mahsusi kwa Awamu #6

Godbless Lema alipotoa Utabiri Mahsusi kwa Awamu #6

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Awaye yote atake au asitake Mola anayo namna yake ya kusema na waja wake:



Ikumbukwe kuwa imeandikwa, (Mathayo 7:15-16) "manabii wa uongo mtawajua kwa matunda yao."

Izingatiwe kuwa utabiri wa Lema unafungamanishwa moja kwa moja na umuhimu wa matendo ya haki kwa wengine, kuweza kuivuna mibaraka ya maisha marefu.

Kupata kuishi maisha marefu ni mbaraka kutokea kwa Mola mwenyewe (Kut 20:12, Efeso 6:2-3).

Tutende haki vinginevyo, asilaumiwe dobi kaniki ni rangi yake.
 
Lema anapenda kutabiria wengine mabaya tu, ashindwe na alegee

Baya gani alimtabiria Magufuli? Baya gani alimtabiria Sabaya? Baya gani anamtabiria Samia?

Mbona iko wazi usipotenda haki kunyimwa mibaraka na Mola kama atakavyoona inafaa itakuhusu.

Maisha marefu ni mfano wa mibaraka kutoka kwa Mola.

Kwanini msijikite kwenye kutenda haki? Kuna ugumu gani kwenye hilo?

Kumlaumu dobi haisaidii kufanya kaniki kuwa jeupe!
 
Lema anasisitiza haki. Jikiteni kwenye haki kuna tuzo ya maisha marefu. Hamtaki, yatawakuta asema mtumishi.

Hakuna mzushi katika ukweli huo!
Hivi Lema akiwa Rais kesho anaweza kugawa haki kwa Kila mtu?
 
Lema ni mzushi fulani hivi wa kimachame!
Screenshot_20211215-131022.jpg
 
Back
Top Bottom