Kapicha kamanda au picha nayo mpaka viongozi wa edit?Wakuu Salamu toka Arusha na vitongoji vyake.
Uwanja wa Shekh Amri Abeid na tamasha uwanja wa Kilombero hakuna watu ni aibu tupu kama si fedhehea.
Wana Arusha wapo uwanja wa Relini wamejaa tele hakuna nafasi ya kutema mate.Hakuna nafasi ya kujigeuza wala kujinasi ni nyomi ya kutosha na kusikitisha kwa wenye hila na hiyana.
Mkuu wa Wilaya njoo na style nyingine hii imebuma vibaya mno,tamasha tuwekee kesho leo tunasikiliza sera na miongozo ya Mh Lissu mmekata umeme lakini haisaidii asilani.
Umemaliza kila kituKwa kweli unatia huruma.
Au muombe akuletee japo picha lolote lenye nyomi ya kutosha hata la sokoni tu ili ujifariji.
Jamaa hataki kukubali kuwa wana Arusha tumesusa kwenda kutazama soka na kuamua kwenda kumsikiliza rais mtarajiwa mh LissuAngalia mechi hii Azam TV utaona hata ukidondosha sindano utaiona.
Weka pichaMkuu Nipo relini hapa kwa Lissu Yan ni balaa
Kamanda baadae utume picha wakiwa wanapitisha mabakuli kamanda.
Leo hii wana Arusha tupo na rais mtarajiwa mh LissuKila la heri Simba.
Yaani nchi hii tunaongozwa na mapunguani!Wakuu Salamu toka Arusha na vitongoji vyake.
Uwanja wa Shekh Amri Abeid na tamasha uwanja wa Kilombero hakuna watu ni aibu tupu kama si fedhehea.
Wana Arusha wapo uwanja wa Relini wamejaa tele hakuna nafasi ya kutema mate.Hakuna nafasi ya kujigeuza wala kujinasi ni nyomi ya kutosha na kusikitisha kwa wenye hila na hiyana.
Mkuu wa Wilaya njoo na style nyingine hii imebuma vibaya mno,tamasha tuwekee kesho leo tunasikiliza sera na miongozo ya Mh Lissu mmekata umeme lakini haisaidii asilani.
Kama mapacha hata sisi tunao asitutishe,Mbinu Yao nyingine hii hapa ya kilimbukeni View attachment 1554430View attachment 1554433View attachment 1554434
Vipi mbona siku hizi mnafanyia mikutano yenu uchochoroni?
Hatari tupu!Mkutano wa chadema huu hapa
Haikusaidii kituKamanda baadae utume picha wakiwa wanapitisha mabakuli kamanda.
Hapa relini kwa Lissu mkuu ni balaaHuu ni ujumbe hatari Sana kwa MagufuliView attachment 1554429
Tulichanga 350 million kuwatoa gerezani viongozi wetu itakuwa kampeini tena?Kamanda baadae utume picha wakiwa wanapitisha mabakuli kamanda.