"Mwenyekiti Mbowe mimi amenambia zaidi ya zaidi ya mara tano mwaka jana (2024), kwenye operation ya Helikopta amenambia zaidi ya mara 10, Moshi amenambia, Arusha amenambia, Dar amenambia, anasema bro mimi nataka kuachia Chama hiki, jipangeni nimechoka (naapa Mungu ni shahidi) haya maneno kama nasema uongo naapa Mungu ni shahidi, haya maneno kama nasema uongo Wazazi wangu wafe na watoto wango wote wafe. Kaniambia zaidi ya mara 5 kwamba amechoka anataka kuachia Chama hiki nikamwambia Mwenyekiti umepanga successor?, akasema kwenye democratic process...."
Mbowe kugombea tena ni ushawishi wa Samia, swali jee wana agano gani na agano hilo litaiacha Chadema salama? Ukweli Mbowe angombea kwa maslahi mapana ya Samia na CCM sasa nyie nyumbu wa Sultan Mbowe mna manufaa gani na Chadema kugeuzwa kigango cha CCM?
"Mwenyekiti Mbowe mimi amenambia zaidi ya zaidi ya mara tano mwaka jana (2024), kwenye operation ya Helikopta amenambia zaidi ya mara 10, Moshi amenambia, Arusha amenambia, Dar amenambia, anasema bro mimi nataka kuachia Chama hiki, jipangeni nimechoka (naapa Mungu ni shahidi) haya maneno kama nasema uongo naapa Mungu ni shahidi, haya maneno kama nasema uongo Wazazi wangu wafe na watoto wango wote wafe. Kaniambia zaidi ya mara 5 kwamba amechoka anataka kuachia Chama hiki nikamwambia Mwenyekiti umepanga successor?, akasema kwenye democratic process...."
Lena na Lisu ni waongo hawaaminiki hata kidogo, wapuuzwe tu. Mbowe hawezi kuzungumza maneno kama hayo na mtu mropokaji mwenye kiburi na asie na mipango kama Lema.
Aache kupotosha umma wa wa Tanzania na wadau wa JF 🐒
"Mwenyekiti Mbowe mimi amenambia zaidi ya zaidi ya mara tano mwaka jana (2024), kwenye operation ya Helikopta amenambia zaidi ya mara 10, Moshi amenambia, Arusha amenambia, Dar amenambia, anasema bro mimi nataka kuachia Chama hiki, jipangeni nimechoka (naapa Mungu ni shahidi) haya maneno kama nasema uongo naapa Mungu ni shahidi, haya maneno kama nasema uongo Wazazi wangu wafe na watoto wango wote wafe. Kaniambia zaidi ya mara 5 kwamba amechoka anataka kuachia Chama hiki nikamwambia Mwenyekiti umepanga successor?, akasema kwenye democratic process...."