Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

Screenshot_20250122_091043_X.jpg


Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu


====UPDATE====
Mheshimiwa Tundu Antipas Lisu amemteua ndg John John Mnyika kuwa Katibu mkuu wa CHADEMA kuanzia leo tarehe 22 Januari 2025.

Tetesi zimeishia hapa.

Uzi unaweza kufungwa sasa.

cc: Moderator
 
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Bado mnatuletea Wachaga tena?
 
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Huyu ndie ,linapita mara moja
 
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu


Ebu tulieni basi, mbona haraka hivyo, mtaua watu kwa BP huko CHADEMA
 
Back
Top Bottom