Godbless Lema: I won't return to persecution paradise

Godbless Lema: I won't return to persecution paradise

Mtu aliezoea kukusanya 13 million take home kila mwezi kwa Miaka 10 kwa kupiga domo tu sio rahisi kuji adjust na kuanza maisha upya kabisa

Nmemuelewa sana Kamanda Lema
Hivi zile faini na mauchafu mengine mliomshinikizia, mmeshamkata zote au?
 
zamani sana tulikuwa tunasikia hizi simulizi kutokea Rwanda na Burundi sijui Banyamulenge..sikuwahi kufikiria kama tutaziishi. hatimaye
Mtanzania halisi kabisa kwa kweli hawezi kitufikisha hapa!! Maisha ya kuwindana kama wanyama wa mwituni..Kuna jambo hatuko nalo makini...

Genetics za watanzania ni wenye huruma mno!! Na hili linajulikana dunia nzima.
 
Hizo ni drama tu
My tears. Haya mambo tulikuwa tunayasikia kutoka Burundi, Rwanda, Congo n.k. Hasa Rwanda. Sikutegemea tutakuwa na wakimbizi kutoka Tanzania as sisi tulikuwa ndiyo tumawahifadhi. Na salama ya hao wapinzani wakubwa ni kujihami. Yaliyompata Lissu akapona wao hawatapona.
 
Hii ni habari kwa mujibu wa gazeti moja la nchini Kenya ambalo limefanya mahojiano na Lema akiwa nchini humo kutafuta hifadhi ya kisiasa.

Habari kamaili hii.

=======

Former Tanzanian MP Godbless Lema at Kajiado Police Station on November 9, 2020. He has vowed not to return to his country saying it is a "persecution paradise" for opposition leaders.

Fleeing former MP for Tanzania’s Arusha Urban Constituency Godbless Lema says he does not want to go back to his motherland, terming the country a "persecution paradise".

The MP spent Sunday night at Kajiado Police Station in Kajiado County after he was intercepted by Kenyan authorities in Ilbisil along Namanga road in the afternoon.

The former MP had managed to sneak his wife Neema, two sons (Allbless and Terrence) and daughter Brilliance through the porous Namanga entry point.

Mr Lema had left his home incognito in a taxi and alighted at the Namanga border.

Speaking to the Nation from his confinement in a small room away from the common cell at the Kajiado Police Station, the politician said he came to Kenya to seek political asylum.

Dressed in a pink coat, white shirt, dark trousers, pink hat and a black pair of shoes, Mr Lema looked forlorn and in deep thought. His teary eyes told of a person who was fighting invisible enemies.
He was not handcuffed.

Life in danger​

Sitting restlessly on a wooden chair, he said his life is in danger back home in Tanzania.

The opposition politician said he had already reached out to the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR) seeking asylum.
"I was being trailed by unmarked cars back in Arusha. I and family also received a death threat. I decided not to ignore and left with my family. Tanzania remains a persecution ground for opposition leaders," said Mr Lema.

He insisted he is not a criminal running away from justice but a leader staring at a possible assassination due to his political stance.
His lawyer, George Luchiri Wajackoyah, said deporting the former MP back to Tanzania would amount to violation of human rights.

The lawyer, who had kept Mr Lema company the whole night, said security agencies were trailing the politician with the help of their Kenyan counterparts seeking to deport him back to Tanzania.

"We are aware that some powerful individuals in Tanzania are pushing for the deportation of my client. I have already handed over his family to UNHCR. Deporting a leader seeking political asylum is a violation of human rights," said Mr Wanjackoya.

Not recorded statement​

He said his client had not recorded a police statement at Kajiado Police Station and insisted that he should be handed over to UNHCR.
"Kenya authorities must not return my client to Tanzania where opposition MPs are being persecuted. A person fleeing from persecution, according to Article 2 of the UNHCR Statute of 1951, does not need to present documents to any authority," he added.

However, reliable sources within police circles indicated that plans are under way to send the former MP back to Tanzania.
Senior police officers in Kajiado remained tight-lipped on the matter, avoiding all contacts with journalists.

On Sunday, however, Kajiado Central Sub-county police boss Daudi Olonyokwe said they were looking into the matter.

Mr Lema's woes come amid a crackdown on Tanzanian’s opposition, barely a week after President John Pombe Magufuli was sworn in for a second five-year term after he won elections whose results were rejected by the opposition.
Lema anataka kufaidi matunda ya "ukimbizi" kama Tundu ambaye watoto wake wanasomeshwa Ubelgiji.Kwa sasa Hana ajira,hawajui UNHCR watapeleka watoto wake hapo Kajiado PR School
 
Asante Lema nadhani Watanzania wengi tutapata fursa kufungua akili.
 
Mtanzania halisi kabisa kwa kweli hawezi kitufikisha hapa!! Maisha ya kuwindana kama wanyama wa mwituni..Kuna jambo hatuko nalo makini...

Genetics za watanzania ni wenye huruma mno!! Na hili linajulikana dunia nzima.
Alikuwa ameshatepeta mwishoni mwa kampeli alikuwa anatia huruma sana juhudi kigogo tu zimekosekana kwa upinzani jinsi ya ku organize maandamano ndiyo kapata nguvu tena ila bado ana kibarua kizito kwa kuishi na vikwazo vya safari na misaada ila kwa yeye sio shida wataipata Watanzania
 
Hizo ni drama tu
Hata Lissu alipolalamika mlisema ni drama. Alipoligwa risasi 16 sijui mlijiambiaje tena. Hivi Lema aache nyumba yake na biashara akimbie unasema ni drama? Hivi Nyalandu akimbie aache familia na kila kitu unasema ni drama? Tuombe Mungu sana.
 
Hii ni habari kwa mujibu wa gazeti moja la nchini Kenya ambalo limefanya mahojiano na Lema akiwa nchini humo kutafuta hifadhi ya kisiasa.

Habari kamaili hii.

=======

Former Tanzanian MP Godbless Lema at Kajiado Police Station on November 9, 2020. He has vowed not to return to his country saying it is a "persecution paradise" for opposition leaders.

Fleeing former MP for Tanzania’s Arusha Urban Constituency Godbless Lema says he does not want to go back to his motherland, terming the country a "persecution paradise".

The MP spent Sunday night at Kajiado Police Station in Kajiado County after he was intercepted by Kenyan authorities in Ilbisil along Namanga road in the afternoon.

The former MP had managed to sneak his wife Neema, two sons (Allbless and Terrence) and daughter Brilliance through the porous Namanga entry point.

Mr Lema had left his home incognito in a taxi and alighted at the Namanga border.

Speaking to the Nation from his confinement in a small room away from the common cell at the Kajiado Police Station, the politician said he came to Kenya to seek political asylum.

Dressed in a pink coat, white shirt, dark trousers, pink hat and a black pair of shoes, Mr Lema looked forlorn and in deep thought. His teary eyes told of a person who was fighting invisible enemies.
He was not handcuffed.

Life in danger​

Sitting restlessly on a wooden chair, he said his life is in danger back home in Tanzania.

The opposition politician said he had already reached out to the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR) seeking asylum.
"I was being trailed by unmarked cars back in Arusha. I and family also received a death threat. I decided not to ignore and left with my family. Tanzania remains a persecution ground for opposition leaders," said Mr Lema.

He insisted he is not a criminal running away from justice but a leader staring at a possible assassination due to his political stance.
His lawyer, George Luchiri Wajackoyah, said deporting the former MP back to Tanzania would amount to violation of human rights.

The lawyer, who had kept Mr Lema company the whole night, said security agencies were trailing the politician with the help of their Kenyan counterparts seeking to deport him back to Tanzania.

"We are aware that some powerful individuals in Tanzania are pushing for the deportation of my client. I have already handed over his family to UNHCR. Deporting a leader seeking political asylum is a violation of human rights," said Mr Wanjackoya.

Not recorded statement​

He said his client had not recorded a police statement at Kajiado Police Station and insisted that he should be handed over to UNHCR.
"Kenya authorities must not return my client to Tanzania where opposition MPs are being persecuted. A person fleeing from persecution, according to Article 2 of the UNHCR Statute of 1951, does not need to present documents to any authority," he added.

However, reliable sources within police circles indicated that plans are under way to send the former MP back to Tanzania.
Senior police officers in Kajiado remained tight-lipped on the matter, avoiding all contacts with journalists.

On Sunday, however, Kajiado Central Sub-county police boss Daudi Olonyokwe said they were looking into the matter.

Mr Lema's woes come amid a crackdown on Tanzanian’s opposition, barely a week after President John Pombe Magufuli was sworn in for a second five-year term after he won elections whose results were rejected by the opposition.
Inaonekana furaha sana kwa wale wanaojiita 'wamepata ushindi wa kishindo', lakini ni mbaya sana kwa msitakabari wa nchi.
 
I'm also planning to leave this land of thugs. The "boss" is is encouraging and nursing thuggery in the country.
 
We mja laana huna jipya. Ni shetani

Kama ni hiyo video imekupa jazba kiasi hicho basi Shetani mkuu ni wewe usiyetaka maendeleo ya watu wala amani, unaetafuta chokochoko kila kuchapo
 
Lema anataka kufaidi matunda ya "ukimbizi" kama Tundu ambaye watoto wake wanasomeshwa Ubelgiji.Kwa sasa Hana ajira,hawajui UNHCR watapeleka watoto wake hapo Kajiado PR School
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kajiago primary school.
 
Kama ni hiyo video imekupa jazba kiasi hicho basi Shetani mkuu ni wewe usiyetaka maendeleo ya watu wala amani, unaetafuta chokochoko kila kuchapo
Wee Menopause inakusumbua

Hujishitukii kila MTU anakuona kinyago humu ndani kazi kusifia maovu?

Unatia kinyaa
 
Wee Menopause inakusumbua

Hujishitukii kila MTU anakuona kinyago humu ndani kazi kusifia maovu?

Unatia kinyaa

Ilimsumbua sana bimkubwa wako au mkeo?? Mimi bado sanaaaa

Wewe Mimi kupost hii video ya wananchi kupata huduma ya maji ndio unikurupukie na jazba lote Hilo. Ulitaka waendee kuteseka ili iweje? Binadamu wa kawaida kweli wewe?



Jifunze maana kuwa mpinzani. Upinzani sio kuchukia mpinzani wako anapofanya miradi ya maendeleo
 
Back
Top Bottom