Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,656
- 2,483
Swali zuri sana... Hivi na Mbowe nae ana level gani ya Elimu?Lema hajasoma?
Kwani kaishia level gani ya elimu huyu baba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri sana... Hivi na Mbowe nae ana level gani ya Elimu?Lema hajasoma?
Kwani kaishia level gani ya elimu huyu baba?
Advance diploma in business administration na ana Masters ya human resource management kutoka arusha institute of accountants.Lema hajasoma?
Kwani kaishia level gani ya elimu huyu baba?
Peleka taarifa TAKUKURU,Wahuni ni hao wanaogawa rushwa.
Uchaguzi ukihujumiwà, watakiona cha moto October. Watajipigia kura wenyewe
Kama ya trumpSwali zuri sana... Hivi na Mbowe nae ana level gani ya Elimu?
Ukitaka kujua Uwezo wa MTU kiakili,,, usimuombe Vyeti, mpe dakika chache azungumze.Hivi ikatokea Kambi yake ikashinda yeye nadhan ndio atakuwa KM wa kwanza kwenye vyama vya siasa nchini ambae hajaenda shule..
Very emotional and illogical stpd man
Ukitaka kujua Uwezo wa MTU kiakili,,, usimuombe Vyeti, mpe dakika chache azungumze.Hivi ikatokea Kambi yake ikashinda yeye nadhan ndio atakuwa KM wa kwanza kwenye vyama vya siasa nchini ambae hajaenda shule..
Very emotional and illogical stpd man
Hana jipya huyu.kaikimbia Arusha ameona hana kitu, sasa amekuwa kama dede lisilo na kitu. Mkubwa hovyoooWakuu,
Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti
Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa
Unadhani Lema atazungumzia nini leo?
Sasa wewe na lema nani ana akili. Umejificha na I'd bandia halafu umpe ushauri lema? Nyie machawa mnawashwa sanaLema namuona mtu wa mhemko. Lema ni mzuri kwenye kuponda serikali ya ccm kinyume cha hapo ni mtu wa hovyo hovyo kupiga makelele ndo anaona ujanja yaani yupo too emotional.
Ukiona mwanaume yupo insta kuchwa ni kumsifia mke wake lazima atakuwa ana shida mahali na sasa hili limejidhihirisha kupitia huu ujinga anaofanya.
Anajionaga ana akili sana kuliko wenzie....huyu anaongozwa na hisia wala sio ujasiri
Hicho ndicho kitakacho waponza,itaonekana wanafanya fujo wataitwa Police wawakamate waekwendani mpaka uchaguzi uishe wawaachieWahuni maji yamewafika shingoni ,washapima upepo kesho wanadondokea PUA ,wanaanza kuleta taharuki na press zao.
Ashachanganyikiwa! Siasa ni akili sio kuropoka.Wakuu,
Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti
Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa
Unadhani Lema atazungumzia nini leo?
Haiwezi kutokea kitu kama hicho, Mbowe ameshawapiga tayari wameanza kuweweseka eti wajumbe wamefungiwa sehemu huwezi kuwaona.Hivi ikatokea Kambi yake ikashinda yeye nadhan ndio atakuwa KM wa kwanza kwenye vyama vya siasa nchini ambae hajaenda shule..
Very emotional and illogical stpd man
Elimu! Elimu! Elimu!Yeye kila siku ni press tu? Huyu jamaa kuna shida sehemu sio bure walahi.
Ndio watu wajifunze kwenye siasa ukitaka kushinda wekeza nguvu zako kwa wapiga kura.Ashachanganyikiwa! Siasa ni akili sio kuropoka.
Tumechoka anaonekana ana gubuWakuu,
Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti
Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa
Unadhani Lema atazungumzia nini leo?
Na siku ile Mbowe anazindua nyumba yake Uchaggani, huyu Lema, Heche ndio walipiga picha na nyumba hizo wakikenua meno kuliko hata Boniyai na Sugu! leo eti Mbowe lahongwa tugari?Rushwa mna ushahidi? Huyu anayetangaza watu wamekula Rushwa aliambiwa apeleka ushahidi lakini alishindwa....Huyo mtu wenu akiona mwenzake kanunua Boda anasema amehongwa ,sasa mtu kama Mbowe mwenye kumiliki HOTEL ,na pia alikuwa anafanya biashara kubwa ya maua yenye investiment ya mabilioni ndiyo ashindwe kununua USED cars mpaka aseme amehongwa?
Labda anaamini Lissu atampa mkate Makao Makuu! Ahahahahaha!!Ndio watu wajifunze kwenye siasa ukitaka kushinda wekeza nguvu zako kwa wapiga kura.
Lema ni muhuni tu hana cheo chochote Chadema na wala si mpiga kura, hana impact yoyote chadema.
O Level Div.0Kwani Keys mkazi kaenda shule gani?