Godbless Lema ataongea na waandishi wa habari muda wowote kuanzia sasa

Godbless Lema ataongea na waandishi wa habari muda wowote kuanzia sasa

Wahuni maji yamewafika shingoni ,washapima upepo kesho wanadondokea PUA ,wanaanza kuleta taharuki na press zao.
Wahuni ni hao wanaogawa rushwa.
Uchaguzi ukihujumiwà, watakiona cha moto October. Watajipigia kura wenyewe
 
Wakuu,

Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti

Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa

Unadhani Lema atazungumzia nini leo?

Kuna maelekezo kutoka kwa FAM kwa wajumbe wanaomuunga mkono TAL wasipewe vitambulisho vya kushiriki uchaguzi wa kesho vinavyotolewa pale makao makuu ,naona team FAM washaona mambo magumu kwaio wanatumia mbinu za washirika wao.
 
Uandishi nao umekuwa taaluma ya kijinga sana, yani hawana kazi kabisa za kufanya zaidi ya kuokoteza habari kiasi hiki?

Huyo Lema anaweza kujirecord chumbani mwake, akaweka online.

Lakini naye kila siku anataka aongee na waandishi wa habari?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Wahuni ni hao wanaogawa rushwa.
Uchaguzi ukihujumiwà, watakiona cha moto October. Watajipigia kura wenyewe
Rushwa mna ushahidi? Huyu anayetangaza watu wamekula Rushwa aliambiwa apeleka ushahidi lakini alishindwa....Huyo mtu wenu akiona mwenzake kanunua Boda anasema amehongwa ,sasa mtu kama Mbowe mwenye kumiliki HOTEL ,na pia alikuwa anafanya biashara kubwa ya maua yenye investiment ya mabilioni ndiyo ashindwe kununua USED cars mpaka aseme amehongwa?
 
Wakuu,

Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti

Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa

Unadhani Lema atazungumzia nini leo?

People are getting Mad
 
aisee taratibu bana,tutagombana aisee

Wametumia muda mwingi kukijenga chama ,wametoka machozi ,jasho na damu ,inakuwaje vyeo tu waende kukiharibu chama? Wafanye siasa/kampeni za kishaharabu na si character assassination....Malisa GJ ,Sugu ,Mnyika etc Mbona wapo kimya hatujui upande wao unafikiri hakuna wanaomuunga mkono? Yupo ila wataamua kwenye sanduku la kura.(Sugu ,Myika).

Kampeni za kukigawa chama hazifai ,Timu ya LIssu kampeni zao ni za kuchafua viongozi na kukichafua chama...Wajikite watafanya nini endapo wakichaguliwa.
 
Wametumia muda mwingi kukijenga chama ,wametoka machozi ,jasho na damu ,inakuwaje vyeo tu waende kukiharibu chama? Wafanye siasa/kampeni za kishaharabu na si character assassination....Malisa GJ ,Sugu ,Mnyika etc Mbona wapo kimya hatujui upande wao unafikiri hakuna wanaomuunga mkono? Yupo ila wataamua kwenye sanduku la kura.(Sugu ,Myika).

Kampeni za kukigawa chama hazifai ,Timu ya LIssu kampeni zao ni za kuchafua viongozi na kukichafua chama...Wajikite watafanya nini endapo wakichaguliwa.
pamoja na yote mbowe apumzke sasa,amwachie TAL kazi, kwa sasa chama hakina mwelekeo na kipo hatarini kuvunjika
 
Wakuu,

Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti

Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa

Unadhani Lema atazungumzia nini leo?

Tumemchoka. Anamharibia tu mwenzake.

Amandla...
 
Sio anazungumza na awaandishi wa habari,anaenda kulalamika mbele ya waandishi wa habari!!.Hili kundi lao linalalamika mno!!Kuliko kuleta suluhu na mwelekeo
 
Wakuu,

Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti

Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa

Unadhani Lema atazungumzia nini leo?


Amezoeleka hana jipya huyo, mwache atupe michapo ya kuchangamsha vikao na uchaguzi wetu.
 
Back
Top Bottom