kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Sasa ni mbunge uko singidaMI nataka tujue Ulimboka alitekwa na akina nani? Tusitetee wanasiasa tu, ni Ujinga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ni mbunge uko singidaMI nataka tujue Ulimboka alitekwa na akina nani? Tusitetee wanasiasa tu, ni Ujinga!
Una elimu gani?Tunataka kujua taarifa ya kifo cha Magufuli kina Tundu lisu na huyu lema walikuwaga wanazipatia wapi kabla hatujatangaziwa? Na huyu lema aliwahi kutabiri kifo cha jpm tulitaka ahojiwe vizuri atakuwa anajua chanzo cha kifo chake
Wapinzani ni Raia halali wa nchi hii na Rais Samia ni wa Watanzania wote bila kujali dini, itikadi, rangi etc, Kama anaona kuna umuhimu wa kufanya hivi hakuna wa kumzuia.Rais asipokua makini anaweza kumaliza muda wake akifanyia kazi issues za wapinzani TU,
Ndio maana huwa wanasema "if you give them an inch they will ask for a mile".
Wakimaliza hili, watadai jingine na wakiona wametimiza malengo yao wataanza kumpinga.
Chanzo ni kukarika kwa umeme kwenye moyoTunataka kujua taarifa ya kifo cha Magufuli kina Tundu lisu na huyu lema walikuwaga wanazipatia wapi kabla hatujatangaziwa? Na huyu lema aliwahi kutabiri kifo cha jpm tulitaka ahojiwe vizuri atakuwa anajua chanzo cha kifo chake
Alitekwa na Ramso Igondwu mbunge huko SingidaMI nataka tujue Ulimboka alitekwa na akina nani? Tusitetee wanasiasa tu, ni Ujinga!
Na Henry KiboxHayo Maswala ya Lissu na Ben Muhusika Mkuu ni Daud Albert Bashite Fa Fa Fa Fa Fa Fa Fa.
Aliuliwa na uvccmPia tunataka kujua Chacha wangwe alikufaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rais ni mzima anachapa kazi - Majaliwa
Huyu naye ahojiwe ?
Wewe mbona unajulikana umewekwa kinyumba na mwanaume mwenzako hapo Lumumba?Mwambieni aache kulelewa na wanaume kwanza! Badala yake yeye awe mwanaume halisi aje hapa nchini aoiganie hayo akiwa hapa nchini kwake,
Umewaza mbali sana.Pia tunataka kujua Chacha wangwe alikufaje?
Hivi ni kwanini huyu mtumishi wa Mungu ametajwa kama anazo dondoo za mambo haya ?Kha! Hivi gwajima aliwahi kuokoka? kivipi? 😡
Bashiru ndiye alikuwa anawatonyaTunataka kujua taarifa ya kifo cha Magufuli kina Tundu lisu na huyu lema walikuwaga wanazipatia wapi kabla hatujatangaziwa? Na huyu lema aliwahi kutabiri kifo cha jpm tulitaka ahojiwe vizuri atakuwa anajua chanzo cha kifo chake
UvccmTunataka kujua viongozi wa ccm kibiti walikuwa wanauliwa na nani
Hivi ktk ukoo wenu kuna mtu mwenye akili timamu kweli?Mwambieni aache kulelewa na wanaume kwanza! Badala yake yeye awe mwanaume halisi aje hapa nchini aoiganie hayo akiwa hapa nchini kwake,
Kama nakumbuka vizuri ni Ramadhan Ighondu, ambaye sasa Ni mbunge wa Jimbo fulani huko Singida.Gazeti la Mwanahalisi lilimtaja wazi kabisa!
Si huyu SSH alitema cheche kule Morogoro wakati wa campaign, kuwa Lissu hakupigwa risasi na watu wa CCM au jeshi letu, maan wao wako makini na sharp, haiwezkan risasi zaidi ya 3 zisitoe uhai wake, na akamalizia kuwaambia wananchi kuwa wapige kura au wasipige lazima CCM ishinde uchaguzi,Wakati huyo Ben Saanane anapotezwa katika mazingira ya kutatanisha na huyo Tundu Lissu anapigwa marisasi, huyu Madam SSH yeye alikuwa nani??
Kesi ya Nyani mnataka Ngedere awe hakimu??
SukumaGang Wahedi!!!Tunataka kujua taarifa ya kifo cha Magufuli kina Tundu lisu na huyu lema walikuwaga wanazipatia wapi kabla hatujatangaziwa? Na huyu lema aliwahi kutabiri kifo cha jpm tulitaka ahojiwe vizuri atakuwa anajua chanzo cha kifo chake
Kuna jambo kubwa linakuja , sasa hizi anazofanya Lema ni ProtocolSi huyu SSH alitema cheche kule Morogoro wakati wa campaign, kuwa Lissu hakupigwa risasi na watu wa CCM au jeshi letu, maan wao wako makini na sharp, haiwezkan risasi zaidi ya 3 zisitoe uhai wake, na akamalizia kuwaambia wananchi kuwa wapige kura au wasipige lazima CCM ishinde uchaguzi,
Sijui wamesahau tena lol.