Chadema jeshi hawana polisi Hawa nk lakini wanacho.kitu kimoja tu kikubwa UKABILA..Yehodaya unakosa objective analysis! Sasa makabila hayo yamekufa? The issue is KANU ilikuwa na "nguvu" kama CCM, kwanini ilikufa? Watu walifuata kula/njaa /maslahi mle, baada ya kula kuisha ikasambaratika. CDM hawana pesa, hawana Jeshi, hawana askari, hawana majumba, hawana magari ya kutanua/kustarehe, hawana magereza,
Have a nice day, it is time to shamba!
Wewe ni mhaya wa ajabu! nadhani ulisoma "Nguin". Nsomile hawako hivi! Nshomile wako objective with no stories of Istilahi and the like!Walau umetumia neno "quotations" nadhani ungetumia tuu neno "nukuu" maana sioni maana ya kandika vijineno vya wale wakati msamiati na istilahi za kiswahili vipo vya kutosha. Itoshe tuu kusema, ukikosa hoja utajibaraguza kwa kushambulia makabila, umbile, rangi, n.k
Ukisoma nilichoandika, hakuna nukuu bali mawazo na maono yangu, ila kwa upofu ulionao, hata neno la muhusika wewe hudha ni nukuu (quotqtion kama ulivyoandika)
nadhani hilo la ukabila lilishashindwa! Tafuta lingine. CDM is countrywide!Chadema jeshi hawana polisi Hawa nk lakini wanacho.kitu kimoja tu kikubwa UKABILA..
Kwa Hilo hakuna Chama chochote Cha siasa kinawafikia
Inaogopwa kama teke la mwisho la farasi anayekata roho. Maana CHADEMA inajifia na teke lake linaweza kuleta hatari. Haina cha kupoteza tena. Mfano mdogo ni kateke ka kususia uchaguzi wa serikali za mitaa.Nyinyi wote ni watoto.. Historia ni mwalimu mzuri sana! KANU ya Kenya ilipokuwa madarakani, ilikuwa kama CCM inavyofanya sasa. KANU iko wapi leo! nani alidhani KANU ingelikufa? Hivyo hivyo chama cha Kaunda Zambia? UPC ya Obote iko wapi?etc, etc, etc. Unadhani leo CCM ikitoka madarakani kitatokea nini kwa "uthabiti" wa CCM, ! Nyinyi ni watoto hamsomi historia ya haya mambo!
CDM haina fedha, haina dola, haina polisi, haina jeshi, haifanyi mikutano, walafi wanahama , lakini bado inaogopwa. Unalisemaje hilo?
Chadema iko countrywide kwenye maeneo yenye wachaga wengi.Wakiwepo hapo lazima chadema iwepo.Si unajua wachaga wamesambaa nchi nzima .Popote walipo chadema iponadhani hilo la ukabila lilishashindwa! Tafuta lingine. CDM is countrywide!
Anabadilishaje mawazo yako kwenye sanduku la kura wakati uligoma kujiandikisha?CCM ibadirike.
Ihangaike kuwapata wananchi watakaowapigia kura badala ya kuhangaika kuwapata viongozi waliopigiwa kura.
Kiongozi kama Lazaro hawezi kubadirisha mawazo yangu kwenye sanduku la kura ikiwa utendaji wa chama hicho haujakidhi mahitaji yangu ya kimaisha.
Bora kulala masaa 2000 mwili utapumzika, kuliko kubishana na mpumbavu; maana kitokacho kwa mpumbavu ni uovu na ubatili, wala nafsini mwake hakuna la heri.Wewe ni mhaya wa ajabu! nadhani ulisoma "Nguin". Nsomile hawako hivi! Nshomile wako objective with no stories of Istilahi and the like!
tofauti yake ni kutokuona tofauti ya CCM na CHADEMAHivi unahama chadema Na kwenda ccm, tofauti ni nn
Wana hangover ya upumbavu; hawawezi kuelewa.Mkuu unawapa majibu mazuri sana ya kufikirisha! Ila kwa kuwa ni mbumbumbu sijui kama watakuelewa!!
Mimi ya kenya naona walibadili jina tu la chama lakini uongozi ulibaki uleuleNyinyi wote ni watoto.. Historia ni mwalimu mzuri sana! KANU ya Kenya ilipokuwa madarakani, ilikuwa kama CCM inavyofanya sasa. KANU iko wapi leo! nani alidhani KANU ingelikufa? Hivyo hivyo chama cha Kaunda Zambia? UPC ya Obote iko wapi?etc, etc, etc. Unadhani leo CCM ikitoka madarakani kitatokea nini kwa "uthabiti" wa CCM, ! Nyinyi ni watoto hamsomi historia ya haya mambo!
CDM haina fedha, haina dola, haina polisi, haina jeshi, haifanyi mikutano, walafi wanahama , lakini bado inaogopwa. Unalisemaje hilo?
Mimi ya kenya naona walibadili jina tu la chama lakini uongozi ulibaki uleule
Mwaikibaki alikua makamu wa raisi chini ya moyi uhuru alikua waziri wote walikua KANU sema walitumia akili kubwa nchi huongozwa na watu chama ni Nembo tu ya kupanga safu ya utawala..
Nahapa TZ CCM itakuja fikia mwisho na tayari watakua na jina mbadala la kiutawala..
KANU ilibadilisja jina lini?? KANU bado ni chama cha siasa na kimeshinda kiti cha Governor kwa Gideon Moi. Na kina wabunge ambao hawafiki hata 10. So sio kweli kuwa kilibadilishwa Jina ila watu ni walewale.Kwa taarifa yako KANU ilijibadirisha tu jina ndiyo maana unaona wanaoendelea kutawala ni wale wale waliotoka KANU. Kwa Tanzania bado sana mpaka siku watapotokea watu makini toka CCM wakaanzisha Chama na kikaungwa mkono na mfumo wa Serikali lakini siyo vyama vya kina Mbowe wachumia matumbo!
Unahitaji kudanganywa hata hili? Mbona vitu vipo wazi tu vinaonekanaNi nani aliyekudanganya kuwa sifa ya CHADEMA ni kukosa UMAKINI na sifa ya CCM ni kuwa MAKINI?
Umenifumbua macho.Nadhani atakua Diwani Bananga anayefuata
Wishfull thiking. GOP USA wapo tangu 1854 Mpaka leo na wameshika madaraka muda mrefu kuliko chama kingine USA. Conservative UK hivyo. Hivi vyama ni tasisi na sio cult personality. Vyama vingi Africa vinakufa kwa sio Tasisi ni cult. CCM sio rahisi kufa kwa sababu ni tasisi. Kutawala Tanzania milele haiwezekani vile vile.Wasilinganishe KANU na CCM .KANU ilikuwa Chama Cha makabila makuu mwawili jamii za kijaluo na jamii za kikikuyu .walipogombana kila kabila likaamua kuanzisha chake.Wajaluo akina Raila odinga kwao na wakikuyu kwao.Kanu ikabakia na vikabila vidogo vya Kenya.
CCM sio Chama Cha Cha kikabila wasilinganishe na KANU
Chadema na KANU Haina tofauti wachaga wakijiondoa chadema inakufa