Hahaha wanaanza kuwindana kuuana wao kwa wao hahaha. Laana ya kumdhihaki Dkt Magufuli itawamaliza. Yaani mpaka sasa Tanzania hatuna wapinzani tuna vikundi vya magaidiMwanasiasa na nabii Godbless Lema ameweka video kwenye ukurasa wake wa X ikiwa na ujumbe wa kusisitiza kutoamini mwanasiasa yoyote.
Tunajua Mawazo alikuwa akilalamika kuna watu ndani ya chama chake wanataka kumdhuru kabla ya kufikwa na umauti wake.
View attachment 3183810
MMELAANIWAQ SANA KUFURAHIA KIFIO CHA JPM NA NDIYO MATOKEO YAKE HAYA SASA YANAONEKANANje ya mada.
Alimuonya juu ya maridhiano, alimwambia chukua tahadhari unadanganywa mwenyekiti.Niwa taarifu tu Lema hawezi kumdhrau au kumkashifu Mbowe !
Ikitokea basi ndio mwisho wa dunia umefika
Huyu ndio hovyo klabisa kwenye tuhuma za mauji. Watu waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba ilikuwa ni kazi ya nani?Tuliwaonya sana kuhusu kushangilia kifo Cha mwamba JPM the true Pan Africa
Sema tuna wapinzani wapumbavHahaha wanaanza kuwindana kuuana wao kwa wao hahaha. Laana ya kumdhihaki Dkt Magufuli itawamaliza. Yaani mpaka sasa Tanzania hatuna wapinzani tuna vikundi vya magaidi
Lakini hata lisu kawatuhuma baadhi ya vigogo kupanga njama za mauji dhidi yake na wale waliokuwa na ushahidi ya makada wa chadema kuchukua rushwa Kwa Abdul kwaiyo yawezekana wahusika wa mauji ni vigogo wa chadema ushawahi jiuliza kwanini mbowe hauawi wanauwa wengine?Huyu ndio hovyo klabisa kwenye tuhuma za mauji. Watu waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba ilikuwa ni kazi ya nani?
Mbona yeye anataka watu wawaamini?Mwanasiasa na nabii Godbless Lema ameweka video kwenye ukurasa wake wa X ikiwa na ujumbe wa kusisitiza kutoamini mwanasiasa yoyote.
Tunajua Mawazo alikuwa akilalamika kuna watu ndani ya chama chake wanataka kumdhuru kabla ya kufikwa na umauti wake.
View attachment 3183810
R.i.p mawazo alphonce..kifo chako kiwe chachu ya harakati za ukombozi wa pili..Mwanasiasa na nabii Godbless Lema ameweka video kwenye ukurasa wake wa X ikiwa na ujumbe wa kusisitiza kutoamini mwanasiasa yoyote.
Tunajua Mawazo alikuwa akilalamika kuna watu ndani ya chama chake wanataka kumdhuru kabla ya kufikwa na umauti wake.
View attachment 3183810