Unajua maana ya toddlers? Mtu hajui kutembea atafikaje katika kampeniHahahaa kafungue kampeni na wewe mashuleni ujaze kindergaten na todlers huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya toddlers? Mtu hajui kutembea atafikaje katika kampeniHahahaa kafungue kampeni na wewe mashuleni ujaze kindergaten na todlers huko.
haswaaaa mkuu lema hana jimbo mwaka huu atafute kazi ya kufanya au arudie kazi yake ya zamaniHapo vipI!
Lema leo amezindua kampeni zake pale soko kuu Arusha. Na amechagua sehemu ambayo ina highest interaction ya watu kwa kipindi chote.
Hii tafsiri yake nini?
Kwanza, hajiamini ya kwamba bado anakubalika, hivyo ili kuepuka aibu ya mwaka imembidi ajipenyeze sokoni.
Pili, amegundua yakwamba kwa sasa wana waarusha wamemshtukia na wamemchoka na hizo siasa zake za kihuni..hivyo ameamua kufanya hivyo kuificha aibu.
Tatu, akili yake ni sawa na mvuta bangi anayejificha nyuma ya sahani ya ugali, akiamini yakwamba haonekani.
Ukweli nickwamba hii ni ishara inayomuashiria taa nyekundu. Watu wa Arusha wameshamchoka na siasa za kihuni na harakati zake kwenye jiji hili la Arusha. Lema anaelewa siasa zake za mbege zimepelekea jiji la Arusha likadumaa kama vile Kilimanjaro.
Kitendo cha Lema cha kuanza kutafuta ujomba kwa Mrisho Gambo ni ishara ya kujitengenezea mazingira salama baada ya kukabidhi kijiti kwa Gambo.
Na mshauri ajiandae kisaikolojia na ampigie Gambo kampeni kwasababu tumaini la wana wa Arusha Lipo kwa CCM.
Mbulu vijijiniChadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano.
Bukoba Mjini, Bunda, Nyamagana, Ukerewe, Tarime Mjini, Vijijini, Arusha, Karatu, Mbeya,Hai, Moshi Mjini, Moshi Vijijini, Geita Mjini na Iringa Mjini.
Acha kujitoa ufahamu ww ..kazi yenyewe hunahaswaaaa mkuu lema hana jimbo mwaka huu atafute kazi ya kufanya au arudie kazi yake ya zamani
Chadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano.
Bukoba Mjini, Bunda, Nyamagana, Ukerewe, Tarime Mjini, Vijijini, Arusha, Karatu, Mbeya,Hai, Moshi Mjini, Moshi Vijijini, Geita Mjini na Iringa Mjini.
Halafu zipo vyama vyotePropaganda
Unateseka sana, wewe ungeachana na Lema ukawa unamsikiliza yule anayehutubia kisukuma.Hapo vipI!
Lema leo amezindua kampeni zake pale soko kuu Arusha. Na amechagua sehemu ambayo ina highest interaction ya watu kwa kipindi chote.
Hii tafsiri yake nini?
Kwanza, hajiamini ya kwamba bado anakubalika, hivyo ili kuepuka aibu ya mwaka imembidi ajipenyeze sokoni.
Pili, amegundua yakwamba kwa sasa wana waarusha wamemshtukia na wamemchoka na hizo siasa zake za kihuni..hivyo ameamua kufanya hivyo kuificha aibu.
Tatu, akili yake ni sawa na mvuta bangi anayejificha nyuma ya sahani ya ugali, akiamini yakwamba haonekani.
Ukweli nickwamba hii ni ishara inayomuashiria taa nyekundu. Watu wa Arusha wameshamchoka na siasa za kihuni na harakati zake kwenye jiji hili la Arusha. Lema anaelewa siasa zake za mbege zimepelekea jiji la Arusha likadumaa kama vile Kilimanjaro.
Kitendo cha Lema cha kuanza kutafuta ujomba kwa Mrisho Gambo ni ishara ya kujitengenezea mazingira salama baada ya kukabidhi kijiti kwa Gambo.
Na mshauri ajiandae kisaikolojia na ampigie Gambo kampeni kwasababu tumaini la wana wa Arusha Lipo kwa CCM.
Labda alitaka nae abebe watu kwa malori na kujaza wana muziki. Chadema ni mpango wa MunguHahahaa kafungue kampeni na wewe mashuleni ujaze kindergaten na todlers huko.
Safari hii mtasema mengi lkn ukweli utabakia vile vile kuwa cdm ndiyo inaenda kuiondoa ccmMbona hii picha kama naitilia shaka, nikama imepitia maabara na kukutana na wakemia
Wanajisahaulisha makusudiMalawi, kule Africa magharibi kwa yule jamaa aliyefurushwa na majeshi ya Ecowas, Zambia etc.
Yaani anaenda kuwaomba msaada watu aliyo wadharau kisa madarakaGambo kaenda kwa wanywa kahawa kuzindua ya kwake. Miaka yote akiwa RC leo ndio kajua kuna wanywa kahawa!
Hizo picha zenu za kukata kata ndio mnajidanganya nazo kama watoto.uzuri wa kampeni za ubunge hazidanganyi,atakapoanza kwenda kata kwa kata hapo ndipo atakapoadhirika kama Mdee alipolazimika kusimama juu ya matofali,nimeumia sana mimi
Kumbe ww huna akili kiasi hikiNaomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?