Godbless Lema: Makamu wa Rais si Mungu, ukiumwa sema, ukisafiri kikazi sema

Inakuwaje serikali nzima kule juu wasione vitu vidogo kama hivi. Hivi tunaongozwa na watu wazima vichwani kweli?
 
Kila aliyetukana ataenda kutubu, hata kubwa jinga Lisu aliomba kwenda akakataliwa.
 
Kusema uongo ni dhambi na mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Ime wahi tokea wapi duniani makamu wa rais kukaa nje ya nchi mwezi mzima bila wananchi wake kujua?
Hiyo gharama ni nani ana beba?
Hiyo kazi maalum ni kazi gani ambayo wasaidizi waandamizi iliwashinda hadi awe yeye?
By the way yeye yuko pale kisiasa na sio kiutendaji. Ccm waache kuficha ukweli.
 
Ni jambo gani lenye maslahi kwa nchi huyo makamu wa rais ameenda kufanya huko nje hadi iwe safari ya Siri? Wakati mwingine mnaendekeza mambo ya kijinga Hadi inakuwa kero. Toka alivyoondoka mngesema, sio kusubiri watu wanaopenda udaku kueneza uvumi, kisha ndio mnatoa majibu ya kuokoteza okoteza.
 
Yeah! Mbona Mzee wa msogaland enzi zake alipoenda kutibiwa mshipa wa ngiri Marekani tulijua?
Hapa umetania mkuu...jamaa si alitujuza baada ya kufika, na ilikuwa ni katika kuzima kelele zile kipindi kile, au umesahau mkuu?
 
Mambo ya watu kupotea bila taarifa na badae wanarudi au kutokurudi yalianzia awamu ya 5

Muasisi naye siku yake ikafika akapotea tangu February 27 akarudi maiti March 17.

RIP Ben Saanane , Azori Gwanda na wengineo wengi.
 
Kwani hapo kaandika Lema ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…