Godbless Lema: Kuna mwingine atahama CHADEMA baada ya Meya wa Jiji la Arusha kuhamia CCM

Godbless Lema: Kuna mwingine atahama CHADEMA baada ya Meya wa Jiji la Arusha kuhamia CCM

Lema naye aache taarabu. Kama anamjua huyo mtu si amtaje adharani
 
Kalenjini na wakikuyu Ni jamii iliyokuwa imekamatana na wakikuyu .Kumbuka Wakikuyu walipogombana na wajaluo Kenyata mkikuyu alimteua Moi mkalenjini kuwa makamu wake wa Raisi wajaluo wakawatupa huko. wakikuyu waliondoka na wakalenjin wakati wa moi.Hadi Sasa Kenya Raisi Ni mkikuyu na makamu wa Raisi William Rutto Ni mkalenjini.Kabila la wajaluo wako na akina Odinga Hadi Leo.

Kanu haijafa ipo ila imebaki na vikabila vidogo..KANU kusambaratika ilikuwa no Vita ya kikabila ndani ya KANU na kelele zosizoisha za wajaluo na vikabila vidogo kutaka nao wapewe madaraka makubwa.

Chadema Leo wachaga wakiondoka inakufa Kama exactly Kama KANU ya Kenya.

Unachoongea hakna ukweli wowote!
Hatujawahi kuwa na hatutakuwa na Rais asiye na kabila hata siku moja!
Hii Dhana ya ukabila unayojaribu kuipenyeza hapa kwa hakika ni hila inayotumiwa na CCM kudhoofisha upinzani ikiwemo na udini pia!
Kuna mambo ya msingi nimeyataja yaliyosabisha KANU iangushwe k.m.Katiba,Tume Huru ya Uchaguzi n.k.na hujagusia kabisa umeng'ang'ana na UKABILA…!!Je,unataka kutambika?
 
Mbona hakutuambia kabla ya uhamisho wa huyo Mayor.

Aache umbeya.
 
Baada malaika mtoa roho kuingia jehanam, Jehanamu itakuwa inadai bado roho moja . Ndio.... mwenyewe ataweka miguu yake motonina Jehanamu itasema Tik tik

Sijui huyo moja aliyebaki ni nani?
 
Inasemekana binamu bananga atafata,kilichonishangaza ni meya kuhamia ccm alafu imekua sio habar tofauti na hapo nyuma mtu akihamia headlines kila kona
News has to be something new, which has impact, also big names makes news, habari ikiwa inajirudia rudia, baadae inakuwa sio news tena, inakuwa imezoeleka.
P
 
Mama yako pekee ndio anaweza kuelewa andiko lako maana anajua alizaa taahira


ACHA MATUSI; JENGA HOJA.

Hoja hujibiwa kwa hoja yenye mashiko zaidi. Matusi ni njia ya mkato (shortcut) kwa mtu aliyeishiwa hoja; na hasa aliyekata tamaa.
 
Uongozi wa Chadema wameshindwa kuweka imara ushirikishwaji wa wanachama wake na badala yake kikundi kidogo cha viongozi wachche wanafanya maamuzi kwa niaba ya chama na kufanya majority kukata tamaa
 
Maneno hayo ameyaandika kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii baada ya aliyekuwa Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro kujiunga na CCM.

Calist Lazaro alikuwa rafiki wa karibu na Godbless Lema tokea wakiwa wote wanachama wa TLP kabla ya wote kuhamia CHADEMA.

Inasemekana Godbless Lema alifanya mbinu zote halali na haramu ili kuhakikisha rafiki yake anateuliwa na CHADEMA kuwa mgombea wa kiti cha Umeya wa Jiji la Arusha kupitia CHADEMA pamoja na kwamba alishindwa katika kura za maoni ndani ya CHADEMA.

Inasemekana walianza kutofautiana baada ya kuzidiana na kudhulumiana kwenye ''madili'' yatokanayo na uongozi wa Jiji. Hii inaonyesha urafiki wao wa karibu ulikuwa wa kimaslahi (tumbo) na sio kiitikadi na falsafa!

Maelezo ya Lema yanaonyesha kuna tatizo la kutoaminiana ndani ya CHADEMA!

Ni nani mwingine atafuata kuondoka CHADEMA baada ya Calist kujiunga CCM kama ambavyo Lema anabainisha?
Ninachojiulizaga kila siku ni kwa nini CCM inaiogopa sana Chadema? Wamewarubuni viongozi wengi sana wa Chadema wakajiunga CCM lakini CCM bado inakosa usingizi na haijiamini inapotokea kuna sanduku la kura na mgombea wa Chadema akiwepo. HIII CHADEMA NAHISI KUNA MKONO WA MUNGU NDANI YAO. Kwa matendo na mwenendo wao mzuri baraka za Mungu zipo juu yao.
 
Maneno hayo ameyaandika kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii baada ya aliyekuwa Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro kujiunga na CCM.

Calist Lazaro alikuwa rafiki wa karibu na Godbless Lema tokea wakiwa wote wanachama wa TLP kabla ya wote kuhamia CHADEMA.

Inasemekana Godbless Lema alifanya mbinu zote halali na haramu ili kuhakikisha rafiki yake anateuliwa na CHADEMA kuwa mgombea wa kiti cha Umeya wa Jiji la Arusha kupitia CHADEMA pamoja na kwamba alishindwa katika kura za maoni ndani ya CHADEMA.

Inasemekana walianza kutofautiana baada ya kuzidiana na kudhulumiana kwenye ''madili'' yatokanayo na uongozi wa Jiji. Hii inaonyesha urafiki wao wa karibu ulikuwa wa kimaslahi (tumbo) na sio kiitikadi na falsafa!

Maelezo ya Lema yanaonyesha kuna tatizo la kutoaminiana ndani ya CHADEMA!

Ni nani mwingine atafuata kuondoka CHADEMA baada ya Calist kujiunga CCM kama ambavyo Lema anabainisha?
Kama kuna mtu ndani ya CCM alikuwa anawaza kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM ahesabu maumivu. Hapo Kalist anapitishwa bila kupingwa!
 
Nasikia CCM Arusha hawajafurahia ujio wa huyu Meya. Kulikoni?
 
Kama kuna mtu ndani ya CCM alikuwa anawaza kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM ahesabu maumivu. Hapo Kalist anapitishwa bila kupingwa!

CALIST NI MAKINI, ANAWEZA, ANAFAA KUWA MBUNGE.

Hata kama atapitishwa kugombea nafasi ya bila kupingwa, CALIST ni mtu makini sana, ana uwezo na anafaa kuwa Mbunge. Jambo muhimu kwa jimbo lolote ni kuwa na Mbunge ambaye anakidhi vigezo.
 
Upinzani TZ ni kama haupo hai tena (umejiua wenyewe au umeuawa au haukuwahi kuwa hai)
 
Maneno hayo ameyaandika kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii baada ya aliyekuwa Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro kujiunga na CCM.

Calist Lazaro alikuwa rafiki wa karibu na Godbless Lema tokea wakiwa wote wanachama wa TLP kabla ya wote kuhamia CHADEMA.

Inasemekana Godbless Lema alifanya mbinu zote halali na haramu ili kuhakikisha rafiki yake anateuliwa na CHADEMA kuwa mgombea wa kiti cha Umeya wa Jiji la Arusha kupitia CHADEMA pamoja na kwamba alishindwa katika kura za maoni ndani ya CHADEMA.

Inasemekana walianza kutofautiana baada ya kuzidiana na kudhulumiana kwenye ''madili'' yatokanayo na uongozi wa Jiji. Hii inaonyesha urafiki wao wa karibu ulikuwa wa kimaslahi (tumbo) na sio kiitikadi na falsafa!

Maelezo ya Lema yanaonyesha kuna tatizo la kutoaminiana ndani ya CHADEMA!

Ni nani mwingine atafuata kuondoka CHADEMA baada ya Calist kujiunga CCM kama ambavyo Lema anabainisha?
Asijisahaulishe huyo mwamba!
Alisema Magu atapumzika kwa amani kabla ya 2020. Umebakia mwezi mmoja, almost...
 
Back
Top Bottom