Godbless Lema alipotoa Utabiri Mahsusi kwa Awamu #6

Godbless Lema alipotoa Utabiri Mahsusi kwa Awamu #6

Hii nchi mnayoiota kutwa ni ya kusadikika.

Hakuna Rais atakayemfurahisha Kila raia.

Kwamba? Kila raia?

Hawa kwa kuteka, kutesa, kuuwa, kubambikiziana kesi nk wamechukiza wengi.

Tafakari CDM peke yake ina wafuasi wasiopungua 8m+.

Hujui wangapi wanaonung'unika na mafuta, tozo, na mzigo wa kodi usiowahusu huko juu?

Hujui wangapi wanaonung'unika na dhuluma za serikali hii na iliyopita?
 
Kwamba? Kila raia?

Hawa kwa kuteka, kutesa, kuuwa, kubambikiziana kesi nk wamechukiza wengi.

Tafakari CDM peke yake ina wafuasi wasiopungua 8m+.

Hujui wangapi wanaonung'unika na mafuta, tozo, na mzigo wa kodi usiowahusu huko juu?

Hujui wangapi wanaonung'unika na dhuluma za serikali hii na iliyopita?
Nina shaka na hiyo orodha ya wafuasi was CDM. Chama kisicho na taaratibu kitajuaje takwimu zake.

Kila mtu beberu unadhani kuna system. Hata hayo unayoyataja viongozi was CDM hurukia rukia tu baada ya kuskia taarifa Kama Jana walivyofanya kwa Zito.
 
Kwamba? Kila raia?

Hawa kwa kuteka, kutesa, kuuwa, kubambikiziana kesi nk wamechukiza wengi.

Tafakari CDM peke yake ina wafuasi wasiopungua 8m+.

Hujui wangapi wanaonung'unika na mafuta, tozo, na mzigo wa kodi usiowahusu huko juu?

Hujui wangapi wanaonung'unika na dhuluma za serikali hii na iliyopita?
Ndugu hebu nitajie serikali mojawapo hapa duniani ambayo hainung'unikiwi na wananchi wake
 
Kutabiri kifo ni jambo baya? Kifo ni Jambo baya?
Kifo sio adhabu, kifo ni haki na ndio maana mwema na mbaya wote hufa.
Hata lema asipotabiri kufa kupo tu

Misahafu inatoa ahadi ya maisha marefu kama tuzo. Haijasema hamtakufa.

Kwanini hamuhimizani kutenda wema? Hamuoni utabiri unasema pia kuwa wakitenda mema wataishi maisha marefu?

Mbona huu wa mafupi unawatoa povu hivi? Au ni kwa sababu kutenda haki kwenu ni yasiyowezekana?
 
Nina shaka na hiyo orodha ya wafuasi was CDM. Chama kisicho na taaratibu kitajuaje takwimu zake.

Kila mtu beberu unadhani kuna system. Hata hayo unayoyataja viongozi was CDM hurukia rukia tu baada ya kuskia taarifa Kama Jana walivyofanya kwa Zito.

Hata usajili wa wanachama kidijitali hujasikia?

Idadi ya kura alizopata mgombea wa CDM 2015 nazo hukusikia?

Toa pamba masikioni.

Wanaowachukia (yawezekana) ni wengi kuliko walio upande wenu.
 
Hata usajili wa wanachama kidijitali hujasikia?

Idadi ya kura alizopata mgombea wa CDM 2015 nazo hukusikia?

Toa pamba masikioni.

Wanaowachukia (yawezekana) ni wengi kuliko walio upande wenu.
Sina upande... Kwani kutoa data za uongo nani anashindwa hata kicha.

Nakuambia kwa jinsi CDM walivyodisorganised nina mashaka Kama wanakumbukumbu za wanachama.

Hakuna heshima na maadili.... Sasa system itatoka wapi. Behaviour ya taasisi kwa nje itakupa picha ya kilichopo ndani.
 
Ndugu hebu nitajie serikali mojawapo hapa duniani ambayo hainung'unikiwi na wananchi wake

Kuteka, kutesa, kuuwa, kubambikia watu kesi, nk vinara ni serikali za nchi hizi hapa:

Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi, Mozambique, Zimbabwe.

Hapo juu watu kuwa kwenye viroba ni sehemu ya maisha na watu kama wewe mngependa turidhie kuwa ni halali.

Hapa chini nu serikali ambao ni buheri wa afya:

Kenya, Zambia, Malawi, Zambia, Namibia, Botswana, SA.

Pitia jarida limo humo na viwango vya malalamiko utambue viroboto na wahuni nyie mmetufikisha wapi:

10 Most unhappy countries in Africa...

Ukweli mchungu - mmetuchosha!
 
Sina upande... Kwani kutoa data za uongo nani anashindwa hata kicha.

Nakuambia kwa jinsi CDM walivyodisorganised nina mashaka Kama wanakumbukumbu za wanachama.

Hakuna heshima na maadili.... Sasa system itatoka wapi. Behaviour ya taasisi kwa nje itakupa picha ya kilichopo ndani.

Kwamba huna upande?

IMG_20211211_233507_327.jpg


Haki haina upande mjomba.

Zaidi sana unajianika tu kiroboto mwingine kama walivyokuwa wale wahuni na matapeli katika ubora wenu.
 
Lema anapenda kutabiria wengine mabaya tu, ashindwe na alegee
Unajua maana ya kutabiri?
Kutabiri ni kuona mambo yajayo.
Lema hajamuombea Mama mambo mabaya bali ameyaona yatakayomtokea huko baadae.
Sasa hapa cha kujiuliza ni je Lema anaona kweli au ana jisemea tu?.
Kuna maombi,kutabiri na maono.

Kutabiri ni uwezo wa kuona yajayo.

Kuomba ni uwezo kuomba kitu majibu yakaja au wa kumuombea mtu jambo limtokee na likamtokea kweli.

Maono ni kuoneshwa mambo ya baadae na kuelezea kama ulivyoyaona.
 
Nabii Paulo awali akiitwa Sauli alikuwa baradhuli, jambazi na mwuuaji.

Tenda wema utapata maisha marefu. Hamtaki kuna jambo litawafika!

Taabu iko wapi hapo?
.lm DD el
 
Hivi Lema akiwa Rais kesho anaweza kugawa haki kwa Kila mt

Hivi Lema akiwa Rais kesho anaweza kugawa haki kwa Kila mtu?
Kwa hiyo asidai haki kwa sasa?
Kwa sababu hatoweza kugawa haki kwa kila mtu.
Au anyamaze tu hata akionja kuna baadhi ya watu wanaonewa?

Unajua Pole pole sasa hivi anaishi kwa hofu kuliko Lema?

Unajua kuwa pole pole aliwaona akina Lema kama corona?

Kutetea haki hakuna hasara yoyote kuliko kutetea uovu.
Polepole alikua mfuasi mtiifu wa yule kiongozi Muovu kabisa kuwahi kutokea katika nchi hii.
Sasa kibao kimegeuka.
 
Sina upande... Kwani kutoa data za uongo nani anashindwa hata kicha.

Nakuambia kwa jinsi CDM walivyodisorganised nina mashaka Kama wanakumbukumbu za wanachama.

Hakuna heshima na maadili.... Sasa system itatoka wapi. Behaviour ya taasisi kwa nje itakupa picha ya kilichopo ndani.
Aisee!
Nilikua najiuliza sasa nimekuelewa.
 
Back
Top Bottom