Wahuni maji yamewafika shingoni ,washapima upepo kesho wanadondokea PUA ,wanaanza kuleta taharuki na press zao.Wakuu,
Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti
Too muchWakuu,
Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti
Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa
Unadhani Lema atazungumzia nini leo?
Sisi wengine kazi yetu kupokea tu taarifa, ikiwemo taarifa za nani kapita nafas ya mwenyekiti. Hatuna impactSema Tawile š š
anachanganyikiwa vibaya huyu mwanamgambo wa lisuWakuu,
Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti
Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa
Unadhani Lema atazungumzia nini leo?
Mpaka tujue location, tusafiri hadi alipo itakuwa midnightWakuu,
Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti
Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa
Unadhani Lema atazungumzia nini leo?
naeleza ukweli tu kama mtaalamu mwandamizi na mbobevu katika siasa za ndani ya vyama vya siasa especilly TanzaniaUnapata wapi nguvu ya ku-comment mambo ya CHADEMA na wewe ni CCM mkuu?
Too late lema.Wakuu,
Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti
Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa
Unadhani Lema atazungumzia nini leo?