Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Sijawahi kuwa Chadema, nimempigia Lisu kura ya Urais 2020 lakini sikubaliani na siasa za Lisu wa sasa.
Siasa za Lissu wa sasa zipoje hizo? Seems kuna vitu mjini mtu inabidi mpaka uwe na connection ili kuweza kuviona.
Muda ni mwalimu mzuri sana, wanaosubili ruzuku zifike majimboni ndio watakuwa wa kwanza kumkataa Lisu.
Kwa hiyo hili ni jambo lisilowezekana? Kwanini usisubiri muda ili uliongee badala yake unaanza kuwatisha wanaoamini katika hili?
Tuhuma zote mlizomtuhumu Mbowe zitarudi kwa Lisu.
Utabiri...nakumbuka ulikuwa unatabiri sana kuwa MBOWE atashinda kwa kishindo
Kitu pekee atakachofanikiwa Lisu ni kuwatowa kafara vijana wasiokuwa na familia wala hawana cha kupoteza.
Bila shaka una mfano mzuri wa hili. Unaweza ukatukumbusha angalau tukio moja alilofanya likawatoa watu kafara ili angalau na sisi tiwe na ufahamu
Heche anaweza kuwa na busara kuliko Lisu.
Busara ni nini? Maana imeongelewa sana humu
 
Sio mshabiki wa makanisa ya mwendokasi ila GL akifungua kanisa nitakuwa nahudhuria kiti cha mbele!

Ni mtumishi wa Mungu, amefanya kazi nzuri.
 
Sioni tatizo kama Mnyika na Mrema wakiendelea kubaki kwenye uongozi wa CDM as long as wabeba maono ndio wamepita
watabaki, CHADEMA inaenda kuimarika kwa viwango ambavyo hawakuwahi kujua. watu ground wamechoshwa na siasa za kutegemea vyombo vya dola
 
Kama katiba yao inaruhusu Mnyika kuendelea kuwa KM basi awe anauwezo mkubwa sana kuliko Lema, tena sio daraja moja.
 
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

View attachment 3209792

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Erythrocyte mme kabwagwaaa umekaa kimya hata hutoi mawazo yako ya furaha au huzuni? kichwa kimeliwa na wewe ndiyo unapotea maana lissu hataki wajinga kama nyie
 
Back
Top Bottom