Godbless Lema huwa anakosa Busara/Hekima. Ingawa yeye anaamini ana busara na hekima sana. Hapa alimkosea sana P. Msigwa

Hapo ndio mjue jinsi chadema ina viongozi hovyo kabisa hivi hawa nfio wa kuwapa nchi

Kama Magufuli aliweza kupewa nchi wakati hana hata busara ya nusu ya aliyonayo Lema, nani atashindwa kuongoza nchi hii kwa kukosa busara? Alichokuwa anafanya Ndugai bungeni na akaweza kuendelea kuwa spika, inawezekana vipi busara ikawa kigezo cha mtu kama Lema kukosa uongozi? Tukubali tu kuwa hapa nchini kwetu busara sio kigezo cha kuwa kiongozi, bali sifa nyingine kabisa.
 
Mbona ulikuwa unashangilia?
 
Hapo kwenye Msukuma -
Unamaanisha Msukuma gani - au huyu Dr?
 
Na wewe kwa nini haujamfuata Lema private ukamueleze haya yote?

Samething kwako pia umekosa busara,elimu na akili,tena wewe ni zaidi ya mjinga kwa sababu umeshindwa ata kujifunza kwenye kosa la Lema...Acha kuishi kwa unafiki.
Wanafiki wanapata mikosi sana
 
WEWE MWENYEWE HUNA BUSARA HATA CHEMBE NAKUJUA VIZURI SANA
 
Mchungaji msigwa kwanini anaamini mzee chenge ni SAHIHI wakati huyo chenge anatoka huko huko CCM?
Anadhan upinzani utapata unafuu gani chenge akiwa spika wa bunge?
KIUFUPI HAKUNA MTU SAHIHI PALE CCM wote wapo kwa maslahi ya ccm.
The good, the bad, the ugly
 
WEWE MWENYEWE HUNA BUSARA HATA CHEMBE NAKUJUA VIZURI SANA
Lile la mimi kukualika dinner uje na mademu wenzio watatu halafu mimi kuwananii ndo mpaka leo unaona sina busara? Acha iwe hivyo dada wewe mwenyewe ulianza kunikosea. Mimi si bwege. Kama uliwaleta wale vyangu nao wanaliwa ...ngoma draw.
 
Lema ana ile legacy ya ujuaji juaji wa vijana wengi wa Arusha ambao kwao kila mmoja anajiona mjuaji wa kila kitu.

Pia tunakumbuka rekodi yake ya awali kabla ya ubunge.......

Ilikuwa shida kwenye magari ya watu.....
TAtizo la ujuaji wa kifala analo. Huwa anadhani anajua. Kuna siku club house aliongelea jambo flani kuhusiana na kesi ya Mbowe kwa wanasheria. Lissu alimpinga waziwazi. Lema ana ujuaji wa kishamba sometimes. Lissu nadhani alikwazika kidogo kuona jamaa anazungumzia mambo asiyoyajua kama anayajua.
 
Lile la mimi kukualika dinner uje na mademu wenzio watatu halafu mimi kuwananii ndo mpaka leo unaona sina busara? Acha iwe hivyo dada wewe mwenyewe ulianza kunikosea. Mimi si bwege. Kama uliwaleta wale vyangu nao wanaliwa ...ngoma draw.
Umetupotezea muda mimi na mademu wenzangu,nimeingia na wewe gesti nimekiona kibamia chako
 
Mwizi wa magari Lema, ulijua ana busara au elimu au nidhamu, did you expect that toka kwa mtu wa caliber ya hivyo?

Ww ndio una matatizo uliwaza vipi Lema awe na busara?
Leta ushahidi kuonesha alikuwa mwizi wa magari. Mnakuwa watu wa ajabu kuzushia zushia watu mambo. Mnakeraga Sana.
 
Leta ushahidi kuonesha alikuwa mwizi wa magari. Mnakuwa watu wa ajabu kuzushia zushia watu mambo. Mnakeraga Sana.
Kwani mimi nimetamka wapi wizi wa magari?

Kwa kuwa umenyooshea jibu mstari....sasa nikuulize...kwani ni uongo???
 
Hapo ndio mjue jinsi chadema ina viongozi hovyo kabisa hivi hawa nfio wa kuwapa nchi
Sasa kwa taarifa yako tu ni kwamba, hawa wa ccm wanaoendesha hii nchi na ambao wamekuwa wakiiendesha huko nyuma ni bogus afadhali hata hawa wa upinzani tusiowajua.

Nafuu mwanamke ambaye bado hujatembea naye kabisa unaweza ukamtamani kuliko huyu uliyemzoea, nafikiri kama wewe ni mwanaume wa ukweli, utanielewa vizuri.
 
Kwani mimi nimetamka wapi wizi wa magari?

Kwa kuwa umenyooshea jibu mstari....sasa nikuulize...kwani ni uongo???
Mbona na wewe sasa huna msimamo? Mnakalia majungu tu, huyo Ndugai naye mwambieni basi aturudishie hela zetu alizotuibia kwa kisingizio cha kwenda kutibiwa India.
 
Umetupotezea muda mimi na mademu wenzangu,nimeingia na wewe gesti nimekiona kibamia chako
Lakini shida ni wewe kuwa na Bakuli.... Wengine hiki kibamia kinawafaa sana ... Haya siku nyingine nitatumia mkono au mguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…