Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

View attachment 3209792

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Ni Yeye, ila Mnyika tuondoke naye pia ni MTU mzuri.

Kigaila na Genge lake watafutiwe KWA LAZIMA TUHUMA ZOZOTE HATA KAMA HAZINA USHAHIDI, WAONDOSHWE WAENDE CCM.
godbless Lema ni kweli anafaa zaidi kuwa katibu mkuu wa chadema. lakini tundu lisu ahakikishe anambakisha kwenye sekretarieti yake bw. john mnyika, asimuache aende zake. ni mtu muhimu sana katika kumsaidia tundu lisu. kama atamteua godbless Lema kuwa katibu mkuu basi amtafutie nafasi yoyote ile bw. john mnyika ili awe karibu yake.
 
Baada ya kupatikana kwa mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni Tundu Lisu na John Heche sasa ni dhahiri Godbless Lema ndiye atakaye chaguliwa kuwa Katibu mkuu kukamilisha sekretarieti ya chama hicho.

Ikumbukwe kuwa Lema ni kambi Lisu na ndiye aliyekuwa msimamizi wa kura za Lisu kwenye uchaguzi wa kupatikana kwa mwenyekiti wa chama hicho

Inaonyesha timu Lisu walishajipanga mapema kuwa Lisu agombee uwenyekiti, Heche makamu mwenyekiti wakishinda Lema atateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho

Hivyo kuna kila dalili Lema kutangazwa kuwa ndiye katibu mkuu wa chama hicho kabla ya mkutano wao mkuu kwisha ili kukamilisha safu yao ya uongozi

Hapo watakuwa wametimiza utatu wao mtakatifu Lisu, Heche na Lema ndio maana Lema hakutia nia ya kuomba umakamu na kuomba wenyekiti wa kanda kwa makusudi kabisa kwa kuwa alishahaidiwa nafasi ya katibu mkuu

Comasava Lisu na Heche
lema awe katibu mkuu , naunga mkono kwa asilimia 100, tunataka ccm tuwafunge ka mdomo
 
Baada ya kupatikana kwa mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni Tundu Lisu na John Heche sasa ni dhahiri Godbless Lema ndiye atakaye chaguliwa kuwa Katibu mkuu kukamilisha sekretarieti ya chama hicho.

Ikumbukwe kuwa Lema ni kambi Lisu na ndiye aliyekuwa msimamizi wa kura za Lisu kwenye uchaguzi wa kupatikana kwa mwenyekiti wa chama hicho

Inaonyesha timu Lisu walishajipanga mapema kuwa Lisu agombee uwenyekiti, Heche makamu mwenyekiti wakishinda Lema atateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho

Hivyo kuna kila dalili Lema kutangazwa kuwa ndiye katibu mkuu wa chama hicho kabla ya mkutano wao mkuu kwisha ili kukamilisha safu yao ya uongozi

Hapo watakuwa wametimiza utatu wao mtakatifu Lisu, Heche na Lema ndio maana Lema hakutia nia ya kuomba umakamu na kuomba wenyekiti wa kanda kwa makusudi kabisa kwa kuwa alishahaidiwa nafasi ya katibu mkuu

Comasava Lisu na Heche
Hapo hakuna ubishi
 
Baada ya kupatikana kwa mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni Tundu Lisu na John Heche sasa ni dhahiri Godbless Lema ndiye atakaye chaguliwa kuwa Katibu mkuu kukamilisha sekretarieti ya chama hicho.

Ikumbukwe kuwa Lema ni kambi Lisu na ndiye aliyekuwa msimamizi wa kura za Lisu kwenye uchaguzi wa kupatikana kwa mwenyekiti wa chama hicho

Inaonyesha timu Lisu walishajipanga mapema kuwa Lisu agombee uwenyekiti, Heche makamu mwenyekiti wakishinda Lema atateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho

Hivyo kuna kila dalili Lema kutangazwa kuwa ndiye katibu mkuu wa chama hicho kabla ya mkutano wao mkuu kwisha ili kukamilisha safu yao ya uongozi

Hapo watakuwa wametimiza utatu wao mtakatifu Lisu, Heche na Lema ndio maana Lema hakutia nia ya kuomba umakamu na kuomba wenyekiti wa kanda kwa makusudi kabisa kwa kuwa alishahaidiwa nafasi ya katibu mkuu

Comasava Lisu na Heche
sawa, isipokuwa asimuache john mnyika, bado anahitajika sana kwenye menejimenti ya chama hicho. amteue katika nafasi yoyote ile hapo Makao makuu
 
Siasa za Lissu wa sasa zipoje hizo? Seems kuna vitu mjini mtu inabidi mpaka uwe na connection ili kuweza kuviona.

Kwa hiyo hili ni jambo lisilowezekana? Kwanini usisubiri muda ili uliongee badala yake unaanza kuwatisha wanaoamini katika hili?

Utabiri...nakumbuka ulikuwa unatabiri sana kuwa MBOWE atashinda kwa kishindo

Bila shaka una mfano mzuri wa hili. Unaweza ukatukumbusha angalau tukio moja alilofanya likawatoa watu kafara ili angalau na sisi tiwe na ufahamu

Busara ni nini? Maana imeongelewa sana humu
Maswali mazuri kwa wanaojitia ufahamu
 
Baada ya kupatikana kwa mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni Tundu Lisu na John Heche sasa ni dhahiri Godbless Lema ndiye atakaye chaguliwa kuwa Katibu mkuu kukamilisha sekretarieti ya chama hicho.

Ikumbukwe kuwa Lema ni kambi Lisu na ndiye aliyekuwa msimamizi wa kura za Lisu kwenye uchaguzi wa kupatikana kwa mwenyekiti wa chama hicho

Inaonyesha timu Lisu walishajipanga mapema kuwa Lisu agombee uwenyekiti, Heche makamu mwenyekiti wakishinda Lema atateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho

Hivyo kuna kila dalili Lema kutangazwa kuwa ndiye katibu mkuu wa chama hicho kabla ya mkutano wao mkuu kwisha ili kukamilisha safu yao ya uongozi

Hapo watakuwa wametimiza utatu wao mtakatifu Lisu, Heche na Lema ndio maana Lema hakutia nia ya kuomba umakamu na kuomba wenyekiti wa kanda kwa makusudi kabisa kwa kuwa alishahaidiwa nafasi ya katibu mkuu

Comasava Lisu na Heche
Uongozi hauna uiano wa ki dini
 
aachane na visasi dhidi ya watu waliokuwa wakimpinga ndani ya chama hicho, lisu aungane na hao watu ili kukijenga chama. aachane kabisa na Mawazo ya kuwatafufia tuhuma au makosa wapinzani wake.
Ifanywe kama mfano na wajifunze kuweka maneno ya akiba
 
Ni Yeye, ila Mnyika tuondoke naye pia ni MTU mzuri.

Kigaila na Genge lake watafutiwe KWA LAZIMA TUHUMA ZOZOTE HATA KAMA HAZINA USHAHIDI, WAONDOSHWE WAENDE CCM.
Mwenyekiti ana mamlaka ya kuteua Sekretarieti ya chama.
Nadhani atayatumia mamlaka yake hayo kikatiba kututeulia watu wasio na makandokando kama yale ya covid 19
 
Lisu asimsahau sumu ya nyigu au mdude nyagali kwenye teuzi zake jamaa kakipambania sn chama,

Atafute kitengo ampe mwamba apige kazi

Embu fikiria hiyo collabo ya lisu, heche, lema sumu ya nyigu bila kumsahau hilda newton
 
Itapendeza sana kama lisu akigombea urais na kuchukua Nchi 2025 ili kunyoosha mambo maovu waliyoyaasisi ccm hasa wanaoitwa wasiojulikana waliowateka soka,chakula,sativa n.k.wasiojulikana wajipange maana watajulikana mbele ya umati wa umma na kuwajibishwa Kwa maovu Yao.
 
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

View attachment 3209792

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Yaani siku Lema anakuwa Katibu Mkuu ndio mwanzo wa kifo cha CDM.Hakuna mtu mhuni na mpumbavu kama Lema.
 
Back
Top Bottom