Masalakulangwasa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 354
- 436
Hata baba maskan akisafiri haishii kwa mama tu anatuambia na sisi vijana wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusema uongo ni dhambi na mshahara wa dhambi ni mauti.Tatizo huyu Lema na wenzake wenye pigo kama zake wote ni wapuuzi, sababu Kairuki kwenye mkutano aliomwakilisha alisema Makamu yupo nje kikazi, sasa ni taarifa gani mnayotaka zaidi??
Lakini kwa jinsi walivyo mapunguani, wakadai hiyo ni danganya toto jamaa kashakata moto tuambiwe mapema, na yule kigogo akaropoka amemalizwa kwa sumu sijui na hila nyinginezo
Haya karudi mzima wote wamepoteana, punguzeni unaa
Ime wahi tokea wapi duniani makamu wa rais kukaa nje ya nchi mwezi mzima bila wananchi wake kujua?Makamu wa Rais nakusalimu. Wewe sio makamu wa Rais wa familia yako.Wewe ni Makamu wa Rais wa Nchi.Watu wanapofuatilia taarifa zako wako sawa asilimia 100. Ukuonekana kwa muda mrefu na serikali na ofisi yako wakawa kimya,watu wakaanza huko wapi? Tena ni jambo jema kwako,nilifikiri ungefurahi badala yake nimekuona tofauti.
Wewe sio Mungu ukiumwa sema, ukisafiri kikazi sema.Cheo chako sio utakatifu. Wewe ni mfanyakazi wetu,uwe unatoa taarifa ya mienendo ya kazi zetu. Sasa umewashukuru waliokuwa wanakuombea, je,walikuwa wanakuombea kitu gani ?uwe na amani na afya njema.
Ni jambo gani lenye maslahi kwa nchi huyo makamu wa rais ameenda kufanya huko nje hadi iwe safari ya Siri? Wakati mwingine mnaendekeza mambo ya kijinga Hadi inakuwa kero. Toka alivyoondoka mngesema, sio kusubiri watu wanaopenda udaku kueneza uvumi, kisha ndio mnatoa majibu ya kuokoteza okoteza.Tatizo huyu Lema na wenzake wenye pigo kama zake wote ni wapuuzi, sababu Kairuki kwenye mkutano aliomwakilisha alisema Makamu yupo nje kikazi, sasa ni taarifa gani mnayotaka zaidi??
Lakini kwa jinsi walivyo mapunguani, wakadai hiyo ni danganya toto jamaa kashakata moto tuambiwe mapema, na yule kigogo akaropoka amemalizwa kwa sumu sijui na hila nyinginezo
Haya karudi mzima wote wamepoteana, punguzeni unaa
Hapa umetania mkuu...jamaa si alitujuza baada ya kufika, na ilikuwa ni katika kuzima kelele zile kipindi kile, au umesahau mkuu?Yeah! Mbona Mzee wa msogaland enzi zake alipoenda kutibiwa mshipa wa ngiri Marekani tulijua?
Kwani hapo kaandika Lema ?Kwani Lema kaishia darasa la ngapi?
Kuna makosa ya kiuandishi mengi kwenye bandiko lake, makosa ambayo Mimi nisingeyafanya kipindi nilipokuwa kidato cha kwanza au darasa la saba.
Ukuonekana [emoji777]
Hukuonekana [emoji3581].
Huko wapi [emoji777]
Uko wapi [emoji3581].
Soma thread vizuri utaona bandiko la Lema ndilo nililoambatanishaKwani hapo kaandika Lema ?