Leo mnaruka sarakasi?! Unafikiri kipindi kile cha jiwe juhudi ilikuwa inaungwa bure?! Hakuna mtanzania ambaye hajui kuwa Polepole Na Bashiru walikuwa wananunua madiwani na wabunge wa upinzani.Watanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
1.Ipi bora kuwa nao au kuuza 2.Aliuza bei gani.Lema aliyeuza ubunge leo akatae kulipiwa deni?
Awadanganye hao hao Wanywa Mbege
Mwita mwikwabeUnafiki wa Lema tu huo.
Alete ushahidi kama ni kweli, hata Makonda walimsingizia mengi
Nimeipendaaa hiyooooLabda chuma ulete.
Kwahiyo mnataka kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya wapuuzi?
Rais Mtarajiwa 2030Atakuwa kalipiwa na Mchumi first class!
Kwani kubadili dini/itikadi ni kosa?Acha kutafuta popularity kaka!Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.
Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.
Mbona wewe ni juha kabisa tunakudharau tu bwege weweWatanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
Yule aliyemuombea mwenyekiti wake apewe Corona na kweli corona haikuremba ikamfyekelea mbaliYule mmasai naibu waziri wa afya alifika bei kipindi hicho.
Ngoja uone kati ya wewe na wengine nani anajulikan ni mpumbavu.Watanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
Usomeee Sanaa ya manini nini huko unidharau Mimi Niliyesomea Udaktari miaka 5 ?.Mbona wewe ni juha kabisa tunakudharau tu bwege wewe
Uzuri Hangaya hakumkawiza akamfyekelea mbali dadeq .Ulaaniwe bashiru na uzao wako. Uchu aliokuwa nao wa madaraka, huyu aangaliwe anaweza fanya ya Idd Amin!
Wewe ni taahira kabisa
CCM inayowaweka Mjini ndio inayoyoma hiyo 2025 itabaki kiduchu tu.Ni za babaako?
Kukuzidi weweWewe ni taahira kabisa