Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rula ya Mafisadi

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
404
Reaction score
852
IMG-20250111-WA0293(1).jpg

====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
 
View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
Ujumbe mzuri, wajumbe ufanyieni kazi msituangushe.
 
Ni watu walioshiwa fikra, miaka yote CDM imekuwa ikilazimika kutoa posho watu kuhudhuria hivi vikao vya uchaguzi ili democracy ifanye kazi.

Wao wamegoma kuchangia (wakipewa hela na wazungu wanaweka kibindoni). Sasa hivi wanataka kutumia hiyo fursa baada ya wenzao kutafuta hela kuita; hongo.

CDM isipotoa posho za wajumbe na kuwataka waende wenyewe kwa hela zao, wasiokuwa na hela wasipofika, quorom isitoshe, akishinda wasiemtaka. Mataahira kama Lissu et al watasema kashinda kisa wajumbe wengine hawakufika kwenye mkutano.

Damn if you do? damn if you don’t.

Kosa kubwa atakalofanya Mbowe ni kuwaachia chama hawa mataahira; hawana leadership acumen/skills za kuendesha taasisi.

Sasa hivi unaona kumbe Mbowe alikuwa kiungo mkubwa sana, kwa stability ya CDM.
 
Ni watu walioshiwa fikra, miaka yote CDM imekuwa ikilazimika kutoa posho watu kuhudhuria hivi vikao vya uchaguzi ili democracy ifanye kazi.

Wao wamegoma kuchangia, sasa hivi wanataka kutumia hiyo fursa baada ya wenzao kutafuta hela kuita; hongo.

Wasingetoa wajumbe wakaenda wenye kwa hela zao, wasiokuwa na hela wasingefika quorom isitoshe akishinda wasiemtaka watasema; kashinda kisa wajumbe wengine hawa kufika kwenye mkutano.

Damn if you, damn if you don’t.

Kosa kubwa atakalofanya Mbowe ni kuwaachia chama hawa mataahira; hawana leadership acumen/skills za kuendesha taasisi.

Sasa hivi unaona kumbe Mbowe alikuwa kiungo mkubwa sana, kwa stability ya CDM.
Inawezekana kabisa wewe ndiye taahira mwenyewe.
 
View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
huyu jamaa baada ya kafulia na kapigika mno kiuchumi na kimaisha,

Arusha wameshampuuza tangu kitambo sana, lakini pia haskilizwi tena chadema. Ni mropokaji asie na athari za kisiasa ndani ya chadema 🐒
 
Ni watu walioshiwa fikra, miaka yote CDM imekuwa ikilazimika kutoa posho watu kuhudhuria hivi vikao vya uchaguzi ili democracy ifanye kazi.

Wao wamegoma kuchangia, sasa hivi wanataka kutumia hiyo fursa baada ya wenzao kutafuta hela kuita; hongo.

Wasingetoa wajumbe wakaenda wenye kwa hela zao, wasiokuwa na hela wasingefika quorom isitoshe akishinda wasiemtaka watasema; kashinda kisa wajumbe wengine hawa kufika kwenye mkutano.

Damn if you, damn if you don’t.

Kosa kubwa atakalofanya Mbowe ni kuwaachia chama hawa mataahira; hawana leadership acumen/skills za kuendesha taasisi.

Sasa hivi unaona kumbe Mbowe alikuwa kiungo mkubwa sana, kwa stability ya CDM.
Umeandika Ujinga wa kiwango Cha lami🤔🤔🤔🚴🚴
 
Ni kwa sababu hujui hao watu zaidi ya 1300 wapiga kura wanafika vipi na wanalala wapi.

Na wasipotokea wote democracy inakuwa compromised. Ukiambiwa uchangie unaona unaonewa.

Msione vinaelea vimeundwa, mnaropoka tu.
Kwani hii ni mara ya kwanza mkutano mkuu kufanyika? Wewe uko ughaibuni hujui yanayoendelea ndani ya Chadema umeamua tu kuchukua upande.
 
View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
Hii ni team Lissu, nabii amenena
 
Back
Top Bottom