Uchaguzi 2020 Godbless Lema azindua kampeni kwa Kishindo, uwanja watapika, Wananchi wajazana kupita uwezo wa eneo husika

Pili, amegundua yakwamba kwa sasa wana waarusha wamemshtukia na wamemchoka na hizo siasa zake za kihuni..................

Tatu, akili yake ni sawa na mvuta bangi ...................
Siasa hizo hizo aliwatafutia hospitali ya mama na mtoto - kwa maendeleo hayo basi 'uhuni' uendelee. fuatilia link hii
 
Acha hoja nyepesi za mtaani. Siasa ni sehemu yangu ya maisha na enjoy ninapokuwa najadili mambo ya siasa. Kwa taarifa yako wewe ndio unateseka na mtaendelea kuteseja na Lema wako.
Mpuuzi we kibwengu naona unajipekechua
 
Biashara kubwa sana safari hii za campaign, ni picha za zamani kupata bei, haswa za mikutano yenye watu wengi.

Mikutano ya Dr.Sla na Ya Lowassa ndiyo yenye bei kubwa, wale waliokuwa na Archive nzuri, mtakuwa wajinga kama hamkutengeza pesa
 
Kwanii umeeekaarikaaa
 
Angetaka uwanja wa Mpira angepewa ? au angeambiwa ni mali ya CCM? Cha ajabu uwanja huo haukujengwa na wanachama wa CCM..., ukisikia Ukoloni mambo leo ndio huu
 
atakuwa na ujasiri upi wa kuwaita watu kwenye uwanja mkubwa wakati sera zake hatekelezi kazi bangi tu..
 
Huu usultani wa kuita Mbunge wa milele sijui hata huwa mnamaanisha nini, eneo lenye zaidi ya Watu milioni moja haiwezekani kukawa na Mtu mmoja tu wa kuongoza wakati wote kana kwanba wengine wote waliopo ni hewa.
 
uziri hata kura za wana ccm anazipata kwa wingi sana kutokana na figisu zilizotokea ktk uchaguzi wa ccm.
 
Huu usultani wa kuita Munge wa milele sijui hata huwa mnamaanisha nini, eneo lenye zaidi ya Watu milioni moja haiwezekani kukawa na Mtu mmoja tu wa kuongoza wakati wote kana kwanba wengine wote waliopo ni hewa.
bange zitakufanya mwendawazimu bro achana nazo!
 
Kura yako ni moja tu hata hivyo!
 
Ameshawapa mirungi na viroba tayari.machizi tu wataongozwa na machizi
Usiwapangie wananchi nini cha kufanya!Wamempa miaka 10 awaongoze na kafanya hivyo,hao wananchi aliowakusanya kuwashawishi wamuongezee muda ndio waamuzi kama wampe au wasimpe!
 
Kwenye mkutano wake wa kampeini za kuomba kupigiwa kura za ubunge na madiwani na za urais kwa mh lissu.

Jiji la Arusha leo lilishihudia kimbunga cha wana cdm wakijitokeza kwa heari yao bila kuwaita kwa vipaza sauti wala miziki ya bongo fleva.
 
Usiwapangie wananchi nini cha kufanya!Wamempa miaka 10 awaongoze na kafanya hivyo,hao wananchi aliowakusanya kuwashawishi wamuongezee muda ndio waamuzi kama wampe au wasimpe!
Tena hapo mh Lema hakutumia hata senti ya kuwakodia mafuso wala punda, hao wamekwenda kwa mapenzi yao ya kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…