Uchaguzi 2020 Godbless Lema azindua kampeni kwa Kishindo, uwanja watapika, Wananchi wajazana kupita uwezo wa eneo husika

Uchaguzi 2020 Godbless Lema azindua kampeni kwa Kishindo, uwanja watapika, Wananchi wajazana kupita uwezo wa eneo husika

Pili, amegundua yakwamba kwa sasa wana waarusha wamemshtukia na wamemchoka na hizo siasa zake za kihuni..................

Tatu, akili yake ni sawa na mvuta bangi ...................
Siasa hizo hizo aliwatafutia hospitali ya mama na mtoto - kwa maendeleo hayo basi 'uhuni' uendelee. fuatilia link hii
 
Biashara kubwa sana safari hii za campaign, ni picha za zamani kupata bei, haswa za mikutano yenye watu wengi.

Mikutano ya Dr.Sla na Ya Lowassa ndiyo yenye bei kubwa, wale waliokuwa na Archive nzuri, mtakuwa wajinga kama hamkutengeza pesa
 
Hapo vipI!

Lema leo amezindua kampeni zake pale soko kuu Arusha. Na amechagua sehemu ambayo ina highest interaction ya watu kwa kipindi chote.

Hii tafsiri yake nini?
Kwanza, hajiamini ya kwamba bado anakubalika, hivyo ili kuepuka aibu ya mwaka imembidi ajipenyeze sokoni.

Pili, amegundua yakwamba kwa sasa wana waarusha wamemshtukia na wamemchoka na hizo siasa zake za kihuni..hivyo ameamua kufanya hivyo kuificha aibu.

Tatu, akili yake ni sawa na mvuta bangi anayejificha nyuma ya sahani ya ugali, akiamini yakwamba haonekani.

Ukweli nickwamba hii ni ishara inayomuashiria taa nyekundu. Watu wa Arusha wameshamchoka na siasa za kihuni na harakati zake kwenye jiji hili la Arusha. Lema anaelewa siasa zake za mbege zimepelekea jiji la Arusha likadumaa kama vile Kilimanjaro.

Kitendo cha Lema cha kuanza kutafuta ujomba kwa Mrisho Gambo ni ishara ya kujitengenezea mazingira salama baada ya kukabidhi kijiti kwa Gambo.

Na mshauri ajiandae kisaikolojia na ampigie Gambo kampeni kwasababu tumaini la wana wa Arusha Lipo kwa CCM.View attachment 1563991
Kwanii umeeekaarikaaa
 
Angetaka uwanja wa Mpira angepewa ? au angeambiwa ni mali ya CCM? Cha ajabu uwanja huo haukujengwa na wanachama wa CCM..., ukisikia Ukoloni mambo leo ndio huu
 
atakuwa na ujasiri upi wa kuwaita watu kwenye uwanja mkubwa wakati sera zake hatekelezi kazi bangi tu..
 
Huu usultani wa kuita Mbunge wa milele sijui hata huwa mnamaanisha nini, eneo lenye zaidi ya Watu milioni moja haiwezekani kukawa na Mtu mmoja tu wa kuongoza wakati wote kana kwanba wengine wote waliopo ni hewa.
 
uziri hata kura za wana ccm anazipata kwa wingi sana kutokana na figisu zilizotokea ktk uchaguzi wa ccm.
 
Huu usultani wa kuita Munge wa milele sijui hata huwa mnamaanisha nini, eneo lenye zaidi ya Watu milioni moja haiwezekani kukawa na Mtu mmoja tu wa kuongoza wakati wote kana kwanba wengine wote waliopo ni hewa.
bange zitakufanya mwendawazimu bro achana nazo!
 
Arusha watakuwa wapumbavu sana kama wataamua kuchagua Mwanaharakati(Lema) badala ya Kiongozi (Gambo), Lema hawezi tena kuibadili Arusha ila Gambo anaweza leta changes kubwa sana mimi nilijiandisha Arusha na mwezi wa kumi ntatoka huku nilipo ili nije kumpa Kura yangu Rais magufuli na Mbuge Mrisho Gambo, Siwezi kuwa mjinga nichague Genge la wahuni sijui kamanda wa Anga ni ujuha
Kura yako ni moja tu hata hivyo!
 
Ameshawapa mirungi na viroba tayari.machizi tu wataongozwa na machizi
Usiwapangie wananchi nini cha kufanya!Wamempa miaka 10 awaongoze na kafanya hivyo,hao wananchi aliowakusanya kuwashawishi wamuongezee muda ndio waamuzi kama wampe au wasimpe!
 
Kwenye mkutano wake wa kampeini za kuomba kupigiwa kura za ubunge na madiwani na za urais kwa mh lissu.

Jiji la Arusha leo lilishihudia kimbunga cha wana cdm wakijitokeza kwa heari yao bila kuwaita kwa vipaza sauti wala miziki ya bongo fleva.
 
Usiwapangie wananchi nini cha kufanya!Wamempa miaka 10 awaongoze na kafanya hivyo,hao wananchi aliowakusanya kuwashawishi wamuongezee muda ndio waamuzi kama wampe au wasimpe!
Tena hapo mh Lema hakutumia hata senti ya kuwakodia mafuso wala punda, hao wamekwenda kwa mapenzi yao ya kweli.
 
Back
Top Bottom