Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Lema amejitofautisha na ukanda,big up lema!
 
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
na iwe, itapendeza sana
 
Nabii lema akiongezeka hapo Upinzani wa kweli sasa utaanza rasmi na bibi chaudere ataipata sasa ile radha halisi ya joto la jiwe na asipo dhibiti askari wake mwaka huu kutakua na mauwaji mengi yatakayo fanywa na polisi
 
Kwani matokeo Tyr?
Screenshot_20250122_091043_X.jpg
 
Team Wenje umeyaookeaje matokeo?
Sijawahi kuwa Chadema, nimempigia Lisu kura ya Urais 2020 lakini sikubaliani na siasa za Lisu wa sasa.

Muda ni mwalimu mzuri sana, wanaosubili ruzuku zifike majimboni ndio watakuwa wa kwanza kumkataa Lisu.

Tuhuma zote mlizomtuhumu Mbowe zitarudi kwa Lisu.

Kitu pekee atakachofanikiwa Lisu ni kuwatowa kafara vijana wasiokuwa na familia wala hawana cha kupoteza.

Heche anaweza kuwa na busara kuliko Lisu.
 
Mnyika bado material na anafaa kwa kazi ya utawala km akiwa chini ya mtu makini. Lissu aendelee naye kwanza aone
Kwenye uchaguzi watu wanaandaa safu zao, Lisu watu wake wanata hiyo ajira na secretariet yote inaundwa na mwenyekiti na watu wanataka kula.

Ni wajinga wachache wanaodhani mapambano yalikuwa ya kisiasa lakini ukweli ni maslahi ya watu ndio yalikuwa yanapambaniwa.

Hapo Lema lazima awe katibu mkuu avute mpunga hana kazi sasa hivi.
 
Sijawahi kuwa Chadema, nimempigia Lisu kura ya Urais 2020 lakini sikubaliani na siasa za Lisu wa sasa.

Muda ni mwalimu mzuri sana, wanaosubili ruzuku zifike majimboni ndio watakuwa wa kwanza kumkataa Lisu.

Tuhuma zote mlizomtuhumu Mbowe zitarudi kwa Lisu.

Kitu pekee atakachofanikiwa Lisu ni kuwatowa kafara vijana wasiokuwa na familia wala hawana cha kupoteza.

Heche anaweza kuwa na busara kuliko Lisu.
Mimi mwenyewe si mwanachama wa Chadema ila ni muumini wa siasa ngumu za Lissu.

Na hizi ndio zilikuwa fundamentals za Chama tangu kiasisiwe, watu walishawishika kwasababu ya ukweli na uwazi kwenye ukosoaji uchafu unaofanyika.

Mbowe alikuwa na hiyo kitu ila kwa saizi amepunguza makali na sasa anahubiri busara.

Busara sio aina ya siasa ambazo zipo compatible na huu mfumo wa utawala tunaoishi.

Wenje yule ni muongo, na ni mamluki anayepokea rushwa. Mtu huyu hafai kuwa kiongozi wa kutegemewa kwenye hiki Chama.
 
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.

Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.

View attachment 3209792

Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Labda awe Naibu Katibu Mkuu au Idara ya Mambo ya nje.
Mnyika bado anahitajika sana kweye hiyo nafasi.
 
Sioni tatizo kama Mnyika na Mrema wakiendelea kubaki kwenye uongozi wa CDM as long as wabeba maono ndio wamepita
 
Ni Yeye, ila Mnyika tuondoke naye pia ni MTU mzuri.

Kigaila na Genge lake watafutiwe KWA LAZIMA TUHUMA ZOZOTE HATA KAMA HAZINA USHAHIDI, WAONDOSHWE WAENDE CCM.
Yeah Mnyika is smart sema tu alikua anamuogopa Mbowe naamini chini ya Lissu ataonyesha makali. Lema anaweza kuwa Mjumbe wa kamati kuu au NKM Bara.
 
Back
Top Bottom