Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Sijawahi kuwa Chadema, nimempigia Lisu kura ya Urais 2020 lakini sikubaliani na siasa za Lisu wa sasa.

Muda ni mwalimu mzuri sana, wanaosubili ruzuku zifike majimboni ndio watakuwa wa kwanza kumkataa Lisu.

Tuhuma zote mlizomtuhumu Mbowe zitarudi kwa Lisu.

Kitu pekee atakachofanikiwa Lisu ni kuwatowa kafara vijana wasiokuwa na familia wala hawana cha kupoteza.

Heche anaweza kuwa na busara kuliko Lisu.
Lisu wa 2020 ni tofauti na wa sasa kwa sababu anampinga mama Abdul?
 
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

View attachment 3209792

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu

1. Lisu
2.Heche
3. Lisu

Pagumu aisee! Wote wakurupukaji
 
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

View attachment 3209792

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Akiwa Lema itapendeza sana
 
Sijawahi kuwa Chadema, nimempigia Lisu kura ya Urais 2020 lakini sikubaliani na siasa za Lisu wa sasa.

Muda ni mwalimu mzuri sana, wanaosubili ruzuku zifike majimboni ndio watakuwa wa kwanza kumkataa Lisu.

Tuhuma zote mlizomtuhumu Mbowe zitarudi kwa Lisu.

Kitu pekee atakachofanikiwa Lisu ni kuwatowa kafara vijana wasiokuwa na familia wala hawana cha kupoteza.

Heche anaweza kuwa na busara kuliko Lisu.
Mpiga ramli piga vzri na Bado hujasema lissu forever
 
Baada ya kupatikana kwa mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni Tundu Lisu na John Heche sasa ni dhahiri Godbless Lema ndiye atakaye chaguliwa kuwa Katibu mkuu kukamilisha sekretarieti ya chama hicho.

Ikumbukwe kuwa Lema ni kambi Lisu na ndiye aliyekuwa msimamizi wa kura za Lisu kwenye uchaguzi wa kupatikana kwa mwenyekiti wa chama hicho

Inaonyesha timu Lisu walishajipanga mapema kuwa Lisu agombee uwenyekiti, Heche makamu mwenyekiti wakishinda Lema atateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho

Hivyo kuna kila dalili Lema kutangazwa kuwa ndiye katibu mkuu wa chama hicho kabla ya mkutano wao mkuu kwisha ili kukamilisha safu yao ya uongozi

Hapo watakuwa wametimiza utatu wao mtakatifu Lisu, Heche na Lema ndio maana Lema hakutia nia ya kuomba umakamu na kuomba wenyekiti wa kanda kwa makusudi kabisa kwa kuwa alishahaidiwa nafasi ya katibu mkuu

Comasava Lisu na Heche
 
Baada ya kupatikana kwa mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni Tundu Lisu na John Heche sasa ni dhahiri Godbless Lema ndiye atakaye chaguliwa kuwa Katibu mkuu kukamilisha sekretarieti ya chama hicho.

Ikumbukwe kuwa Lema ni kambi Lisu na ndiye aliyekuwa msimamizi wa kura za Lisu kwenye uchaguzi wa kupatikana kwa mwenyekiti wa chama hicho

Inaonyesha timu Lisu walishajipanga mapema kuwa Lisu agombee uwenyekiti, Heche makamu mwenyekiti wakishinda Lema atateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho

Hivyo kuna kila dalili Lema kutangazwa kuwa ndiye katibu mkuu wa chama hicho kabla ya mkutano wao mkuu kwisha ili kukamilisha safu yao ya uongozi

Hapo watakuwa wametimiza utatu wao mtakatifu Lisu, Heche na Lema ndio maana Lema hakutia nia ya kuomba umakamu na kuomba wenyekiti wa kanda kwa makusudi kabisa kwa kuwa alishahaidiwa nafasi ya katibu mkuu

Comasava Lisu na Heche
sava tre` bien merci
 
Back
Top Bottom