Godbless Lema alipotoa Utabiri Mahsusi kwa Awamu #6

Mwenye SMG aniazime Nina kazi nayo.

Lissu kokote aliko anapaswa kujua kama hazina kubwa ya thamani kwa nchi hii kuna wanaomwona ni kizingiti kwao.

Maisha ya Lissu ni muhimu yalindwe hata huko nje.
 
Duh..

Huyu lema asichukuliwe poa,asije kuwa anatumika na wapanga mipango.

Kuna uzi wa somebody Tumaini sijui..nikiunganisha na hii dot pia.

Tuzidishe maombi hizo nguvu za giza zisiweze kutimia.
 
Duh..

Huyu lema asichukuliwe poa,asije kuwa anatumika na wapanga mipango.

Kuna uzi wa somebody Tumaini sijui..nikiunganisha na hii dot pia.

Tuzidishe maombi hizo nguvu za giza zisiweze kutimia.

Nguvu za giza haziendi na mahitaji ya kutenda haki.

".. mtawajua kwa matunda yao .."
 
Ni wakati wa kuwaambia ukweli hawa wanajivunia udhalimu na ukatili ETI kama 'mbinu' ya kutawala.
Wakati umefika wajijue kuwa wamejawa na unafiki na ni aibu na hasara kubwa kwa taifa iliyorithiwa kutoka awamu ya tano kipindi cha giza,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…