Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Usingeweza andika kingine zaidi ya hiko, ndio mwisho wa akili zako (I get that).

Hakuna merit ya nilichoandika kwenye hoja (ndio uwezo wako).

Tuna sababu za msingi wengine tunapotaka kuona nchi wanapewa wa kunyoosha kweli kweli watanzania akili zenu zikae sawa.
Una shida ya afya ya akili, hujutambui 😅😅😅🤣🤣🤸🤸
 
View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
Lemma mbona hatoi unabii?
 
Na wewe utukome, nani akatae hela hii January? Wewe kila mwezi unavuta maelfu ya dola kutoka kwa wazungu kwa hifadhi ya ukimbizi.

Yaani baada ya mkutano nikiwa narudi nyumbani, lazima nipitie mifuko ya simenti na bati
Pesa tutakula na kura hawapati hao madalali wa siasa.
Tunayo machungu sana ya kuondokewa ndugu na rafiki zetu kisa ukombozi wa pili wa nchi hii halafu wapumbavu wachache wanakula na watesi wetu.
Kila ninapopita Pale Buselesele Katoro mahali alipouawa Kamanda Mawazo napataga hasira sana.
 
Anasemaje tena huyu naye!!!
20250111_130051.jpg
 
View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
Safi sana Lemma
 
Wajinga hawa wanadhani kila mtu anawaelewa, Lisu hatufai.

Alete ushahidi au aondoke chadema, akaanzishe chama chake cha wana mihemko.

Chadema itakufa chini ya Lisu. Kama kawaida Team Lisu watasema Mbowe ndiye kaiua.
 
View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
Daaah CHADEMA
 
Lema, tuambie kwanza pesa za join the chain zipo wapi?
 
View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
Lemma anaakili sana
 
Back
Top Bottom