Akisema Itakufa usipobadilika, Kaa chonjo.Lema ni mtumishi wa Mungu, ameonesha uadilifu wa hali ya juu sana.
Bado mnatuletea Wachaga tena?Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.
Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.
Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Huyu ndie ,linapita mara mojaHuyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.
Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.
Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Arudishe familia yake kutoka Canada kabla hajaanza kuwatowa kafara watoto wa maskini kwenye maandano haram.Lema ni mtumishi wa Mungu, ameonesha uadilifu wa hali ya juu sana.
Wenje ni mwenyekiti wa Kanda, Lisu anamuhitaji Wenje kuliko machawa wake.Atapatiwa kitengo kizuri cha kuwa karibu na viongozi wa juu.
Wenje naona kauli yake imemrudia mwenyewe yeye ndio ame turn kuwa mkunja ngumi.
Lema he is Good Bro!!Bado mnatuletea Wachaga tena?
FAM ni mjumbe wa Kamati kuu🤣Wenje ni mwenyekiti wa Kanda, Lisu anamuhitaji Wenje kuliko machawa wake.
acha akili mgando wewe. angalia mtu. achana na kabila lakeBado mnatuletea Wachaga tena?
Sasa nmekuelewa, wee ni Wa upande ule.Arudishe familia yake kutoka Canada kabla hajaanza kuwatowa kafara watoto wa maskini kwenye maandano haram.
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.
Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.
Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Wachaga ni sawa na Daraja la wami!Bado mnatuletea Wachaga tena?