Uchaguzi 2020 Godbless Lema azindua kampeni kwa Kishindo, uwanja watapika, Wananchi wajazana kupita uwezo wa eneo husika

2010-2015,2015-2020 na bado atapita tena 2020-2025!Sijui hapo utasemaje!!!😁
 
Utateseka sana!!!!Maumivu yakizi kanywe chimpumu!
 
Huu uchaguzi utakua na ushindani mkubwa sana hapo Arusha mjini kuanzia nafasi ya ubunge mpaka kwa madiwani...

Ila Ccm kwa sasa imejiimarisha sana hapo Arusha mjini tofauti na miaka ya nyuma hivyo lolote laweza kutokea.

Kata kama Ngarenaro,Sombetini, Sokon one, Sinoni,Muriet kama zitaenda Ccm hakuna atakayeshangaa.

.... Arusha ni jiji zuri sana tena sanaaaaaa kama litapata mbunge makini,mchapakazi na baraza la madiwani makini na wenye maono.

....yoyote atakayeshinda kila laheri kwake.
 
Kura yako itapunguza ushindi wa Lema kwa 0 .001%!So huna madhara!
 
sema tunmaini lako wewe ni ccm usitujumuishe wote mbona ni kama unatsemea
 
Arusha ni jiji zuri sana tena sanaaaaaa...kama litapata mbunge makini, mchapakazi na baraza la madiwani makini,watendaji na wachapakazi.

... Kila laheri wakazi wa Arusha...Mungu awaongoze mfanye maamuzi sahihi kwa mustakabali mzuri wa Jimbo lenu na taifa kwa ujumla.
 
Anaewaalika wasanii kwenye mikutano yake,
1.Ana sera zisizo endana na maisha halisi ya wananchi,
2.Hapendwi ila analazimisha tu
3.Hana mvuto,kachuja kifupi hana jipya
4.Anaishia kugawa kofia,kanga na tisheti kama hongo ili achaguliwe.
TAKUKURU wamezuia rushwa ya ubwabwa wa kufirika ila kanga,kofia,barabara na madaraja wakati huu wa kampeni hawavioni.
Rushwa hapa Tanzania inategemea mtoaji ni nani.
 
Natumai hukuumia tu bali ulipatwa na uchungu kabisa, vipi leba ulienda na ulijifungua ka kike au kiume??
uzuri wa kampeni za ubunge hazidanganyi,atakapoanza kwenda kata kwa kata hapo ndipo atakapoadhirika kama Mdee alipolazimika kusimama juu ya matofali,nimeumia sana mimi
 
Ccm itawachukua miaka 100 kuelewa strategy ya Lema na Kwa nini Lema huwa anashinda Arusha!!

Lema anapiga kambi kwenye kundi ambalo ndo mtaji wa CCM. Kwa hiyo kamwe hamtomweza
 
Ccm itawachukua miaka 100 kuelewa strategy ya Lema na Kwa nini Lema huwa anashinda Arusha!!

Lema anapiga kambi kwenye kundi ambalo ndo mtaji wa CCM. Kwa hiyo kamwe hamtomweza
Kwa kipindi hichi anatumia mbinu za kitoto sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…