Kwani ulikuwa hujui.Kwa sisi watu wa Arusha hatusumbui tumeshamjua.Hadanganyi mtu.Yeye kila siku ni press tu? Huyu jamaa kuna shida sehemu sio bure walahi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ulikuwa hujui.Kwa sisi watu wa Arusha hatusumbui tumeshamjua.Hadanganyi mtu.Yeye kila siku ni press tu? Huyu jamaa kuna shida sehemu sio bure walahi.
Sasa wewe na lema nani ana akili. Umejificha na I'd bandia halafu umpe ushauri lema? Nyie machawa mnawashwa sana
Form 4 div 4 ya point 33.Lema hajasoma?
Kwani kaishia level gani ya elimu huyu baba?
Karibu Mheshimiwa LemaWakuu,
Godbless Lema ametangaza kufanya Press Conference muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni saa chache mpaka CHADEMA ifanye Uchaguzi kwenye ngazi ya Uenyekiti
Kupitia mtandao wa X wengi wamedokeza kuwa huenda Lema anaenda kuzungumzia kuhusu machakato wa Uchaguzi unaoendelea ndani ya CHADEMA kwa sasa
Unadhani Lema atazungumzia nini leo?
Wayaonaje matokeo?anachanganyikiwa vibaya huyu mwanamgambo wa lisu![]()