Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
Huyu mpuuzi nae amekuwa kama kinyonga haeleweki kabisa.
 
Kwani hii ni mara ya kwanza mkutano mkuu kufanyika? Wewe uko ughaibuni hujui yanayoendelea ndani ya Chadema umeamua tu kuchukua upande.
Kwenye kichwa chako situation ya 2019 na 2025 sawa.

Ruzuku ya chama sawa?

Income imeshuka, lakini expenditure ziko pale pale, plus inflation adjustments (bei ya guest, nauli, chakula, usafiri vyote vimepanda).

Changia na wewe, naah mimi siwezi Iła nataka uongozi.

Wafuasi wa Lissu akili zenu zinawatosha wenyewe.

Kosa kubwa atakalofanya Mbowe ni kumuachia huyo taahira Lissu chama, hana clue ya changamoto za finance ya chama.
 
Unathibitisha kuwa hazikutoshi kichwani, una Akili za kuvukia barabara tu, acha mihemko wewe MWANAMKE!!
🤔🤔🚴🚴
Usingeweza andika kingine zaidi ya hiko, ndio mwisho wa akili zako (I get that).

Hakuna merit ya nilichoandika kwenye hoja (ndio uwezo wako).

Tuna sababu za msingi wengine tunapotaka kuona nchi wanapewa wa kunyoosha kweli kweli watanzania akili zenu zikae sawa.
 
Kwenye kichwa chako situation ya 2019 na 2025 sawa.

Ruzuku ya chama sawa?

Income imeshuka, lakini expenditure ziko pale pale, plus inflation adjustments (bei ya guest, nauli, chakula, usafiri vyote vimepanda).

Changia na wewe, naah mimi siwezi Iła nataka uongozi.

Wafuasi wa Lissu akili zenu zinawatosha wenyewe.

Kosa kubwa atakalofanya Mbowe ni kumuachia huyo taahira Lissu chama, hana clue ya changamoto za finance ya chama.
Wewe ni taahira usiyejua kilichoko huku. Mbowe siye anayemuachia chama Lissu bali wajumbe 1200 ndiyo watafanya maamuzi hayo,hivi shule ulienda kusomea ujuha?
 
View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
Jibu ni jepesi sana! CHADEMA iliyolala ndiyo tiketi kwa CCM kuendelea kula keki ya taifa.

Lazima CCM watumie hela ili wapatikane Viongozi watakayoilaza CHADEMA maana hao ndo watahakikisha usalama wa CCM katika kuendelea kuwanyonya Watanzania.
 
Angalizo hili ni muhimu:

Gg-_oR3XUAAaFhn.jpeg


Habari za kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki kwa maneno tu? Hapana!

Maoni ya wanachama na hasa wananchi yazingatiwe.

Pia soma: Kuelekea dakika ya tisini: "Maoni ya wanachama yasiposikilizwa, CHADEMA njiani kulia na kusaga meno!"

Uchaguzi huru, wa haki na kuaminika utakiimarisha sana hiki chama.

Si vinginevyo!
 
Wewe ni taahira usiyejua kilichoko huku. Mbowe siye anayemuachia chama Lissu bali wajumbe 1200 ndiyo watafanya maamuzi hayi,hivi shule ulienda kusomea ujuha?
Na hao wajumbe wanafika kwenye huo mkutano na kurudi makwao kwa kupaa na ungo, wakifika huko wanalala barabarani na kula kwa kuokota majalalani.

Si ndio

Ukijiuliza nani anagharamia hiyo shughuli na kama ruzuku ya CDM inatosha kwa sasa, ndio utajua akili zako zilivyofinyu.

Unadhani hayo ni mambo ya ‘abracadabra’ tu yanatokea bila budgetary plannings
 
Dr slaa kazungumzia hilo suala Twitter la hela kuingia chadema. Tetesi toka Twitter zinasema kuna asali nono ya 12B imeingia kwa mtu fulani. 12B ni hela nyingi Lazima kiumane 🤣
 
Ukimya wa Lema nimeupenda Sana,anajielewa.

Hata Heche alipovunja ukimya aina za kina Re'tired waliwaita "takataka."

Ila list nzima ya wahaini inajulikana:



Kama ilivyo wana watiifu wakiwamo wale wa sala ya kitubio.

Zingatia hao wahaini ndiyo chaguo la watu!
 
Ni watu walioshiwa fikra, miaka yote CDM imekuwa ikilazimika kutoa posho watu kuhudhuria hivi vikao vya uchaguzi ili democracy ifanye kazi.

Wao wamegoma kuchangia (wakipewa hela na wazungu wanaweka kibindoni). Sasa hivi wanataka kutumia hiyo fursa baada ya wenzao kutafuta hela kuita; hongo.

CDM isipotoa posho za wajumbe na kuwataka waende wenyewe kwa hela zao, wasiokuwa na hela wasipofika, quorom isitoshe, akishinda wasiemtaka. Mataahira kama Lissu et al watasema kashinda kisa wajumbe wengine hawakufika kwenye mkutano.

Damn if you do? damn if you don’t.

Kosa kubwa atakalofanya Mbowe ni kuwaachia chama hawa mataahira; hawana leadership acumen/skills za kuendesha taasisi.

Sasa hivi unaona kumbe Mbowe alikuwa kiungo mkubwa sana, kwa stability ya CDM.
mjinga mmoja hivi matyako we
 
Back
Top Bottom