Mnyika ni alikuwa fair lakini amezingua nini?Mnyika anazingua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyika ni alikuwa fair lakini amezingua nini?Mnyika anazingua?
Patachimbika wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu ukifika na baada ya uchaguzi ukipotaPunguzeni dozi jamani...
Lissu Heche Lema ...tutakaa kweli hapa Lumumba??,
Saaahizi wanaiba mabaki ya pesa za chadema wafungue biashara na mwenyekiti mstaafuNi Yeye, ila Mnyika tuondoke naye pia ni MTU mzuri.
Kigaila na Genge lake watafutiwe KWA LAZIMA TUHUMA ZOZOTE HATA KAMA HAZINA USHAHIDI, WAONDOSHWE WAENDE CCM.
mi mwenyewe sijui mkuu, ndio maana nauliza.Mnyika ni alikuwa fair lakini amezingua nini?
Mbona ni mchaga na hakufanya maamuzi ya upande wa wachaga.Bado mnatuletea Wachaga tena?
Kama kuwaita viongozi waliochaguliwa na wananchi wakurupukaji ni logic basi unahitaji tabibu wa afya ya akiliPale ambapo tunajadili logic wewe unaleta mambo ya vijiwe vya Manzese!
Anza kutafuta tiba ya ukichaa kabla hujazidiwaUlichokisema ndivyo ilivyo! Ila chama kitafia mikononi mwao
TAL akiweza kupata Jimbo Moja TU la ubunge 2025 ,nitakichangia chadema 100 millions.Anza kutafuta tiba ya ukichaa kabla hujazidiwa
Ni Yeye, ila Mnyika tuondoke naye pia ni MTU mzuri.
Kigaila na Genge lake watafutiwe KWA LAZIMA TUHUMA ZOZOTE HATA KAMA HAZINA USHAHIDI, WAONDOSHWE WAENDE CCM.
Katibu Mkuu awe GL.sawa, isipokuwa asimuache john mnyika, bado anahitajika sana kwenye menejimenti ya chama hicho. amteue katika nafasi yoyote ile hapa Makao makuu
Tukusaidie nini sasa? Kama unamuhitaji mbowe mfate kwake ukawe mpishi wakeSijawahi kuwa Chadema, nimempigia Lisu kura ya Urais 2020 lakini sikubaliani na siasa za Lisu wa sasa.
Muda ni mwalimu mzuri sana, wanaosubili ruzuku zifike majimboni ndio watakuwa wa kwanza kumkataa Lisu.
Tuhuma zote mlizomtuhumu Mbowe zitarudi kwa Lisu.
Kitu pekee atakachofanikiwa Lisu ni kuwatowa kafara vijana wasiokuwa na familia wala hawana cha kupoteza.
Heche anaweza kuwa na busara kuliko Lisu.
Bado ni Mkiti wa Kanda, japo Pambalu alilalamika figisuAtapatiwa kitengo kizuri cha kuwa karibu na viongozi wa juu.
Wenje naona kauli yake imemrudia mwenyewe yeye ndio ame turn kuwa mkunja ngumi.
Kwa hiyo ulitaka chama kisiwe na Sekretarieti kisa kuna ulaji?Kwenye uchaguzi watu wanaandaa safu zao, Lisu watu wake wanata hiyo ajira na secretariet yote inaundwa na mwenyekiti na watu wanataka kula.
Ni wajinga wachache wanaodhani mapambano yalikuwa ya kisiasa lakini ukweli ni maslahi ya watu ndio yalikuwa yanapambaniwa.
Hapo Lema lazima awe katibu mkuu avute mpunga hana kazi sasa hivi.
Why notHuyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.
Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.
View attachment 3209792
Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Nami nafikiri angeendelea kwanza, hasa kwenye hii transition periodMnyika pia mtu smart sana asiachwe
Pambalu ateuliwe kuwa mjumbe kamati kuu. Ni mpambanaji Sana na bado anazo nguvu za kutoshaBado ni Mkiti wa Kanda, japo Pambalu alilalamika figisu
Pambalu yule jamaa siku zote namuonaga kama mtu fulani double agentBado ni Mkiti wa Kanda, japo Pambalu alilalamika figisu