Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sometimes ‘axis of adults’ inabidi watoe opinion ya madhara ya maamuzi na wanapoweza zuia wanafanya hivyo.

Pasipo na uwezo wao it’s fate, Lakini Lissu plan zake ni zakufirika tu not game changer kwa sababu hana hiyo public support anayodhani (case study ni mikusanyiko ya mikutano yake baada ya kupewa kibali), worst ameonyesha sio team player and he lacks leadership skills.

Mengine ni ya wajumbe kuamua; hapa tunatoa opinion tu, Mbowe aandae warithi sasa; Lakini Lissu hana qualities za leadership.
Kwamba mtoto wa Mbowe akiandaliwa, aweza kuwa mrithi sahihi?
 
Kwamba mtoto wa Mbowe akiandaliwa, aweza kuwa mrithi sahihi?
Ajifunze kwa CCM, unajua hawa hakina Bashungwa, Mwigulu usione wapo tu huko juu. Wametengenezwa na pengine 60% ya mawaziri wao wamefika hapo kwa mtindo huo.
 
Na wewe utukome, nani akatae hela hii January? Wewe kila mwezi unavuta maelfu ya dola kutoka kwa wazungu kwa hifadhi ya ukimbizi.

Yaani baada ya mkutano nikiwa narudi nyumbani, lazima nipitie mifuko ya simenti na bati
Halafu oktoba ikifika atarudi kubahatisha ubunge huku familia take ikibakia Canada, akikosa atarudi Canada , akishinda ubunge atakaa nchini mguu mmoja na mguu mwingine Canada.

Hakika wajinga ndio waliwao.
 
Ni watu walioshiwa fikra, miaka yote CDM imekuwa ikilazimika kutoa posho watu kuhudhuria hivi vikao vya uchaguzi ili democracy ifanye kazi.

Wao wamegoma kuchangia (wakipewa hela na wazungu wanaweka kibindoni). Sasa hivi wanataka kutumia hiyo fursa baada ya wenzao kutafuta hela kuita; hongo.

CDM isipotoa posho za wajumbe na kuwataka waende wenyewe kwa hela zao, wasiokuwa na hela wasipofika, quorom isitoshe, akishinda wasiemtaka. Mataahira kama Lissu et al watasema kashinda kisa wajumbe wengine hawakufika kwenye mkutano.

Damn if you do? damn if you don’t.

Kosa kubwa atakalofanya Mbowe ni kuwaachia chama hawa mataahira; hawana leadership acumen/skills za kuendesha taasisi.

Sasa hivi unaona kumbe Mbowe alikuwa kiungo mkubwa sana, kwa stability ya CDM.
Kwa lugha tu uliyoitumia katika kuwasilisha hoja yako, wewe siyo mzima. Afya yako ya akili ni muhimu sana, wahi matibabu, unaweza kuokoa afya ya akili yako.
 
Halafu oktoba ikifika atarudi kubahatisha ubunge huku familia take ikibakia Canada, akikosa atarudi Canada , akishinda ubunge atakaa nchini mguu mmoja na mguu mwingine Canada.

Hakika wajinga ndio waliwao.
Na kweli, inaonekana umeliwa sana.
 
Kwanza turudi kwenye uhalisia wa costs za uchaguzi hao wajumbe wanapaa kwa rukuzu ya CDM wanayopata au kunahitajika external funding source ili uchaguzi ufanyike.

Pili ukiambiwa ulete hesabu za makusanyo ya (hadhara + ruzuku - wages - admin cost - election costs - other cost) sidhani kama unazo hizo info za ku-justify hoja yako.

Ni hivi mimi ninataka kuona upinzani unaoimarika na Lissu sio mtu sahihi; Mbowe kachelewa tu kutengeneza potential successor. Lakini Lissu hana leadership qualities.
Wewe unaona hivyo,lakini wanachama wanaona Lissu ndiye chaguo bora kupambana na aina ya siasa zinazoendeshwa na ccm kwa sasa,kwa sasa kupambana na CCM ni sawa na harakati za kudai uhuru,hawa watu wamegeuka kuwa makaburu weusi kwani ccm siyo chama cha siasa tena bali ni chama dola ,kupambana na CCM ni kupambana na serikali. Mbowe amefanya kazi nzuri iliyotukuka kwa wakati lakini kwa sasa tunahitaji approach tofauti kabisa. Anyway watakaloamua wajumbe ndiyo tutakwenda nalo na naamini baada ya uchaguzi Chadema itakuwa moja japo kuna kazi ya kutibu majeraha
 
Kwa lugha tu uliyoitumia katika kuwasilisha hoja yako, wewe siyo mzima. Afya yako ya akili ni muhimu sana, wahi matibabu, unaweza kuokoa afya ya akili yako.
Shukuru nakuheshimu ndio maana uwa hata si-blast post zako za ujinga unazoweka humu.

Or else ingekuwa balaa, maana uwa unaandika upuuzi na wewe; god knows.
 
Wewe unaona hivyo,lakini wanachama wanaona Lissu ndiye chaguo bora kupambana na aina ya siasa zinazoendeshwa na ccm kwa sasa,kwa sasa kupambana na CCM ni sawa na harakati za kudai uhuru,hawa watu wamegeuka kuwa makaburu weusi kwani ccm siyo chama cha siasa tena bali ni chama dola ,kupambana na CCM ni kupambana na serikali. Mbowe amefanya kazi nzuri iliyotukuka kwa wakati lakini kwa sasa tunahitaji approach tofauti kabisa. Anyway watakaloamua wajumbe ndiyo tutakwenda nalo na naamini baada ya uchaguzi Chadema itakuwa moja japo kuna kazi ya kutibu majeraha
Good morning 👋, till next time.
 
Kwa hizi wiki mbili zilizopita zimewapa picha halisi watanzania Kwamba wapinzani wetu hasa CHADEMA ni watu WA aina Gani, ni watu wenye tamaa ya madaraka na wanaonunulika kirahisi sana.

Kwakweli matumaini na imani ya watanzania Kwa CDM inazidi kupotea!!
 
Unajua wewe una challenge jambo usilolijua,hoja ni CCM kutoa fedha kumfadhili Mbowe na kambi yake,jee Chadema chini ya Mbowe itakuwa tena chama au kigango tu cha CCM? Na si kweli kuwa chama hakina uwezo wa kuendesha mkutano mkuu lakini hela zimepigwa hapo HQ na watu wanajua ndiyo maana mpaka leo hawasemi hela za join the Chain ziko wapi. Watu siyo wajinga kama unavyowachora kwenye ubongo wako.
Kwanini wanachama wanaruhusu Hilo jambo la ccm kumfadhili Mbowe ilihali inafahamika wazi lengo la ccm ni Nini Kwa CDM?
 
Usingeweza andika kingine zaidi ya hiko, ndio mwisho wa akili zako (I get that).

Hakuna merit ya nilichoandika kwenye hoja (ndio uwezo wako).

Tuna sababu za msingi wengine tunapotaka kuona nchi wanapewa wa kunyoosha kweli kweli watanzania akili zenu zikae sawa.
Bado wewe ni bare head,over 🤔🤔🚴🚴
 
Back
Top Bottom