Hata mwendazake mzee wa Lupaso alipokwenda Uswis kuwekewa nyonga ya bandia tuliambiwa na tukamuombea. Huu upuuzi wa kuficha ficha maradhi ulianza awamu ya tano.Yeah! Mbona Mzee wa msogaland enzi zake alipoenda kutibiwa mshipa wa ngiri Marekani tulijua?
Haya mambo ya kuficha ficha ndo maana wanakata moto kweli
Lema yuko sahihiMh Makamu wa Rais nakusalimu. Wewe sio makamu wa Rais wa familia yako.Wewe ni Makamu wa Rais wa Nchi.Watu wanapofuatilia taarifa zako wako sawa asilimia 100. Ukuonekana kwa muda mrefu na serikali na ofisi yako wakawa kimya,watu wakaanza huko wapi? Tena ni jambo jema kwako,nilifikiri ungefurahi badala yake nimekuona tofauti.
Wewe sio Mungu ukiumwa sema,ukisafiri kikazi sema.Cheo chako sio utakatifu. Wewe ni mfanyakazi wetu,uwe unatoa taarifa ya mienendo ya kazi zetu.Sasa umewashukuru waliokuwa wanakuombea, je,walikuwa wanakuombea kitu gani ?uwe na amani na afya njema.
Safi kabisa NABII.Mh Makamu wa Rais nakusalimu. Wewe sio makamu wa Rais wa familia yako.Wewe ni Makamu wa Rais wa Nchi.Watu wanapofuatilia taarifa zako wako sawa asilimia 100. Ukuonekana kwa muda mrefu na serikali na ofisi yako wakawa kimya,watu wakaanza huko wapi? Tena ni jambo jema kwako,nilifikiri ungefurahi badala yake nimekuona tofauti.
Wewe sio Mungu ukiumwa sema,ukisafiri kikazi sema.Cheo chako sio utakatifu. Wewe ni mfanyakazi wetu,uwe unatoa taarifa ya mienendo ya kazi zetu.Sasa umewashukuru waliokuwa wanakuombea, je,walikuwa wanakuombea kitu gani ?uwe na amani na afya njema.
Alipofika karibu aliuona Mji akaulilia akisema laiti ungelijua yapasayo laiti ungelijua amani
Nakuunga mkono mkuu maana siyo kwa upuuzi wa Lema km alivyowahi kusema eti aliota kuwa mh flani kafia madarakani,watu hawakumchekea wakampeleka gerezani na kamwe ndoto yake haijawahi timia,mpuuzi kweli huyu jamaa.Tatizo huyu Lema na wenzake wenye pigo kama zake wote ni wapuuzi, sababu Kairuki kwenye mkutano aliomwakilisha alisema Makamu yupo nje kikazi, sasa ni taarifa gani mnayotaka zaidi??
Lakini kwa jinsi walivyo mapunguani, wakadai hiyo ni danganya toto jamaa kashakata moto tuambiwe mapema, na yule kigogo akaropoka amemalizwa kwa sumu sijui na hila nyinginezo
Haya karudi mzima wote wamepoteana, punguzeni unaa
Kazi gani hiyo ya kumweka nje ya nchi mwezi mzima? Hata na wewe hauna jibu, labda useme alienda kusoma kama sio matibabu.Tatizo huyu Lema na wenzake wenye pigo kama zake wote ni wapuuzi, sababu Kairuki kwenye mkutano aliomwakilisha alisema Makamu yupo nje kikazi, sasa ni taarifa gani mnayotaka zaidi??
Lakini kwa jinsi walivyo mapunguani, wakadai hiyo ni danganya toto jamaa kashakata moto tuambiwe mapema, na yule kigogo akaropoka amemalizwa kwa sumu sijui na hila nyinginezo
Haya karudi mzima wote wamepoteana, punguzeni unaa
Mbona tunakuwa wepesi kusahau hivi?? Kikwete alienda Marekani kikazi lakini baada ya kufanya check up ndio akafanyiwa ile operesheni??Kazi gani hiyo ya kumweka nje ya nchi mwezi mzima? Hata na wewe hauna jibu, labda useme alienda kusoma kama sio matibabu.