Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Atashindwa na atalegea pindi atapotabiria mabaya halafu yasitokee!!!Lema anapenda kutabiria wengine mabaya tu, ashindwe na alegee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atashindwa na atalegea pindi atapotabiria mabaya halafu yasitokee!!!Lema anapenda kutabiria wengine mabaya tu, ashindwe na alegee
Ila utabir wa sabaya unauonaje!!Lema ni mzushi fulani hivi wa kimachame!
Kufuata sheria ndicho kielelezo cha kutenda haki!!!Hivi Lema akiwa Rais kesho anaweza kugawa haki kwa Kila mtu?
Bado wewe, ngoja aje akutabirie uondokeLema anapenda kutabiria wengine mabaya tu, ashindwe na alegee
Ebu rudia kauli yako... Au nawe unataka kuondokaLema ni mzushi fulani hivi wa kimachame!
Mimi siondoki hata iweje sionei mtu, sidhulumu yoyoteBado wewe, ngoja aje akutabirie uondoke
Mimi siondoki hata iweje sionei mtu, sidhulumu yoyote
😅😅😅😅Tutende haki vinginevyo, asilaumiwe dobi kaniki ni rangi yake.
Ndio. Matendo yake na tabia yake yanamwonesha yuko hivyo. Historia itamhukumu kwa haki.Hivi Lema akiwa Rais kesho anaweza kugawa haki kwa Kila mtu?
Ulikaa kwa kunyoka kabjsa wala haukupinda pindaIla utabir wa sabaya unauonaje!!
Kwani rais yupo kwa ajili ya kufurahisha kila raia!!???Hii nchi mnayoiota kutwa ni ya kusadikika.
Hakuna Rais atakayemfurahisha Kila raia.
Mwenye SMG aniazime Nina kazi nayo.
Sawa mzee wa legacy 😂😂
Duh..
Huyu lema asichukuliwe poa,asije kuwa anatumika na wapanga mipango.
Kuna uzi wa somebody Tumaini sijui..nikiunganisha na hii dot pia.
Tuzidishe maombi hizo nguvu za giza zisiweze kutimia.
Ulikaa kwa kunyoka kabjsa wala haukupinda pinda
Usichezee ukoo Wa chifu Kileo bwashe😅😅Lema ni mzushi fulani hivi wa kimachame!
Taja utabiri wake ambao haukutimia
Ni wakati wa kuwaambia ukweli hawa wanajivunia udhalimu na ukatili ETI kama 'mbinu' ya kutawala.Kwamba? Kila raia?
Hawa kwa kuteka, kutesa, kuuwa, kubambikiziana kesi nk wamechukiza wengi.
Tafakari CDM peke yake ina wafuasi wasiopungua 8m+.
Hujui wangapi wanaonung'unika na mafuta, tozo, na mzigo wa kodi usiowahusu huko juu?
Hujui wangapi wanaonung'unika na dhuluma za serikali hii na iliyopita?