Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Tetesi: Godbless Lema huenda akawa Katibu Mkuu ajaye wa CHADEMA

Aache ushauri ndani ya CHADEMA?
Mtu mwenye akili timamu,akisoma katiba ya chadema,ni kifo!

Katiba Yao badala ya kuimarisha chama ngazi ya Matawi, kata, wilaya na mikoani,inaimarisha chama ngazi ya Taifa,Ili Hali hakuna misingi ya chama imara ngazi ya tawi ,kata,wilaya Wala mkoa!

Chadema itafia mikononi mwa Lema na Lissu, na wataikimbia nchi
 
Mwenyewe kakataaa
 

Attachments

  • Screenshot_20250122_143043_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_20250122_143043_com.twitter.android.jpg
    715.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250122_143043_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_20250122_143043_com.twitter.android.jpg
    715.6 KB · Views: 2
Lema ni mtumishi wa Mungu, ameonesha uadilifu wa hali ya juu sana.
Lema anafaa kuchukua nafasi ya Mrema na katibu mkuu abaki kuwa John Mnyika mpaka 2026.
Baada ya hapo basi anaweza akaingia kuwa KM na Mnyika akachukua nafasi ya Lema tena .
Sio vizuri kuwaondoa wote wakati huu . Kundi la Mbowe ni muhimu sana kubaki kwenye uongozi kama sehemu ya maridhiano ya kweli tofauti na maridhiano feki ya CCM na wapinzani .
Wanasema maridhiano lakini wanakataa maamuzi rahisi kabisa ya wananchi.

Kwa mtu mtenda haki hata kama ni ndugu yako wa kuzaliwa akikosa kura unatakiwa umwambie ukweli kwamba bwana nimejirahidi kukusaidia lakini watu wamekukataa kwenye kura . Vumilia kwa sababu serikali ina teuzi na nafasi nyingi nitkuteua kwenye nafasi nyingine ili amani na upendo vitawale. Kama alivyo onyesha Mbowe .
Lakini CCM walekua na ushetani mkubwa wa kubadili kura jambo ambalo kwa misingi ya asili na hata dini ni kosa na dhambi kubwa na kwa sababu wameihalalisha ndio maana inageuka kuwa laana kwa nchi sasa. Wizi wa kura haufai . Kura ni agizo la kimungu kuondoa na kuamua kwenye mabishano .
Zamani hata kupata watumishi wa Mungu ilikua kwa kura. Sasa kama wizi ungekuwa unafanywa basi kazi ya Mungu ingetiwa doa .Wakristo wanaelewa uchaguzi wa nafasi ya kumrithi Yuda Iskari Yote aliyemsaliti Yesu . Kura zimiamua .
Ni aibu na dhambi kwa wanadamu kuvuruga uchaguzi .
 
Reform ni muhimu ikiwezekana Lile kabila wasiwe tena kwenye nafasi ya Maamuzi kabisa, Siku zote Minority ndio wanatakiaa Kuamua Ndio mana Mpaka leo hii Pamoja Na Ukubwa wa kabila Lile ila Kamwe halitakuja Kutoa Mkuu wa Nchi
 
Reform ni muhimu ikiwezekana Lile kabila wasiwe tena kwenye nafasi ya Maamuzi kabisa, Siku zote Minority ndio wanatakiaa Kuamua Ndio mana Mpaka leo hii Pamoja Na Ukubwa wa kabila Lile ila Kamwe halitakuja Kutoa Mkuu wa Nchi
Kabila si relevant sana. Always kutakuwapp exception kutoka kwenye kabila , halikwepeki
Labda ifanyie ethnic ccleaning kuwafuta juu ya uso wa dunia
 
Sijawahi andika mada yeyote kwamba Lisu hatoshinda na in fact Kila mtu alijua kabisa Lisu atashinda mengine ilikuwa ni chombezo time.
CCM na uongo ni pipa na mfuniko

Hapo ulipo hujitambui wala kujielewa kwa pigo la jana usiku
 
CCM na uongo ni pipa na mfuniko

Hapo ulipo hujitambui wala kujielewa kwa pigo la jana usiku
Apigwe Mbowe wa Chadomo Mimi ndio nilie 😆😆😆😆😆

Nyumbu ni nyumbu tuu mnasubiria kushikiwa akili na kibaraka
 
Back
Top Bottom