Godbless Lema ataongea na waandishi wa habari muda wowote kuanzia sasa

Godbless Lema ataongea na waandishi wa habari muda wowote kuanzia sasa

Lema hajasoma?

Kwani kaishia level gani ya elimu huyu baba?
Advance diploma in business administration na ana Masters ya human resource management kutoka arusha institute of accountants.
 
Hivi ikatokea Kambi yake ikashinda yeye nadhan ndio atakuwa KM wa kwanza kwenye vyama vya siasa nchini ambae hajaenda shule..

Very emotional and illogical stpd man
Ukitaka kujua Uwezo wa MTU kiakili,,, usimuombe Vyeti, mpe dakika chache azungumze.


Uwezo alonao Lema, huwezi kuulinganisha na Timu Mbowe mkijumulishwa pamoja.
 
Hivi ikatokea Kambi yake ikashinda yeye nadhan ndio atakuwa KM wa kwanza kwenye vyama vya siasa nchini ambae hajaenda shule..

Very emotional and illogical stpd man
Ukitaka kujua Uwezo wa MTU kiakili,,, usimuombe Vyeti, mpe dakika chache azungumze.


Uwezo alonao Lema, huwezi kuulinganisha na Timu Mbowe mkijumulishwa pamoja.
 
Wakuu,

Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti

Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa

Unadhani Lema atazungumzia nini leo?

Hana jipya huyu.kaikimbia Arusha ameona hana kitu, sasa amekuwa kama dede lisilo na kitu. Mkubwa hovyooo
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Lema namuona mtu wa mhemko. Lema ni mzuri kwenye kuponda serikali ya ccm kinyume cha hapo ni mtu wa hovyo hovyo kupiga makelele ndo anaona ujanja yaani yupo too emotional.
Ukiona mwanaume yupo insta kuchwa ni kumsifia mke wake lazima atakuwa ana shida mahali na sasa hili limejidhihirisha kupitia huu ujinga anaofanya.

Anajionaga ana akili sana kuliko wenzie....huyu anaongozwa na hisia wala sio ujasiri
Sasa wewe na lema nani ana akili. Umejificha na I'd bandia halafu umpe ushauri lema? Nyie machawa mnawashwa sana
 
Wakuu,

Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti

Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa

Unadhani Lema atazungumzia nini leo?

Ashachanganyikiwa! Siasa ni akili sio kuropoka.
 
Hivi ikatokea Kambi yake ikashinda yeye nadhan ndio atakuwa KM wa kwanza kwenye vyama vya siasa nchini ambae hajaenda shule..

Very emotional and illogical stpd man
Haiwezi kutokea kitu kama hicho, Mbowe ameshawapiga tayari wameanza kuweweseka eti wajumbe wamefungiwa sehemu huwezi kuwaona.

Lisu asubili kura zetu za mitandaoni na za AI atashinda kwa kishindo, tena kwa maadui wa nchi kama kina Maria Sarungi watapiga kura mara mia nane.
 
Wakuu,

Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti

Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa

Unadhani Lema atazungumzia nini leo?

Tumechoka anaonekana ana gubu
 
Rushwa mna ushahidi? Huyu anayetangaza watu wamekula Rushwa aliambiwa apeleka ushahidi lakini alishindwa....Huyo mtu wenu akiona mwenzake kanunua Boda anasema amehongwa ,sasa mtu kama Mbowe mwenye kumiliki HOTEL ,na pia alikuwa anafanya biashara kubwa ya maua yenye investiment ya mabilioni ndiyo ashindwe kununua USED cars mpaka aseme amehongwa?
Na siku ile Mbowe anazindua nyumba yake Uchaggani, huyu Lema, Heche ndio walipiga picha na nyumba hizo wakikenua meno kuliko hata Boniyai na Sugu! leo eti Mbowe lahongwa tugari?
 
Ndio watu wajifunze kwenye siasa ukitaka kushinda wekeza nguvu zako kwa wapiga kura.

Lema ni muhuni tu hana cheo chochote Chadema na wala si mpiga kura, hana impact yoyote chadema.
Labda anaamini Lissu atampa mkate Makao Makuu! Ahahahahaha!!
 
Back
Top Bottom